luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Kama ni mm hapo hapo napindua cha asubuhi .... Dunia ina watu wa ajabu ajabu ...yaan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aiseeUkimwi sio rahisi hivyo mkuu.
Si umwambie tu ukweli kuwa ulibakwa na demu, unaona haibu kubakwa na mwanamke? Sema tu una bahati sana manake wanawake wengi wa Kibongo siku hizi wanageuza wanaume. Unakunywesha kisha anakugeuza kuwa demu wake, ukiamka mimavi hiyo kitandani na baada ya muda unaitwa Anty Hziyech22Habari Wana Jf wenzangu
Kuna jambo limenikuta Jana, wakati wa mida saa 4 napita kutokea kwenye mishe zangu pembezoni mwa bar moja hivi maarufu hapa Dar nikaitwa
Mwanangu unazinguaKuwa mpole...pengine joto lilikuwa kali akaona akupunguze nguo tu upate hewa safi
Kama nimefanya Hilo tendo basi kwa kwakutojitambuaYaaniiiiiiii, kivip hukumbuki? I dont understand kw kwel[emoji1745][emoji1745]
Mwamba mbona tunatishana mapemaUkipata ukimwi dawa zipo
Kwanini umeuliza hivyoulishawahi kulishwa tunda kimasihara?
Why umeniuliza umri wangu?Kwanza kanunue PEP anza kubwia maana huyo dada kupima itakua shughuli au kama unaweza kwenda nae kupima nenda naye.
Hapa inabidi umchote mwambie ume enjoy sana na ungependa muendeleze ila kwa sharti la kupima. Usimuonyeshe kukasirika wala nini....
Mpenzi wako usimwambie chochote we tafuta mbinu za kijasusi umdanganye. Sema hata ulimezwa na samaki kama Yona na ukatapikwa ila usithubutu kufungua bakuli lako la uoga...
Anyway!! How old are you?
Yaaniiiiiiii, kivip hukumbuki? I dont understand kw kwel[emoji1745][emoji1745]
Asante bidada nashukuru kwa ushauri wakoKama movie aisee..
Naungana na wadau hapo juu nenda kapime ....na uwe muwazi kwa mpimaji ili ajue atakusaidia vipi..Hilo jambo lililotokea Jana na jinsi ulivyomuelezea huyo Dada si dogo..usiseme chochote kwa mkeo.
Ila pole mwamba.
Kitu gani Unakumbuka Kabla Hujazima.Mzee baba sikumbuki chochote kikichotokea huo ndio ukweli naomba ushauri wako nifanye nini?
Nenda kituo chochote Cha polisi ongea na mkuu wa kituo uonekane ulilala polisi.Habari Wana Jf wenzangu
Kuna jambo limenikuta Jana, wakati wa mida saa 4 napita kutokea kwenye mishe zangu pembezoni mwa bar moja hivi maarufu hapa Dar nikaitwa na rafiki mmoja hivi wa kike ambaye sikuonana nae muda kidogo nikaenda tukaa pale.
Binafsi sio mnywaji wa pombe tofauti na huyo dada yeye anapenda tukapiga story kazaa baada ya pale sikumbuki kilichoendelea nimejikuta nipo ghetto la huyo dada wakati nimemka leo asubuhi Tena nikiwa nipo uchi hata huyo dada hivyo hivyo.
Kwa mazingira hayo nivyoyaona sikutaka hata nimuulize je tumefanya mapenzi maana sikumbuki chochote kikichotokea kwanini nimekuwa na wasiwasi huyu demu mafaili yake nayajua ana list ndefu Sana na ameshawahi kudate na wasanii wawili maarufu wa hapa Bongo ambao wanajulikana kabisa kwakugonga Sana mademu.
Ukiachana na Hilo me nina mtu wangu ambaye ninaishi nae kama mke na Mume ninampenda Sana, ananiheshimu na mimi namuheshimu,ni mtu muhimu Sana kwenye maisha yangu yeye ni kama kiungo kwenye chakula.
Sijawahi kuchepuka wala sijawahi kufikiria hicho kitu kwa namna navyompenda mtu wangu nimeamka nimekuta missed call 4 zake kwenye simu yangu.
Ndugu zangu ninashindwa sijui nitamuambiaje mtu wangu na je nikimwambia ukweli ulivyo atanielewa kwa sababu binafsi sijadhamiria kufanya hivyo na sijui kilitokea kitu gani kikatokea hicho kitu.Naombeni ushauri wenu ndugu zangu nimwambie nini mke wangu anielewe.
to yeye
Zero IQ
Yna2
financial services
Darmian
Mzigua90
Carleen
NB: Naomba tusiweke masiala kwenye issue sensitive kama unataka kufanya hivyo Bora tu usicomment kabisa kwenye uzi wangu nipo serious