Duuuuh! Huyu alikuja bongo akala za kutosha na manula alikuwepo golini ndio aje mkimbia leo?Hakuna mchezaji au kiongozi yoyote wa Simba asiyejua K Aziz ni nani, Barbara alipiga magoti na kulia apate Saini yake ikashindikana.
Manula aligomea mchezo na Yanga kisa Azizz K.
Ukienda huko nako watakuambia nenda kawalinganishe wakiwa kwenye ligi moja.Unawashindanisha kwa angle gani ? NBC premier League tu au kiujumla ,?
Nb: nenda ivory coast pia ukawaulize mashabiki wa uko chama na aziz ki nani zaidi afu ndio turudi mezani
Ana miguu miwili na Jezi ya Yangachama ana assist mbili na goli moja..... vip azizi ana nin had sasa.....
Nenda Zesco kawaulize pia chama ni nani.Unawashindanisha kwa angle gani ? NBC premier League tu au kiujumla ,?
Nb: nenda ivory coast pia ukawaulize mashabiki wa uko chama na aziz ki nani zaidi afu ndio turudi mezani
Chama kachua tuzo ligi yetu na wala Sio mbali....Unalinganisha vipi? Kwa msimu huu au kwa msimu iliyopita? Kama kwa msimu huu basi tusubiri ndio kwanza ligi imeanza. Ila kama kwa msimu uliopita basi Aziz K alipata tuzo ya mchezaji bora wa ligi ya Ivory coast na pia kwenye mashindano ya kombe la shirikisho CAF ana magoli manne kazidiwa magoli matatu na top scorer
Lete mzunguuuuuuuHakuna mchezaji au kiongozi yoyote wa Simba asiyejua K Aziz ni nani, Barbara alipiga magoti na kulia apate Saini yake ikashindikana.
Manula aligomea mchezo na Yanga kisa Azizz K.
Jibu swali la mtoa mada kukosa namba berkane hakuna usiano na swali alilo ulizaa jamaaMna zungumzia mtu alie kosa no. Berkane au
Tupo Tanzania ambapo tunawaona wote wawili, Ivory Coast hawajawahi kumuona Chamanenda ivory coast pia ukawaulize mashabiki wa uko chama na aziz ki nani zaidi afu ndio turudi mezani
Unawashindanisha kwa angle gani ? NBC premier League tu au kiujumla ,?
Nb: nenda ivory coast pia ukawaulize mashabiki wa uko chama na aziz ki nani zaidi afu ndio turudi mezani
Yaani tufanye ulinganifu kwa hizi mechi tatu, Ngao na mechi mbili za ligi?Tupo Tanzania ambapo tunawaona wote wawili, Ivory Coast hawajawahi kumuona Chama