Nyamesocho
JF-Expert Member
- May 5, 2023
- 487
- 1,287
Satellites
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa maelezo yenye madini ya kushibishaGoogle Map(GM) inatumia API za Google Earth(GE).Google Earth nayo hutumia software zinazozungumza na Satelite zao..Satelite zinaona kila kitu isipokua majina tu.hivyo GM wanapata majina ya sehemu husika kwa kufanya research nyingi zaidi na kujua Ramani ya nchi,Mkoa,Kata,wilaya na Vitongoji vyake..Ndio maana kila utapoenda mara nyingi kuna sehemu ya Kureview iyo location na survey fupi inayouliza hali ya sehemu husika..So kifupi Map ya dunia wanayo ila majina ndio wanafanya research...
Fun Fact ni kwamba pamoja uwezo wa satelite kuangaza dunia..kuna baadhi ya nchi wanatechnolojia inayozuia satelite kuona/kufanya kazi yake..Nchi hizi ni kama haohao google yani US kuna maeneo kama Whitestate house huwezi kuyaona kwa satelite..pia uarabuni kwenye makundi kama ISIS ,China baadhi ya maeneo,Russia, na Israel n.k
Elimu haina mwisho, asante ndugu kwa madini hayagoogle inapata feeders kutoka kwa watu kama mimi na wewe...taarifa zote unazo ziona zimewekwa na watu kana mimi na wewe kwa kifupi hakuna mtambo wowote unao weza kuotea mtaa wa eneo lako bila mtu kuuweka huo mtaa...!
kuna watu wameajiliwa kwaajili ya kuhakikisha mitaa inapatikana kwenye google. na vizuri zaidi ni kuwa wewe pia kupitia smartphone yako unaweza kuongeza mtaa wowote au kubadilisha chochote kwenye mtaa uliopo teyari kwenye google.
mfano umeiomba google ikupeleke sehemu B lakini kwa bahati mbaya Google inaitambua sehemu B lakini inakuzungusha na kukupeleka eneo jingine tofauti. huku wewe ukiwa unapafahamu sehemu B kiuharisia. unaweza kuedit ilo eneo kwenda kwenye eneo sahihi.
View attachment 2848469
unaweza ukaset mtaa jina unalotaka wewe na kila mtu akauona...!
Lakin USA haiwezi kuwa na haya ya picha ya lukunjai anae oga zake uswahili huko.Mkuu Hawa mbuzi wanaona Kila unachofanya,Yani wanasatelite ya kukuona Kila mahali,wanajua gest Gani unaingia Chocho Gani upo,tena wale wanao oga bafu za paspot saizi uswahilini wanachunguliwa kishenzi
Baada ya Mungu ni Mzungu.1. Kuna watu wanafanya hiyo kazi
2. Kuna satellite nyingi sana ziko huko juu zinazoom dunia live kila kitu wanakiona ndani ya sekunde chache.
Ogopa Mzungu
Hili ndio jibu sahihi ila kuna watu huko juu wanajibu kwa ujuaji hewagoogle inapata feeders kutoka kwa watu kama mimi na wewe...taarifa zote unazo ziona zimewekwa na watu kana mimi na wewe kwa kifupi hakuna mtambo wowote unao weza kuotea mtaa wa eneo lako bila mtu kuuweka huo mtaa...!
kuna watu wameajiliwa kwaajili ya kuhakikisha mitaa inapatikana kwenye google. na vizuri zaidi ni kuwa wewe pia kupitia smartphone yako unaweza kuongeza mtaa wowote au kubadilisha chochote kwenye mtaa uliopo teyari kwenye google.
mfano umeiomba google ikupeleke sehemu B lakini kwa bahati mbaya Google inaitambua sehemu B lakini inakuzungusha na kukupeleka eneo jingine tofauti. huku wewe ukiwa unapafahamu sehemu B kiuharisia. unaweza kuedit ilo eneo kwenda kwenye eneo sahihi.
View attachment 2848469
unaweza ukaset mtaa jina unalotaka wewe na kila mtu akauona...!
Ivi ipo live street kweli nasikia kuna map inaunganishwa na cctv za mahala husika ni kweli?
Hili ndio jibi sahihi ila kuna watu huko juu wanajibu kwa ujuaji hewa
Elimu haina mwisho, asante ndugu kwa madini haya
karibu sana...hata kama unataka kuuona mtaa wako kwenye map na haupo unaweza ukaniambia nikakusaidia au nikakufundisha jinsi ya kuuweka...!
wanakuwa wameconnect na satelite iliyopo angani kama vile ile ya NASA!!Moja kwa moja kwenye point. Wajuzi watujuze ni kwa vipi Google inazo barabara na vinjia hata vya vijijini swekeni kabisa. Na mara nyingine wameweka hadi majina ya mitaa.
karibu sanaNitakufuata inbox
Asante leo nmeelewa maana ya cookies😍Cookies nilikuwa najua ni za kutrack tabia yako ya kimtandao yaani unapokubali hizo cookies kwenye site flani, unaipa access ya kuona digital prints zako yaani popote pengine unapozurura online
Hii ni kwa ajili ya kupata data hususani online behaviour yako itakayowasaidia kuda matangazo gani wakuletee kutokana na historia ya kuperuzi kwako. So kama unapenda mpira, utaona matangazo ya mpira na betting etc
Ahahah...sikuwa na wazo la hilo dili.....ila nimelocate majina ya mitaa na taasisi nyingi kwenye Google Earth/Mapasante kwa kuniamini hapa umenifanya nijue kuwa hata wewe ni mwana mtandao...🤣🤣🤣
google nimeichezea sana nimeshawahi kubadili majina makubwa ya sehemu zilizo kosewa. na kuongeza sehemu zilizo miss...
na kuna watu nimeshawahi kuwapiga pesa ndefu nilivyo wahakikushia kuwa naweza kuwasiliana na google na majina yao yatawekwa kwenye Ramani🤣🤣🤣 baada ya masaa 24 na kweli kabla ya muda huo wakaanza kujiona kwenye map...
Embu tuelekezane mi kuna siku niliedit kumbe wanaon kila mtu
hizo taasisi ungezipiga pesa...🤣🤣🤣🤣Ahahah...sikuwa na wazo la hilo dili.....ila nimelocate majina ya mitaa na taasisi nyingi kwenye Google Earth/Map
sio TanzaniaHizi gari zinapita kila chochoro, nimeshawahi kumuona wife na watoto wakitoka shule kwenye streetview lakini wanawaficha sura na gari wanaficha numberplate...
View attachment 2848929
View attachment 2848925