Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino

Yule mwamba salute.
Ngoja nicheki namba yake nikutumie.
Kwakweli Jamaa angeweza kupromote dawa yake angekuwa tajiri lakini still poor.
Waza : kung'oa 10k -20
Dawa ya kuponyesha 2k-3.
Amazing
Bro nami naomba no yake, nina matatzo kama ya mtoa mada.

Ahsante[emoji1666]
 
Pole Sana, sasa ili using'owe tena Meno nunuwa dawa inaitwa Dental formula power ( DFP)
 
Huwa natumia wanazoita Diklopa lakini kwenye overdose mode baada yambili nameza tatu
Kama limetoboka naingiza unga wahiyo kweny jino nakumeza vidonge viwil
Mpaka namiaka nalo mitano limeanza meguka lenyewe now aliumi
Meno bana vuta toa mbn utotoni ukipigwa ngumi linadondoka na unapitisha Katikati ya mapaja kwa kulitupia nyuma na ukubwani fanya ivo
 
Root canal ya gel ipoje mimi Nina Mashimo mawili nawaza kwenda kuyaziba naogopaa
Hii gel ipo hospital za dar nilikwenda kusafisha meno kuna dentist alisema nao wanafanya hivyo.

Huwa wanalisafisha jino kwanza na kuondoa cavities zote ndio wana refill hio clear gel.
 
Alijakuuma vizuri, unapata na muda wa kuandika.

Jino likiuma vzr, na hasa uwa inakuwa ni usiku...hata iwe usiku wa manane utakatisha porini kwenda Hosp ung'oe.

Yani muda huu unaandika,ungekua unazunguka zunguka chumbani ujui ushike nini uache nini.

Bado alijakuuma.
 
Nilishazunguka sana,. Nishang'oa mpendwa.
 
Nunua Spirit loanisha pamba ipeleke kwenye jino bovu ing'ate uiache hapo utapata nafuu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Muda huu nimetoka kung'oa jino la juu yaani la 4 kutoka nyuma kuja kwenye haya mawili ya mbele..Ni kama dakika10 hivi...ila panatisha kichizi..kwanza mapicha yamebandikwa ya meno mengine meno yameharibika kichizi daah unaeza ukalia mzee😂..Nakuta foleni aaf mbele kuna mdada ilipokaribia zamu yake kuingia katika chumba kilichoandikwa "Surgery Room" Basi kila muda Anatoka nje kukojoa😂..imefika zamu yake ananiambia "Kaka Nenda" Eishii..Ni zamu yako Sister, Et kagoma me nikaenda likanyofolewa fasta..Natoka ananiuliza Vp haliumi? ..Nikamjibu "Utakubali show Akili lazima ikukae sawa"🤣😃
 
Jamani nisaidieni, mwenzenu sijawahi kuumwa jino huko nyuma ila sasa nahisi maumivu kwenye meno ya mwisho mpaka sikioni na kushuka kwenye shingo.

Sijalala mpaka saivi nisaidieni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…