Naogopa kuwa mama

Anatengeneza kizazi kibovu sijawahi ona hapo ndipo inapopata hofu yawezekana hujui kupika, hujui kufua, hujui kudeki na nk hivi utaishije na mume hofu yako kaijenga mzazi mwenye bidii ya kazi usiku na mchana

Samahi lkn umeongelea mama tu baba vipi
 
Amen, ubarikiwe sana mkuu kwa ushauri mzuri
 
Anatengeneza kizazi kibovu sijawahi ona hapo ndipo inapopata hofu yawezekana hujui kupika, hujui kufua, hujui kudeki na nk hivi utaishije na mume hofu yako kaijenga mzazi mwenye bidii ya kazi usiku na mchana

Samahi lkn umeongelea mama tu baba vipi
Baba yangu ni mtu ambaye yuko busy sana.. Lakini ndio provider wa kila kitu nyumbani
 
Hoja kuu ni woga wa wewe kuwa mama, majukumu makubwa aliyonayo mama, muda wa yeye kupumzika, kuhudumia watu wa nyumba yake kwa kila kitu.

Ila hoja nyingine inakuja, how come watu wa nyumbani wasimsaidie mama kazi? Mama analea watu wa aina gani asiowapa majukumu.

Anyway kila familia ina namna yake ya malezi.
 
Baba yupo , naye yuko busy sana. Ila ndio provider wa kila kitu nyumbani.. Tatizo n kwamba hapendi kusaidiwa
 
Mama yangu hapendi kusaidiwa.. Baba kashaleta wasaidizi hadi amechoka saizi, hapendi kusaidiwa kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…