Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Pole Sana aisee.. Cha muhimu yasiwe ya mbele 😃Nimeshang'oa 5 mpk hapa🙌🙁
Ss mpk niwe mzee itakuwaje?
Na situmiki dawa za kawaida tena
Mswaki mi kabla sihalala ni lzm kuliko Muda wowote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole Sana aisee.. Cha muhimu yasiwe ya mbele 😃Nimeshang'oa 5 mpk hapa🙌🙁
Ss mpk niwe mzee itakuwaje?
Na situmiki dawa za kawaida tena
Mswaki mi kabla sihalala ni lzm kuliko Muda wowote
Yote ya mwishoni hukuPole Sana aisee.. Cha muhimu yasiwe ya mbele 😃
Yaani Huwa siwaamini Hawa watuMaeneo ya Machinga complex stand chini ya jengo palipo uvungu . Kuna Jamaa anauza dawa ya meno 2000 sasa nadhani 3000 tu. Ukitumia utapona kabisa. Jamaa ajengewe sanamu. Ni noma. Nilikuwa navimba fizi damu na usaha vinatoka nilipotumia dawa yake tu mwaka wa 3 sasa ni history imebaki
Tafuta mouthwash inaitwa listerine: cool mint anti bacteria.Assalaam
Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino,
Jino ni la juu,linaumaga natumia dawa linatulia lakini leo hapana,limesimamia ukucha
Jino limeanza kuuma tokea saa nne usiku hadi mida hii halitulii,
Nimetumia chumvi kusukutua ni kama nimechochea maumivu,
Dawa nilizotumia ampiclox pmj na paracetamol,vigo doctor,
Nilishauriwa pia niwe natumia dawa ya meno ya colgate max,
Hapa linauma nahisi joto nahisi baridi,sijielewi naona hapakuchi.
Yule mwamba salute.Yaani Huwa siwaamini Hawa watu
Ulibahatika
Jmn labda nikabahatishe
Duh nitashukuru aiseeYule mwamba salute.
Ngoja nicheki namba yake nikutumie.
Kwakweli Jamaa angeweza kupromote dawa yake angekuwa tajiri lakini still poor.
Waza : kung'oa 10k -20
Dawa ya kuponyesha 2k-3.
Amazing
Pole Sana aiseeYote ya mwishoni huku
Ht hivyo it's no good at all
Asante
Nenda hospital waangalie kama ni la kutoa au lifanyweje. Na nakuhakikishia halijauma kufikia ile level ya juu. Ungekuwa umeshaling'oa hata kwa jiwe.Maumivu ya jino ni shida,usiku sijalala hata kidogo na hapa naogopa ata kula yaani.
OK sawa maana naendelea na dozi I hope baada ya muda elekezi ntakua nimepona kabisaNi kweli ila kutumia kwa Wiki mbili hakuna shimo litakalo chimbika hata baking soda inachimba ukitumia zaidi ya wiki 2. Ila Hio monkey brand inarudisha shimo la jino na kuwa zima kama mwanzo.
Weeeh limevimba,Nenda hospital waangalie kama ni la kutoa au lifanyweje. Na nakuhakikishia halijauma kufikia ile level ya juu. Ungekuwa umeshaling'oa hata kwa jiwe.
Pole Sana aisee
Pole sana. Lishughulikie ASAP.Weeeh limevimba,
Ukipona usisite kuleta mrejesho na wengine wapone kipenziAsante
Ngoja nisubiti huyu aliyeleta ushuhuda hapa niitafute hiyo dawa
Ahsante sana,.Pole sana. Lishughulikie ASAP.
Ahsante na hongera,Pole mwaya, unaendeleaje?
Kama kuna kitu sikijui basi ni matibabu ya meno. Kuna uzi wa zamani humu mwamba alilala uvunguni kisa maumivu ya jino.
Ulichoandika kuwa uking'oa jino bacteria wa jino ulilong'oa wanahamia jino lingine ni ushahidi tosha kuwa wewe muongo na tapeli heri ungesema tu kuwa una dawa ya kienyeji lakini sio Kwa uongo huo wa kusema uking"oa jino bacteria wanahamia jino lingineUdhibitisho upi? Hivi,kabla hizo dawa za kizungu hazijaja,watu walikuwa hawaugui nankutibiwa kwa hizo dawa?
Je,leo hii si wapo wanaojitibu kwa hizo na wanapona?
Kwa nini mnaamini katika kazi na akili za wazungu tuuuu! Huenda aliemuelekeza ana udhibitisho
Ko mdomo wako ni kama diaba😄🤣Nimeshang'oa 5 mpk hapa🙌🙁
Ss mpk niwe mzee itakuwaje?
Na situmiki dawa za kawaida tena
Mswaki mi kabla sihalala ni lzm kuliko Muda wowote
Kanunue Vivian umeze kwa siku 5, Kisha tafuta dawa ya asili.Asante
Ngoja nisubiti huyu aliyeleta ushuhuda hapa niitafute hiyo dawa