Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,682
- 11,461
We jibu....Why umeniuliza umri wangu?
Kwanza kama sio mnywaji mpaka sasa hv una hangover.... Si ndio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jibu....Why umeniuliza umri wangu?
20+We jibu....
Kwanza kama sio mnywaji mpaka sasa hv una hangover.... Si ndio?
Asante kwa kunishauri hadi sasa sijarudi home nipo hapa kwa mshikaji wanguPole mkuu..!
Kwanza sahii upo wapi..!? Ushaingia kazini bila kwenda nyumbani..?
Fuata ushauri wa wadau hapo juu wa kutumia hizo dawa haraka na mapema kabisa..!
Japo it ain't a good thing lakini tafuta tu mbinu ya kumficha mkeo asijue chochote kilichoendelea, sababu hata akijua ukweli there is no way atakuamini, (nisingeamini pia hata ingekuwa Mimi)..!
Cha kwanza jali afya yako kisha ndiyo utafute mbinu ya kupambana na huo msala wa wifey, Pole sana natumaini umejifunza kitu..!
Okay kaka,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] yaan jeshi linachezewa hivi? Nadhani tuwapeleke ukraine wakaone thamani ya jeshikuna tukio kama hilo la kulala nje liliwahi mtokea jamaa yangu alichofanya yeye ni kuongea na askari wale wa defender wakampiga pingu wakaenda naye nyumbani kwake , walipofika wakamwambia mkewe walimkata jamaa toka jana yake anakunywa muda wa kazi akalazwa selo na wakitaka yaishe watoe elfu 50 yaishe na ndiyo mkewe mshikaji akalimaliza kwa kuwapa manjagu chao na jamaa yangu kupewa pole za kutosha na mkewe na ikawa ndiyo pona pona ya mshikaji na kuokoa ndoa yake.
Ebu sahihisha kidogo hiyo kauli yako Mimi sio mzizi na wala sijawahi kumcheat mpenzi wangu sema Hilo tukio limetokea sikuwa na dhamira hiyoyeye anapokusaliti uwa anakwambià, kwan ww wakiume au mwanaume. wacha ufala umwambie itamsaidia nin sasa, wew mchukue uyo mzinz mwenzio mkacheki afya ujue unaanza PrEP ama vp
Mbinu ya kivita hii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] yaan jeshi linachezewa hivi? Nadhani tuwapeleke ukraine wakaone thamani ya jeshi
Kumchukua huyo dada kumpeleka kwenye kituo Cha afya hapa ndio changamotoUgumu upo wapi funguka nikuongezee mbinu. Na hapa nakupa mbinu maana umetuhakikishia unampenda mke wako na unaumia kwa kilichotokea.
ndio ushalishwa ivoo, omba tu usiwe umerokodiwa kabisaKwanini umeuliza hivyo
Wewe nae ni mzito kuelewa huyo ni mpenzi ambaye naishi nae kama mke na Mume sijamuoa nadhani mod kaedit kwa kuweka kichwa Cha habari chake maana changu m niliweka "nimevurugwa sijui nifanyeje"inno umeoa lini?
Wewe nae ni mzito kuelewa huyo ni mpenzi ambaye naishi nae kama mke na Mume sijamuoa nadhani mod kaedit kwa kuweka kichwa Cha habari chake maana changu m niliweka "nimevurugwa sijui nifanyeje"