Naogopa kuwa mama

Ukweli mchungu mama yenu anawaendekeza sana.. anawaandaa kuja kuwa wanawake wa aina gani kwenye ndoa zenu? mabinti wakubwa anawafulia? anaosha vyombo? hapana huu sio upendo.. badilikeni mnajiendekeza
 
Huu ni uongo uliochanganywa na misifa, kama sivyo basi mna matatizo ya kimalezi hiyo familia yenyu.
Anyway ni rahisi sana, ficha Uchi tu wala usiogope.

#Jokes with no limits
 
Wewe ni wife material kabisa ndio inabidi uolewe kabisa. Kuna sisi miamba ambao tunapenda kuishi wenyewe ndio tuinjoy uhuru sasa. Full kukesha viwanja ni kuzurura usiku kama wanga
Jamani weweπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚,. Eti kuzurura usiku kama wangaπŸ€’πŸ˜¬πŸ˜‚
 
Huu ni uongo uliochanganywa na misifa, kama sivyo basi mna matatizo ya kimalezi hiyo familia yenyu.
Anyway ni rahisi sana, ficha Uchi tu wala usiogope.

#Jokes with no limits
Sawa, siku nyingine unavyosoma usome bila wivu halafu usiwe unajifanyia comparison,. Hutakuja kuumia tena sawa?πŸ€’πŸ˜‚
 
Sawa, siku nyingine unavyosoma usome bila wivu halafu usiwe unajifanyia comparison,. Hutakuja kuumia tena sawa?πŸ€’πŸ˜‚
Lakin kwanini uwe muongo muongo dada mzur hivyo?
We sema tu "Natafuta mwanaume wa kunioa mimi na uvivu wangu siwezi kaz yoyote"
Kwanin usingizie wazaz ati HAJAWAHI KAMWE🀣
 
Lakin kwanini uwe muongo muongo dada mzur hivyo?
We sema tu "Natafuta mwanaume wa kunioa mimi na uvivu wangu siwezi kaz yoyote"
Kwanin usingizie wazaz ati HAJAWAHI KAMWE🀣
Duuuh, pole mwaya.. sijawahi kujibu comments za haters, byeeπŸ™πŸ™ŒπŸ™Œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…