mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
Na utaisha maana si kwa maumivu haya.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sawa sawa kesho ukafanye hilo jambo mjadala uishe huku...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na utaisha maana si kwa maumivu haya.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sawa sawa kesho ukafanye hilo jambo mjadala uishe huku...
AhsantePole sana mkuu
Ahsante,Saafiii ila poleee sana aiseee
SawaMeza vidonge vya Calcium. Utakuwa na upungufu wa madini ya Calcium
Unataka mwenzio awe mapengo angali mwari 🤣🤣 mbona unga wa karafuu akipigia mswaki litatulia tu.Kipenzi dawa ya jino ni kung'oa, ukifanya root canal jiandae kwa maumivu mara nne ya hayo baada ya mda.. Fanya tu maamuzi magumu uliondoe
Tafuta unga wa karafuu pigia mswaki likitulia baada ya masiku kadhaa. Nunua baking soda changanya na unga wa karafuu tumia kila asubuhi jino litasafika bacteria wake. Pia kuna dawa inaitwa black monkey inatokea India nzuri sana kwa kuondoa bacteria wa meno.Unajua me naumwa??
Sitaki uniongeleshe.
Kuipata hiyo karafuu huku nilipo ni shida.Tafuta unga wa karafuu pigia mswaki likitulia baada ya masiku kadhaa. Nunua baking soda changanya na unga wa karafuu tumia kila asubuhi jino litasafika bacteria wake. Pia kuna dawa inaitwa black monkey inatokea India nzuri sana kwa kuondoa bacteria wa meno.
AhsanteNenda hospitali ndio dawa pekee
Pole.... unaendeleaj kwa sasa...? Jino linatesa sana, ikiingia sukari,chumvi au upepo ukipiga utaisoma namba kwa kirumi..Assalaam
Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino,
Jino ni la juu,linaumaga natumia dawa linatulia lakini leo hapana,limesimamia ukucha
Jino limeanza kuuma tokea saa nne usiku hadi mida hii halitulii,
Nimetumia chumvi kusukutua ni kama nimechochea maumivu,
Dawa nilizotumia ampiclox pmj na paracetamol,vigo doctor,
Nilishauriwa pia niwe natumia dawa ya meno ya colgate max,
Hapa linauma nahisi joto nahisi baridi,sijielewi naona hapakuchi.
Kama upo nje ya nchi jaribu kununua online iwe akiba ya baadae, Ushauri wangu kama upo nje nenda kwa dentist kama unayo insurance kama huna zipo community hospital mwambie asafishe halafu aweke root canal ya gel ipo white. Mimi nimefanya hivi miaka 10 sasa nipo poa tu.Kuipata hiyo karafuu huku nilipo ni shida.
Pisi Kali na imeoza meno🤔🤔😀Assalaam
Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino,
Jino ni la juu,linaumaga natumia dawa linatulia lakini leo hapana,limesimamia ukucha
Jino limeanza kuuma tokea saa nne usiku hadi mida hii halitulii,
Nimetumia chumvi kusukutua ni kama nimechochea maumivu,
Dawa nilizotumia ampiclox pmj na paracetamol,vigo doctor,
Nilishauriwa pia niwe natumia dawa ya meno ya colgate max,
Hapa linauma nahisi joto nahisi baridi,sijielewi naona hapakuchi.
Ahsante,limetulia ngoma usiku,Pole.... unaendeleaj kwa sasa...? Jino linatesa sana, ikiingia sukari,chumvi au upepo ukipiga utaisoma namba kwa kirumi..
Nipo mkoani mwenzangu.Kama upo nje ya nchi jaribu kununua online iwe akiba ya baadae, Ushauri wangu kama upo nje nenda kwa dentist kama unayo insurance kama huna zipo community hospital mwambie asafishe halafu aweke root canal ya gel ipo white. Mimi nimefanya hivi miaka 10 sasa nipo poa tu.
Dr huyo, hahaha,kuna dr aliniambia nisage biskuti niweke mdudu atashindwa kushambuliwa atakufa,. Nikamwambia aisee kwangu sukari ikiingia linauma sana, akasema basi vise v,Pisi Kali na imeoza meno[emoji848][emoji848][emoji3]
(Jokes)
Jaribu muscle plus Meloxicam ama gofen, zikigoma hizo go for extraction [emoji275]
Maduka ya Sunna hakuna huko au ya kuuza spices au maduka ya wapemba hata kama anauza vifaa vya ujenzi ukimwabia unahitaji unga wa karafuu atakupatia tu.Nipo mkoani mwenzangu.
Labda sokoni,Maduka ya Sunna hakuna huko au ya kuuza spices au maduka ya wapemba hata kama anauza vifaa vya ujenzi ukimwabia unahitaji unga wa karafuu atakupatia tu.