mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
Hahahahaha, ni kweli zinatuliza maumivu lkn baada ya muda linaanza,Uongo unataka kuuza tu dawa za kienyeji ambazo Hazina uthibitisho
Kuna dawa nilikuwa natumia ya kenya ilikuwa nzuri lkn upatikanaji ni shida.