Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino

Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino

Assalaam


Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino,

Jino ni la juu,linaumaga natumia dawa linatulia lakini leo hapana,limesimamia ukucha

Jino limeanza kuuma tokea saa nne usiku hadi mida hii halitulii,

Nimetumia chumvi kusukutua ni kama nimechochea maumivu,

Dawa nilizotumia ampiclox pmj na paracetamol,vigo doctor,

Nilishauriwa pia niwe natumia dawa ya meno ya colgate max,

Hapa linauma nahisi joto nahisi baridi,sijielewi naona hapakuchi.
Kama limetoboka nenda kazibe liatpona Kabisa hiloo
 
Limeanza kuniuma kitambo,hayo madawa nimetumia,linatulia ata mwezi,

Sasa jana mchana nimetumia dicropa linatulia,

Dawa zimedunda
Diclopa sio nzuri kabisaa, Ina tuliza na kurudisha maumivu hatarii.
👉Bora Vivian, Kisha tafuta hiyo dawa Ni Kama unga- yaani una sahau
 
Assalaam


Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino,

Jino ni la juu,linaumaga natumia dawa linatulia lakini leo hapana,limesimamia ukucha

Jino limeanza kuuma tokea saa nne usiku hadi mida hii halitulii,

Nimetumia chumvi kusukutua ni kama nimechochea maumivu,

Dawa nilizotumia ampiclox pmj na paracetamol,vigo doctor,

Nilishauriwa pia niwe natumia dawa ya meno ya colgate max,

Hapa linauma nahisi joto nahisi baridi,sijielewi naona hapakuchi.
Meza vidonge vya Calcium. Utakuwa na upungufu wa madini ya Calcium
 
Assalaam


Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino,

Jino ni la juu,linaumaga natumia dawa linatulia lakini leo hapana,limesimamia ukucha

Jino limeanza kuuma tokea saa nne usiku hadi mida hii halitulii,

Nimetumia chumvi kusukutua ni kama nimechochea maumivu,

Dawa nilizotumia ampiclox pmj na paracetamol,vigo doctor,

Nilishauriwa pia niwe natumia dawa ya meno ya colgate max,

Hapa linauma nahisi joto nahisi baridi,sijielewi naona hapakuchi.
Pole sana
 
Back
Top Bottom