Nani yupo nyuma ya Feitoto? Kuihujumu Yanga wakati huu ni kumhujumu Rais Samia

Nani yupo nyuma ya Feitoto? Kuihujumu Yanga wakati huu ni kumhujumu Rais Samia

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Hii ni kwa wajuvi wa mambo na trend readers and observers. Jana tunaona trend ya shutuma na majibu ya shutuma dhidi ya Rais Mwinyi wa Zanzibar, tunatulia.

Leo asubuhi tunaona trend ya shutuma dhidi ya Rais wa Yanga kutoka kwa mzanzibari feitoto ikiwa ni tuhuma nyingine masaa machache dhidi ya Timu ya ukombozi Afrika yaani wananchi. Anayemsaidia na kumpanga namna ya kutuhumu ni mwanazanzibar ambaye ni ndugu na mwanazanzibar aliyetuhumu tena kule upande wa zanzibar.

Hivi GENTAMYCIME hii kitu umeielewa?

Mimi kama mwanayanga na mwananchi kindakindaki napata mashaka kuwa hata game yetu hapa nyumbani tulihujumiwa.

Kisa ni nini? eti kisa mama katoa mshiko wa kuisupport michezo?
au kisa ni nini, kwamba hatutaki aweke historia yake kupitia Dar Young Africans?

WITO: Dar es Salaam Young Africans ni Team ya kuweka historia pale pasipotarajiwa. Tulimchapa Sports Club Villa Uganda tukiwa na Edibily Jonas Lunyamila tukarejesha ubingwa wa Africa Mashariki na kati nyumbani, sasa ni zamu ya kumtungua USM ALGER 2-0 pale Algeria na kuuridisha ubingwa wa Africa.

ONYO: Wahujumu washughulikiwe vilivyo.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA, DAIMA MBELE....!!!
 
Hii ni kwa wajuvi wa mambo na trend readers and observers.
Jana tunaona trend ya shutuma na majibu ya shutuma dhidi ya Rais Mwinyi wa Zanzibar....tunatulia.

Leo asubuhi tunaona trend ya shutuma dhidi ya Rais wa Yanga kutoka kwa mzanzibari feitoto ikiwa ni tuhuma nyingine masaa machache dhidi ya Timu ya ukombozi Afrika...yaani wananchi...anayemsaidia na kumpanga namna ya kutuhumu ni mwanazanzibar ambaye ni ndugu na mwanazanzibar aliyetuhumu tena kule upande wa zanzibar.

Hivi GENTAMYCIME hii kitu umeielewa??.

mimi kama mwanayanga na mwananchi kindakindaki napata mashaka kuwa hata game yetu hapa nyumbani tulihujumiwa ...

kisa ni nini?
eti kisa mama katoa mshiko wa kuisupport michezo?
au kisa ni nini ...kwamba hatutaki aweke historia yake kupitia Dar Young Africans???

WITO:
Dar es Salaam Young Africans ni Team ya kuweka historia pale pasipotarajiwa...
Tulimchapa Sports Club Villa Uganda tukiwa na Edibily Jonas Lunyamila tukarejesha ubingwa wa Africa Mashariki na kati nyumbani.sasa ni zamu ya kumtungua USM ALGER 2-0 pale Algeria na kuuridisha ubingwa wa Africa.

ONYO:Wahujumu washughulikiwe vilivyo.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!DAIMA MBELE....!!!
kamfuate Jiwe
 
Fei kwa sasa weka maneno yako kando.
kwa sasa hata sisi wanyama tuna unga juhudi za wananchi kwa masilahi ya nchi, fitina zitakuja badaeeee.....sio sasa.
 
Jamaa unandika hovyo kiasi kwamba habari yako haivutii hata kusoma.... kichwa cha habari tofauti kabisa na kilichomo ndani...
 
Tulivyo na Nchi ya ajabu unaweza kuta hii ishu imepangwa kuwatoa watu kwenye mambo za msingi,wanajua WaTanzania wengi ni Mazuzu linapokuja suala la Yanga na Simba,Jana siku nzima imepita hoja feisal Mpaka kina Mayor Jacob wakaingia kwenye mkumbo,Bongobahati mbaya
 
Acha ujinga,sasa yanga na samia wapi na wapi??muwage na akili jamani[emoji2955]
 
Utopolo sio malaika wakalie hali ya mtu halafu wanyamaziwe kisa wana mzigo wa kuchomoa goli mbili Algeria, huu uzalendo wa kijinga haupo hapa duniani.
 
Hii ni kwa wajuvi wa mambo na trend readers and observers. Jana tunaona trend ya shutuma na majibu ya shutuma dhidi ya Rais Mwinyi wa Zanzibar, tunatulia.

Leo asubuhi tunaona trend ya shutuma dhidi ya Rais wa Yanga kutoka kwa mzanzibari feitoto ikiwa ni tuhuma nyingine masaa machache dhidi ya Timu ya ukombozi Afrika yaani wananchi. Anayemsaidia na kumpanga namna ya kutuhumu ni mwanazanzibar ambaye ni ndugu na mwanazanzibar aliyetuhumu tena kule upande wa zanzibar.

Hivi GENTAMYCIME hii kitu umeielewa?

Mimi kama mwanayanga na mwananchi kindakindaki napata mashaka kuwa hata game yetu hapa nyumbani tulihujumiwa.

Kisa ni nini? eti kisa mama katoa mshiko wa kuisupport michezo?
au kisa ni nini, kwamba hatutaki aweke historia yake kupitia Dar Young Africans?

WITO: Dar es Salaam Young Africans ni Team ya kuweka historia pale pasipotarajiwa. Tulimchapa Sports Club Villa Uganda tukiwa na Edibily Jonas Lunyamila tukarejesha ubingwa wa Africa Mashariki na kati nyumbani, sasa ni zamu ya kumtungua USM ALGER 2-0 pale Algeria na kuuridisha ubingwa wa Africa.

ONYO: Wahujumu washughulikiwe vilivyo.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA, DAIMA MBELE....!!!
Kumbuka A small leak will sink a ship- Fid Q- Propaganda

"Ujinga ni mjukuu wa woga yule aliyemzaa chuki"- Fid Q--Ielewe mitaa.
 
Back
Top Bottom