Naogopa kumueleza Mke wangu ukweli kwamba nilichepuka

Naogopa kumueleza Mke wangu ukweli kwamba nilichepuka

Kama ni mm hapo hapo napindua cha asubuhi .... Dunia ina watu wa ajabu ajabu ...yaan
 
Uweke uzi jf afu utupangie cha kukomenti .

Ukimwi sio rahisi hivyo mkuu, ila kacheki tuu kujihakikishia yafaa uende naye. Usiambie mwanamke hakika akikusamehe atalipa kwa kuliwa kimasihara na vijana wa rikiboy kujibu mapigo.
 
Kama movie aisee..
Naungana na wadau hapo juu nenda kapime ....na uwe muwazi kwa mpimaji ili ajue atakusaidia vipi..Hilo jambo lililotokea Jana na jinsi ulivyomuelezea huyo Dada si dogo..usiseme chochote kwa mkeo.

Ila pole mwamba.
 
Habari Wana Jf wenzangu

Kuna jambo limenikuta Jana, wakati wa mida saa 4 napita kutokea kwenye mishe zangu pembezoni mwa bar moja hivi maarufu hapa Dar nikaitwa
Si umwambie tu ukweli kuwa ulibakwa na demu, unaona haibu kubakwa na mwanamke? Sema tu una bahati sana manake wanawake wengi wa Kibongo siku hizi wanageuza wanaume. Unakunywesha kisha anakugeuza kuwa demu wake, ukiamka mimavi hiyo kitandani na baada ya muda unaitwa Anty Hziyech22
 
Kwanza kanunue PEP anza kubwia maana huyo dada kupima itakua shughuli au kama unaweza kwenda nae kupima nenda naye.

Hapa inabidi umchote mwambie ume enjoy sana na ungependa muendeleze ila kwa sharti la kupima. Usimuonyeshe kukasirika wala nini....

Mpenzi wako usimwambie chochote we tafuta mbinu za kijasusi umdanganye. Sema hata ulimezwa na samaki kama Yona na ukatapikwa ila usithubutu kufungua bakuli lako la uoga...

Anyway!! How old are you?
Why umeniuliza umri wangu?
 
Kama movie aisee..
Naungana na wadau hapo juu nenda kapime ....na uwe muwazi kwa mpimaji ili ajue atakusaidia vipi..Hilo jambo lililotokea Jana na jinsi ulivyomuelezea huyo Dada si dogo..usiseme chochote kwa mkeo.

Ila pole mwamba.
Asante bidada nashukuru kwa ushauri wako
 
Hapo Umebakwa ila sio Mbaya kama ndio mimi kweli ndio tiba ningemweleza Mke yalio nisibu bila kuficha lolote kisha nikatafuta Hizo PEP ili nijiakikishie afya
Matatizo mengine mbele kwa mbele tutatatua ugomvi na huyo mke
 
Mwambie mkeo umeliwa kimasihara.
Mrudi kwenye kamusi inasemaje
 
kuna tukio kama hilo la kulala nje liliwahi mtokea jamaa yangu alichofanya yeye ni kuongea na askari wale wa defender wakampiga pingu wakaenda naye nyumbani kwake , walipofika wakamwambia mkewe walimkata jamaa toka jana yake anakunywa muda wa kazi akalazwa selo na wakitaka yaishe watoe elfu 50 yaishe na ndiyo mkewe mshikaji akalimaliza kwa kuwapa manjagu chao na jamaa yangu kupewa pole za kutosha na mkewe na ikawa ndiyo pona pona ya mshikaji na kuokoa ndoa yake.
 
Habari Wana Jf wenzangu

Kuna jambo limenikuta Jana, wakati wa mida saa 4 napita kutokea kwenye mishe zangu pembezoni mwa bar moja hivi maarufu hapa Dar nikaitwa na rafiki mmoja hivi wa kike ambaye sikuonana nae muda kidogo nikaenda tukaa pale.

Binafsi sio mnywaji wa pombe tofauti na huyo dada yeye anapenda tukapiga story kazaa baada ya pale sikumbuki kilichoendelea nimejikuta nipo ghetto la huyo dada wakati nimemka leo asubuhi Tena nikiwa nipo uchi hata huyo dada hivyo hivyo.

Kwa mazingira hayo nivyoyaona sikutaka hata nimuulize je tumefanya mapenzi maana sikumbuki chochote kikichotokea kwanini nimekuwa na wasiwasi huyu demu mafaili yake nayajua ana list ndefu Sana na ameshawahi kudate na wasanii wawili maarufu wa hapa Bongo ambao wanajulikana kabisa kwakugonga Sana mademu.

Ukiachana na Hilo me nina mtu wangu ambaye ninaishi nae kama mke na Mume ninampenda Sana, ananiheshimu na mimi namuheshimu,ni mtu muhimu Sana kwenye maisha yangu yeye ni kama kiungo kwenye chakula.

Sijawahi kuchepuka wala sijawahi kufikiria hicho kitu kwa namna navyompenda mtu wangu nimeamka nimekuta missed call 4 zake kwenye simu yangu.

Ndugu zangu ninashindwa sijui nitamuambiaje mtu wangu na je nikimwambia ukweli ulivyo atanielewa kwa sababu binafsi sijadhamiria kufanya hivyo na sijui kilitokea kitu gani kikatokea hicho kitu.Naombeni ushauri wenu ndugu zangu nimwambie nini mke wangu anielewe.

to yeye
Zero IQ
Yna2
financial services
Darmian
Mzigua90
Carleen

NB: Naomba tusiweke masiala kwenye issue sensitive kama unataka kufanya hivyo Bora tu usicomment kabisa kwenye uzi wangu nipo serious
Nenda kituo chochote Cha polisi ongea na mkuu wa kituo uonekane ulilala polisi.
 
Pole mkuu..!
Kwanza sahii upo wapi..!? Ushaingia kazini bila kwenda nyumbani..?
Fuata ushauri wa wadau hapo juu wa kutumia hizo dawa haraka na mapema kabisa..!

Japo it ain't a good thing lakini tafuta tu mbinu ya kumficha mkeo asijue chochote kilichoendelea, sababu hata akijua ukweli there is no way atakuamini, (nisingeamini pia hata ingekuwa Mimi)..!

Cha kwanza jali afya yako kisha ndiyo utafute mbinu ya kupambana na huo msala wa wifey, Pole sana natumaini umejifunza kitu..!
 
Back
Top Bottom