Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino

Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino

Utayang'oa moja baada ya jingine
Jino la kwanza nimetoa nipo std 2, nimetoa zaidi ya matatu, moja nilitoaga tandika kidonda kilinisumbua zaidi ya maumivu ya jino na nikaapa sitong'oa tena jino,

Kuna lingine la juu nilitolewa na dr wa muhimbili nayo maumivu yalikuwa ya moto.
Kidonda kilinisumbua zaidi ya siku mbili.
 
Assalaam


Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino,

Jino ni la juu,linaumaga natumia dawa linatulia lakini leo hapana,limesimamia ukucha

Jino limeanza kuuma tokea saa nne usiku hadi mida hii halitulii,

Nimetumia chumvi kusukutua ni kama nimechochea maumivu,

Dawa nilizotumia ampiclox pmj na paracetamol,vigo doctor,

Nilishauriwa pia niwe natumia dawa ya meno ya colgate max,

Hapa linauma nahisi joto nahisi baridi,sijielewi naona hapakuchi.
: DAWA YA JINO SI KUNG'OA

HUNA SABABU YA KUNG'OA MENO YAKO



DAWA MUJARRABU YA KUTIBU MENO



Mahitaji

1.? Mafuta ya karafuu/clove oil.

2.? mafuta ya Nazi/coconut oil.

3.? Kitunguu maji.

4.? Kitunguu swaum.

5.? Pilipili manga.

6.?Chumvi ya mawe/unga wake



MAANDALIZI

Ponda ponda Kitunguu maji,Kitunguu swaumu,chumvi ya mawe na pilipili manga kisha changanya na mafuta na Nazi na mafuta ya karafuu kwa kiasi kidogo (robo kijiko kidogo cha chai) kisha chukua mchanganyiko huu kisha uweke juani kwa muda wa dakika 15 kisha toa juani.



MATUMIZI

1.ikiwa jino lina tundu

chukua uji uji wa mchanganyiko huu kisha weka katika tundu na mafuta yake yapakaae pembezoni mwa jino linalouma.

2.ikiwa jina halina tundu

pakaa mafuta ya mchanganyiko huu pembezoni kulizunguka jino linalouma

Tumia dawa hii kutwa mara tatu kwa muda wa siku tatu jino lako litakuwa limepona kabsaa



TANBIH/UZINDUSHI:

? Dawa hii inamatokeo ya haraka sana ambapo unaweza kutumia papo hapo jino likapoa,hivyo hakikisha unamaliza dozi kwa muda ulioelekezwa.

? Jiepushe na kunywa vinywaji vya moto sana au vya barid sana mpaka umalize dozi kwa muda uliopangwa.

Baarakallahu fiikum
 
Nenda kang"oe tu,hilo jino ulitakiwa uliwahi kabla halijaanza kuuma mfululizo kwa kufanya root canal.
 
Assalaam


Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino,

Jino ni la juu,linaumaga natumia dawa linatulia lakini leo hapana,limesimamia ukucha

Jino limeanza kuuma tokea saa nne usiku hadi mida hii halitulii,

Nimetumia chumvi kusukutua ni kama nimechochea maumivu,

Dawa nilizotumia ampiclox pmj na paracetamol,vigo doctor,

Nilishauriwa pia niwe natumia dawa ya meno ya colgate max,

Hapa linauma nahisi joto nahisi baridi,sijielewi naona hapakuchi.
Chukua asplin 0.5, Diclofenac 0.5, ampiclo 0.5 tafuna vyote kwa pamoja usimeze ila bumbika mdomoni kwa dakika 5 ndio uteme, Kisha piga mswaki kwa kutumia dawa ya Colgate nyeupe na usioshe mdomo mpaka ipite nusu saa.
Fanya zoezi hilo kutwa mara tatu, kwa siku 7. Kama jino halitopona kabisa nenda kaling'oe
 
Leo nimekesha, unajua kulia unashindwa,joto,baridi,jasho,

Nikaamua zangu saa saba hivi nikaanza kutembea ndani kimya kimya na hakuna niliyemshirikisha,
Aaaah pole sana mdogo wangu
 
: DAWA YA JINO SI KUNG'OA

HUNA SABABU YA KUNG'OA MENO YAKO



DAWA MUJARRABU YA KUTIBU MENO



Mahitaji

1.? Mafuta ya karafuu/clove oil.

2.? mafuta ya Nazi/coconut oil.

3.? Kitunguu maji.

4.? Kitunguu swaum.

5.? Pilipili manga.

6.?Chumvi ya mawe/unga wake



MAANDALIZI

Ponda ponda Kitunguu maji,Kitunguu swaumu,chumvi ya mawe na pilipili manga kisha changanya na mafuta na Nazi na mafuta ya karafuu kwa kiasi kidogo (robo kijiko kidogo cha chai) kisha chukua mchanganyiko huu kisha uweke juani kwa muda wa dakika 15 kisha toa juani.



MATUMIZI

1.ikiwa jino lina tundu

chukua uji uji wa mchanganyiko huu kisha weka katika tundu na mafuta yake yapakaae pembezoni mwa jino linalouma.

2.ikiwa jina halina tundu

pakaa mafuta ya mchanganyiko huu pembezoni kulizunguka jino linalouma

Tumia dawa hii kutwa mara tatu kwa muda wa siku tatu jino lako litakuwa limepona kabsaa



TANBIH/UZINDUSHI:

? Dawa hii inamatokeo ya haraka sana ambapo unaweza kutumia papo hapo jino likapoa,hivyo hakikisha unamaliza dozi kwa muda ulioelekezwa.

? Jiepushe na kunywa vinywaji vya moto sana au vya barid sana mpaka umalize dozi kwa muda uliopangwa.

Baarakallahu fiikum
Hizo karafuu nilipo ni mtihani kuzipata, mafuta ya karafuu ninayo.
 
Assalaam


Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino,

Jino ni la juu,linaumaga natumia dawa linatulia lakini leo hapana,limesimamia ukucha

Jino limeanza kuuma tokea saa nne usiku hadi mida hii halitulii,

Nimetumia chumvi kusukutua ni kama nimechochea maumivu,

Dawa nilizotumia ampiclox pmj na paracetamol,vigo doctor,

Nilishauriwa pia niwe natumia dawa ya meno ya colgate max,

Hapa linauma nahisi joto nahisi baridi,sijielewi naona hapakuchi.
Limetoboka?
 
Nenda kalitoe tu.. kuna stage ikifika jino halisikii dawa ya namna yeyote ile.. usidanganyike
 
Back
Top Bottom