Naomba kueleweshwa; Je Google wanapataje mitaa na njia za dunia nzima?

Naomba kueleweshwa; Je Google wanapataje mitaa na njia za dunia nzima?

Google Map(GM) inatumia API za Google Earth(GE).Google Earth nayo hutumia software zinazozungumza na Satelite zao..Satelite zinaona kila kitu isipokua majina tu.hivyo GM wanapata majina ya sehemu husika kwa kufanya research nyingi zaidi na kujua Ramani ya nchi,Mkoa,Kata,wilaya na Vitongoji vyake..Ndio maana kila utapoenda mara nyingi kuna sehemu ya Kureview iyo location na survey fupi inayouliza hali ya sehemu husika..So kifupi Map ya dunia wanayo ila majina ndio wanafanya research...

Fun Fact ni kwamba pamoja uwezo wa satelite kuangaza dunia..kuna baadhi ya nchi wanatechnolojia inayozuia satelite kuona/kufanya kazi yake..Nchi hizi ni kama haohao google yani US kuna maeneo kama Whitestate house huwezi kuyaona kwa satelite..pia uarabuni kwenye makundi kama ISIS ,China baadhi ya maeneo,Russia, na Israel n.k
Asante kwa maelezo yenye madini ya kushibisha
 
google inapata feeders kutoka kwa watu kama mimi na wewe...taarifa zote unazo ziona zimewekwa na watu kana mimi na wewe kwa kifupi hakuna mtambo wowote unao weza kuotea mtaa wa eneo lako bila mtu kuuweka huo mtaa...!

kuna watu wameajiliwa kwaajili ya kuhakikisha mitaa inapatikana kwenye google. na vizuri zaidi ni kuwa wewe pia kupitia smartphone yako unaweza kuongeza mtaa wowote au kubadilisha chochote kwenye mtaa uliopo teyari kwenye google.


mfano umeiomba google ikupeleke sehemu B lakini kwa bahati mbaya Google inaitambua sehemu B lakini inakuzungusha na kukupeleka eneo jingine tofauti. huku wewe ukiwa unapafahamu sehemu B kiuharisia. unaweza kuedit ilo eneo kwenda kwenye eneo sahihi.

View attachment 2848469
unaweza ukaset mtaa jina unalotaka wewe na kila mtu akauona...!​
Elimu haina mwisho, asante ndugu kwa madini haya
 
Mkuu Hawa mbuzi wanaona Kila unachofanya,Yani wanasatelite ya kukuona Kila mahali,wanajua gest Gani unaingia Chocho Gani upo,tena wale wanao oga bafu za paspot saizi uswahilini wanachunguliwa kishenzi
Lakin USA haiwezi kuwa na haya ya picha ya lukunjai anae oga zake uswahili huko.
 
google inapata feeders kutoka kwa watu kama mimi na wewe...taarifa zote unazo ziona zimewekwa na watu kana mimi na wewe kwa kifupi hakuna mtambo wowote unao weza kuotea mtaa wa eneo lako bila mtu kuuweka huo mtaa...!

kuna watu wameajiliwa kwaajili ya kuhakikisha mitaa inapatikana kwenye google. na vizuri zaidi ni kuwa wewe pia kupitia smartphone yako unaweza kuongeza mtaa wowote au kubadilisha chochote kwenye mtaa uliopo teyari kwenye google.


mfano umeiomba google ikupeleke sehemu B lakini kwa bahati mbaya Google inaitambua sehemu B lakini inakuzungusha na kukupeleka eneo jingine tofauti. huku wewe ukiwa unapafahamu sehemu B kiuharisia. unaweza kuedit ilo eneo kwenda kwenye eneo sahihi.

View attachment 2848469
unaweza ukaset mtaa jina unalotaka wewe na kila mtu akauona...!​
Hili ndio jibu sahihi ila kuna watu huko juu wanajibu kwa ujuaji hewa
 
Hili ndio jibi sahihi ila kuna watu huko juu wanajibu kwa ujuaji hewa
asante kwa kuniamini hapa umenifanya nijue kuwa hata wewe ni mwana mtandao...🤣🤣🤣

google nimeichezea sana nimeshawahi kubadili majina makubwa ya sehemu zilizo kosewa. na kuongeza sehemu zilizo miss...

na kuna watu nimeshawahi kuwapiga pesa ndefu nilivyo wahakikushia kuwa naweza kuwasiliana na google na majina yao yatawekwa kwenye Ramani🤣🤣🤣 baada ya masaa 24 na kweli kabla ya muda huo wakaanza kujiona kwenye map...

 
Cookies nilikuwa najua ni za kutrack tabia yako ya kimtandao yaani unapokubali hizo cookies kwenye site flani, unaipa access ya kuona digital prints zako yaani popote pengine unapozurura online

Hii ni kwa ajili ya kupata data hususani online behaviour yako itakayowasaidia kuda matangazo gani wakuletee kutokana na historia ya kuperuzi kwako. So kama unapenda mpira, utaona matangazo ya mpira na betting etc
Asante leo nmeelewa maana ya cookies😍
 
asante kwa kuniamini hapa umenifanya nijue kuwa hata wewe ni mwana mtandao...🤣🤣🤣

google nimeichezea sana nimeshawahi kubadili majina makubwa ya sehemu zilizo kosewa. na kuongeza sehemu zilizo miss...

na kuna watu nimeshawahi kuwapiga pesa ndefu nilivyo wahakikushia kuwa naweza kuwasiliana na google na majina yao yatawekwa kwenye Ramani🤣🤣🤣 baada ya masaa 24 na kweli kabla ya muda huo wakaanza kujiona kwenye map...

Ahahah...sikuwa na wazo la hilo dili.....ila nimelocate majina ya mitaa na taasisi nyingi kwenye Google Earth/Map
 
Embu tuelekezane mi kuna siku niliedit kumbe wanaon kila mtu
yap...na ukiedit kitu kwa uongo ukabadili dhamira hakiwezi kufanyiwa edit muda huo huo mpaka watumiaji wengine wakubaliane na mabadiliko uliyo yafanya.

ila kuna watu wamefanya edit nyingi za uhakika hivyo wao wakiedit chochote kinabadilika muda huo huo..

Screenshot_20231221-120634.jpg
mimi shughuri zangu ninazofanya zinautumia mtandao wa google map kwa asilimia 90. hivyo Google map wananiamini sana🤣🤣🤣​
 
Back
Top Bottom