Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani miss, nasubiri pia wajuzi watoe ufafanuzi zaidi 🙏🏽Asante leo nmeelewa maana ya cookies😍
Hilo map uliloshusha.kwanini mkuu
Au kodray, gwanji ama magadi.Nasikia ukitumbukia kwenye bwawa la mavi afu ukaibuka eti satellite haiwezi kukuona Hadi ukaogee mbunju au mbuni naomba kusaidiwa pengine nimedanganywa
Ndio maana nimeandika slavery mentality inakusumbua unakubali mafundisho hayo ya kijinga ya hao wazungu mkuu?Bado sana kufika....
View attachment 2848969
Kwamba hapo zamani za kale, alikuwepo adam na .......Ndio maana nimeandika slavery mentality inakusumbua unakubali mafundisho hayo ya kijinga ya hao wazungu mkuu?
Mkuu Hawa mbuzi wanaona Kila unachofanya,Yani wanasatelite ya kukuona Kila mahali,wanajua gest Gani unaingia Chocho Gani upo,tena wale wanao oga bafu za paspot saizi uswahilini wanachunguliwa kishenzi
Ila Hadija sometimes muongo sana, kuna siku alitupoteza kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]karibu sana...hata kama unataka kuuona mtaa wako kwenye map na haupo unaweza ukaniambia nikakusaidia au nikakufundisha jinsi ya kuuweka...!
sijakuelewaIla Hadija sometimes muongo sana, kuna siku alitupoteza kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa mfano sasa niko njia panda ya Kunduchi hapa mbuyuni. Kuna traffic jam ya kufa mtu. Je ninawezaje kuiona?Taarifa wanapata kupitia satellite, kupitia watu simu yako ina mchango mkubwa sana kutoa taarifa kwenye Google map , Ndo maana ukiwa unaelekea sehemu flan wanauwezo wa kukuonyesha njia hii ina traffic jam kwahiyo maamuzi ni yako kupita huko au kubadili njia, sasa hizo taarifa za uwepo wa jam barabarani zinatolewa kupitia device walizonazo watu maana sahivi asilimia kubwa watu wana smartphone kwahiyo ni rahisi Google kujua taarifa za eneo
Washa location kwenye simu yako alafu Google location ya ulipo na sehem unapoenda itakunyesha njia ya huko unapokwenda na hali ya barabara kama ina msongamano itakuonyeshaKwa mfano sasa niko njia panda ya Kunduchi hapa mbuyuni. Kuna traffic jam ya kufa mtu. Je ninawezaje kuiona?
ndio unaweza kuona... sehemu yenye jam huwa na rangi nyekundu kwenye ramani...Kwa mfano sasa niko njia panda ya Kunduchi hapa mbuyuni. Kuna traffic jam ya kufa mtu. Je ninawezaje kuiona?
Hawajui kuwa kila mtu mwenye smartphone anachangia hapoKuna watu wanafanya hiyo kazi babu
Very helpful!!ndio unaweza kuona... sehemu yenye jam huwa na rangi nyekundu kwenye ramani...View attachment 2849596
Mkuu uko vizuri, nimeona kabisa queue ìlipo, Fyatanga hadi Boko CCMWasha location kwenye simu yako alafu Google location ya ulipo na sehem unapoenda itakunyesha njia ya huko unapokwenda na hali ya barabara kama ina msongamano itakuonyesha
Yeah unaona kila kitu mi binafsi nilienda Mwanza kwa mara ya kwanza nipo peke yangu sijui jiji lakini wala sikumuuliza mtu yoyote kwenda sehem flan unapita wapi wala nini nikawa na Google tu location na ninafika kama mwenyeji hadi siku naondoka changamoto zilikua ndogo ndogo tuMkuu uko vizuri, nimeona kabisa queue ìlipo, Fyatanga hadi Boko CCM
Actually google map ni project ya jeshi la marekani, hizo picha unazoona wewe kwa simu ni za kiwango cha chini sana(civilian version ya google map), wao wanaona kama unavoangalia wewe movie kwenye TV yako. So hata kama unatembea barabarani wakikufocus ni kama wanakuangalia live tu.hapo kwenye kuonekana sio kweli...kuna baadhi ya vitu ukiepuka kuambatana navyo akuna satellites itakayokuona...!
Ma satelite yamejaa huko angani kila kona wanatuchora tu, yaani mtu huijui mbagala lakin ukiweka google map tu Khadija anakupeleka hadi mlango pale unapoenda 😀Moja kwa moja kwenye point. Wajuzi watujuze ni kwa vipi Google inazo barabara na vinjia hata vya vijijini swekeni kabisa. Na mara nyingine wameweka hadi majina ya mitaa.