Naomba kueleweshwa; Je Google wanapataje mitaa na njia za dunia nzima?

Naomba kueleweshwa; Je Google wanapataje mitaa na njia za dunia nzima?

.
images.jpg
 
Moja kwa moja kwenye point. Wajuzi watujuze ni kwa vipi Google inazo barabara na vinjia hata vya vijijini swekeni kabisa. Na mara nyingine wameweka hadi majina ya mitaa.
Watu kama wewe na mm tunatuma kwa google map hata saivi hapo ukitaka mtaa wako office yako ionekane inawezekana sema hakuna malipo yyte utayopewa..
 
I wonder watakuwa na wafanyakazi wengi sana wa ku kusanya hizo data
Wana mbinu nyingi sana. Kuna watu wanaingiza taarifa zao au za biashara zao kwenye google pamoja na location ili wapate wateja zaidi. Pia kuna satellite mbalimbali zinazofanya kazi na google earth zinaitwa Landsat ndio zinafanya hiyo kazi. Ila kuna makampuni mengi sana ambayo yana satellite nyingi sana huko angani kwa ajili ya kazi mbalimbali, ikiwemo masuala ya mawasiliano, upelelezi, kijeshi, hali ya hewa, kilimo, mazingira, kupiga picha na mengineyo.



 
Google Map(GM) inatumia API za Google Earth(GE).Google Earth nayo hutumia software zinazozungumza na Satelite zao..Satelite zinaona kila kitu isipokua majina tu.hivyo GM wanapata majina ya sehemu husika kwa kufanya research nyingi zaidi na kujua Ramani ya nchi,Mkoa,Kata,wilaya na Vitongoji vyake..Ndio maana kila utapoenda mara nyingi kuna sehemu ya Kureview iyo location na survey fupi inayouliza hali ya sehemu husika..So kifupi Map ya dunia wanayo ila majina ndio wanafanya research...

Fun Fact ni kwamba pamoja uwezo wa satelite kuangaza dunia..kuna baadhi ya nchi wanatechnolojia inayozuia satelite kuona/kufanya kazi yake..Nchi hizi ni kama haohao google yani US kuna maeneo kama Whitestate house huwezi kuyaona kwa satelite..pia uarabuni kwenye makundi kama ISIS ,China baadhi ya maeneo,Russia, na Israel n.k
 
1. Kuna watu wanafanya hiyo kazi
2. Kuna satellite nyingi sana ziko huko juu zinazoom dunia live kila kitu wanakiona ndani ya sekunde chache.


Ogopa Mzungu
Hapa kijijini kwetu gesti iitwayo Deception sojourn. Maneno haya hayaonekani na satellite iliyoko angani, Cha ajabu ukienda Google map na kuzoom Kijiji utaona hayo maneno ' Deception Sojourn."
Satellite ingejuaje nilichpoandika ukutani?
 
Cookies nilikuwa najua ni za kutrack tabia yako ya kimtandao yaani unapokubali hizo cookies kwenye site flani, unaipa access ya kuona digital prints zako yaani popote pengine unapozurura online

Hii ni kwa ajili ya kupata data hususani online behaviour yako itakayowasaidia kujuaa matangazo gani wakuletee kutokana na historia ya kuperuzi kwako. So kama unapenda mpira, utaona matangazo ya mpira na betting etc
 
Cookies nilikuwa najua ni za kutrack tabia yako ya kimtandao yaani unapokubali hizo cookies kwenye site flani, unaipa access ya kuona digital prints zako yaani popote pengine unapozurura online

Hii ni kwa ajili ya kupata data hususani online behaviour yako itakayowasaidia kuda matangazo gani wakuletee kutokana na historia ya kuperuzi kwako. So kama unapenda mpira, utaona matangazo ya mpira na betting etc
Asante kwa jibu hili kuhusu cookies. Lilikuwa linanisumbua sana
 
Google Map(GM) inatumia API za Google Earth(GE).Google Earth nayo hutumia software zinazozungumza na Satelite zao..Satelite zinaona kila kitu isipokua majina tu.hivyo GM wanapata majina ya sehemu husika kwa kufanya research nyingi zaidi na kujua Ramani ya nchi,Mkoa,Kata,wilaya na Vitongoji vyake..Ndio maana kila utapoenda mara nyingi kuna sehemu ya Kureview iyo location na survey fupi inayouliza hali ya sehemu husika..So kifupi Map ya dunia wanayo ila majina ndio wanafanya research...

Fun Fact ni kwamba pamoja uwezo wa satelite kuangaza dunia..kuna baadhi ya nchi wanatechnolojia inayozuia satelite kuona/kufanya kazi yake..Nchi hizi ni kama haohao google yani US kuna maeneo kama Whitestate house huwezi kuyaona kwa satelite..pia uarabuni kwenye makundi kama ISIS ,China baadhi ya maeneo,Russia, na Israel n.k
Vipi Hamas hawaonekani kwenye GE ?
 
Google Map(GM) inatumia API za Google Earth(GE).Google Earth nayo hutumia software zinazozungumza na Satelite zao..Satelite zinaona kila kitu isipokua majina tu.hivyo GM wanapata majina ya sehemu husika kwa kufanya research nyingi zaidi na kujua Ramani ya nchi,Mkoa,Kata,wilaya na Vitongoji vyake..Ndio maana kila utapoenda mara nyingi kuna sehemu ya Kureview iyo location na survey fupi inayouliza hali ya sehemu husika..So kifupi Map ya dunia wanayo ila majina ndio wanafanya research...

Fun Fact ni kwamba pamoja uwezo wa satelite kuangaza dunia..kuna baadhi ya nchi wanatechnolojia inayozuia satelite kuona/kufanya kazi yake..Nchi hizi ni kama haohao google yani US kuna maeneo kama Whitestate house huwezi kuyaona kwa satelite..pia uarabuni kwenye makundi kama ISIS ,China baadhi ya maeneo,Russia, na Israel n.k

Noma
 
google inapata feeders kutoka kwa watu kama mimi na wewe...taarifa zote unazo ziona zimewekwa na watu kana mimi na wewe kwa kifupi hakuna mtambo wowote unao weza kuotea mtaa wa eneo lako bila mtu kuuweka huo mtaa...!

kuna watu wameajiliwa kwaajili ya kuhakikisha mitaa inapatikana kwenye google. na vizuri zaidi ni kuwa wewe pia kupitia smartphone yako unaweza kuongeza mtaa wowote au kubadilisha chochote kwenye mtaa uliopo teyari kwenye google.


mfano umeiomba google ikupeleke sehemu B lakini kwa bahati mbaya Google inaitambua sehemu B lakini inakuzungusha na kukupeleka eneo jingine tofauti. huku wewe ukiwa unapafahamu sehemu B kiuharisia. unaweza kuedit ilo eneo kwenda kwenye eneo sahihi.

Screenshot_20231220-212852.jpg

unaweza ukaset mtaa jina unalotaka wewe na kila mtu akauona...!​
 
Back
Top Bottom