Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Sawasiku hizi hakuna kungoa wanaua tu mizizi ya jino linabak na kaz ya kutafuna.
ukitaka kuwa free from shida za meno tafuna punje za karafuu kila siku 2 asubuh na jion hutaumwa meno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawasiku hizi hakuna kungoa wanaua tu mizizi ya jino linabak na kaz ya kutafuna.
ukitaka kuwa free from shida za meno tafuna punje za karafuu kila siku 2 asubuh na jion hutaumwa meno
Insitwaje? Picha yake?Hiyoo iko mkoani, ni Kama ungaa.
👉Nahisi hata dar IPO, benda maduka ya dawa za miti shamba.
Tafunia karafuuu mkuu,2023 iliniachia issue ya meno maana sikuwahi kuumwa kabisa
Ila natumia dawa hii kwa sasa na ninaswakia asubuhi na jioni, inasaidia sana kuondoa maumivu ila tatizo nikipitisha siku nzima sijaitumia. Naanza kuhisi maumivu kwa mbali
View attachment 2891254
Mi natumia hii nikikosa hela ya ile ya kutoka forever living products ,nzuri sn2023 iliniachia issue ya meno maana sikuwahi kuumwa kabisa
Ila natumia dawa hii kwa sasa na ninaswakia asubuhi na jioni, inasaidia sana kuondoa maumivu ila tatizo nikipitisha siku nzima sijaitumia. Naanza kuhisi maumivu kwa mbali
View attachment 2891254
Hiyo ya forever living ndio ipi, na inauzwa bei ganiMi natumia hii nikikosa hela ya ile ya kutoka forever living products ,nzuri sn
Naona hiyo Yako wameongeza ingredients
Ngoja nikaitafute brother, shukraniTafunia karafuuu mkuu,
Aisee dawa Yao nomaHiyo ya forever living ndio ipi, na inauzwa bei gani
Maana mimi nikisikia forever living naona network marketing tu na watu waliolizwa na hiyo scheme 😁
😀😀😀Nenda hospital waangalie kama ni la kutoa au lifanyweje. Na nakuhakikishia halijauma kufikia ile level ya juu. Ungekuwa umeshaling'oa hata kwa jiwe.
Ntaitafuta, kumbe wazee wa "good morning hata jioni" Huwa na products za uhakika. Shukrani 🙏🏽Aisee dawa Yao noma
Hutojutia, elf 20 Kwa sasa intakuwa inauzwa
Zile products ni ghali ila uhakika .
Kule we acha wafanye biashara zao,we nunua tu Kwa matumizi Yako .
Nimefulia sshv,🤣 natumia nyingine Kwa shida
Na nilivyo muoga mimi sijui wanaenda kuzibaje yaaniDuh meno ni issue jmn
Anaweza kukubali mkuu, ila mwandiko wako mzuri sana Babu Njunju😅😅nawomba naaa mimj niingirie kinyanganyiro. je swal atakubal kuish kw a shida na laha na mbeba tofar kutoka meru kwa sasa dathlam
Ss mi linalonisumbua sahivi japo si kihivyo ni la juuNa nilivyo muoga mimi sijui wanaenda kuzibaje yaani
Yes wako vzr snNtaitafuta, kumbe wazee wa "good morning hata jioni" Huwa na products za uhakika. Shukrani 🙏🏽
Pole sana..Wasalaam
Ndugu zanguni njashukur kwa ushauri,
Usiku kuamkia leo tarehe 2/2 sijalala hata,jino lilichachamaa bila mapumziko,
Saa 11 nipo hospitalini t hata madirisha hawajafungua, nipo hospitalini jino lilipoa nusu nighairi kung'oa,nikasema usinitanie,
Nimeingia kuchoma sindano ya ganzi,nimemuonyesha dr jino linaloniuma, dr akaniuliza tutoe yote mawili au moja??
Nilishtuka, nikamwambia nitoe moja, akasema haiwezekani yote ni mabovu tutoe yote, akasema utatoa leo kesho utakuja tena,,, nikamwambia sawa ning'oe yote,
Nashukuru sasa,nipo na uguza madonda.
AhsantePole sana..
Wana products nzuri sana hawa dabur Kuna moja nilitumia sikumbuki ni ipi ila ilikuwa kali hadi kinywa kama kinakufa ganziMi natumia hii nikikosa hela ya ile ya kutoka forever living products ,nzuri sn
Naona hiyo Yako wameongeza ingredients
Ipi hiyoWana products nzuri sana hawa dabur Kuna moja nilitumia sikumbuki ni ipi ila ilikuwa kali hadi kinywa kama kinakufa ganzi
Nadhani ni dabur ya karafuuIpi hiyo