Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Hamna mwanamke aliewahi kosa mwanaumeMungu ni wetu sote! Wanaume mlivyo wanafki nikipita wanapiga ipsiiiii Mungu anawaona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna mwanamke aliewahi kosa mwanaumeMungu ni wetu sote! Wanaume mlivyo wanafki nikipita wanapiga ipsiiiii Mungu anawaona
Wewe ni wife material kabisa ndio inabidi uolewe kabisa. Kuna sisi miamba ambao tunapenda kuishi wenyewe ndio tuinjoy uhuru sasa. Full kukesha viwanja ni kuzurura usiku kama wangaSiwezi kukaa mwenyewe, naogopa
Kuna vitumbo flani vimebinuka kama yai kidogo tu huwa pia vina uzuri wake mkuu.Aisee mm nkionaga mdada ana kitambi sijui naonaje hua naondoka kimya kimya nashikilia suruali kwa Mkono hata sivai
Sijisumbui kwenda gym sababu umbo ni namba 9, hili halina gym mazoezi yanadundaHamna mwanamke aliewahi kosa mwanaume
Hiki changu ambacho tumbo la juu ya kitovu ndo pametuna unakizungumziajeKuna vitumbo flani vimebinuka kama yai kidogo tu huwa pia vina uzuri wake mkuu.
Kabla ya kula kunywa maji glass mbili ili ule kidogo tu ,unaonekana wewe unafukia sana.Sijisumbui kwenda gym sababu umbo ni namba 9 hili halina gym mazoezi yanadunda
Utakuwa mama, inshallah.Mimi hamu yangu ni kuitwa mama tena
Naota icho kitu kila siku
Mwenyezimungu anifanyie wepesi
Hiki changu ambacho tumbo la juu ya kitovu ndo pametuna unakizungumziaje
Acha nikimbie uzi naona una matani ya kwelii🤸View attachment 3001010
Kuwa na yote ila hilo tumbo mvurugo kimbia uvunjike .
Nimecheka mpaka kamasi limepanda kama pulizo mbele za watu wanaoniheshimu.Acha nikimbie uzi naona una matani ya kwelii🤸
Kichwa cha mtoto kinavyoanza kutoka mpaka mk*** wa Mzazi unafunguka wakaziba na towel 😑Msisimko upi huo ulioupata? Usikute ni msisimko wa kutamani papuchi.
Jamani wewe😂😂😂😂,. Eti kuzurura usiku kama wanga🤒😬😂Wewe ni wife material kabisa ndio inabidi uolewe kabisa. Kuna sisi miamba ambao tunapenda kuishi wenyewe ndio tuinjoy uhuru sasa. Full kukesha viwanja ni kuzurura usiku kama wanga
Sawa, siku nyingine unavyosoma usome bila wivu halafu usiwe unajifanyia comparison,. Hutakuja kuumia tena sawa?🤒😂Huu ni uongo uliochanganywa na misifa, kama sivyo basi mna matatizo ya kimalezi hiyo familia yenyu.
Anyway ni rahisi sana, ficha Uchi tu wala usiogope.
#Jokes with no limits
Lakin kwanini uwe muongo muongo dada mzur hivyo?Sawa, siku nyingine unavyosoma usome bila wivu halafu usiwe unajifanyia comparison,. Hutakuja kuumia tena sawa?🤒😂
Duuuh, pole mwaya.. sijawahi kujibu comments za haters, byee🙏🙌🙌Lakin kwanini uwe muongo muongo dada mzur hivyo?
We sema tu "Natafuta mwanaume wa kunioa mimi na uvivu wangu siwezi kaz yoyote"
Kwanin usingizie wazaz ati HAJAWAHI KAMWE🤣
Safi kabisa.Duuuh, pole mwaya.. sijawahi kujibu comments za haters, byee🙏🙌🙌