Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino

Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino

Ni takribani Siku 7 Sasa nasumbuliwa n'a maumivu makali sana ya Jino la mwisho.

Nmemona DAKTARI ameniambia ni ugonjwa uitwa wisdom tooth pain.

Nmetumia pain killer lakin imeshindikana
 
Bila kung'oa Hilo jino utakuwa unateseka tu bila solution ya kueleweka.
 
Nunua dawa ya Colgate.
Kila ukipiga mswaki usisuuze na maji mdomoni, wee suza mswaki lakini mdomoni usisuuze na maji. Dawa iliyoko mdomoni wee iteme pamoja na mate hadi iishe.

Fanya iwe utamaduni wako halafu leta mrejesho hapa hapa
 
Assalaam


Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino,

Jino ni la juu,linaumaga natumia dawa linatulia lakini leo hapana,limesimamia ukucha

Jino limeanza kuuma tokea saa nne usiku hadi mida hii halitulii,

Nimetumia chumvi kusukutua ni kama nimechochea maumivu,

Dawa nilizotumia ampiclox pmj na paracetamol,vigo doctor,

Nilishauriwa pia niwe natumia dawa ya meno ya colgate max,

Hapa linauma nahisi joto nahisi baridi,sijielewi naona hapakuchi.
 
Assalaam


Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino,

Jino ni la juu,linaumaga natumia dawa linatulia lakini leo hapana,limesimamia ukucha

Jino limeanza kuuma tokea saa nne usiku hadi mida hii halitulii,

Nimetumia chumvi kusukutua ni kama nimechochea maumivu,

Dawa nilizotumia ampiclox pmj na paracetamol,vigo doctor,

Nilishauriwa pia niwe natumia dawa ya meno ya colgate max,

Hapa linauma nahisi joto nahisi baridi,sijielewi naona hapakuchi.
Pakikucha, nenda hospital waliangalie lipo hatua ipi. Kisha dokta atakushauri. All in all, usiling'oe, mwambie akufanyie root canal then utaendelea kulitumia bila shida yoyote.

Pia pole kwa hayo maumivu, natumai uliweza kupata usingizi.
 
Back
Top Bottom