Naomba kuelezwa ni nani Mwingine zaidi ya Dkt Tulia na David Kafulila amewahi kurejesha Chenji Serikalini?

🤑🤑🤑🤑
 
Ww lucas ni mtoto mdgo sana mm mzee wangu alirudisha 400M zilizobaki kwenye ujenzi wa ...... simtaji jina wala kazi yake ila na record ipo mpaka leo ila ameshastaafu
 
Ww lucas ni mtoto mdgo sana mm mzee wangu alirudisha 400M zilizobaki kwenye ujenzi wa ...... simtaji jina wala kazi yake ila na record ipo mpaka leo ila ameshastaafu
Nakumbuka pia Marehemu Peter Kushoka aliyekuwa GM wa UDA alipokwenda kufunga deal ya ununuzi wa zile basi za Ikarus alipewa commission ya basi moja lile lilikuwa la rangi ya blue aliliingiza kwenye fleet ya UDA. Angekuwa hawa wa kula kaarwa urefu wa kamba zao angeomba apewe dollars zake akunje mfukoni.
 
Thread nne mtu mmoja ambaye watendaji wanajua kabisa baba ufanisi is wrng

Uko ma politics kila wakati hata kwenye issue za kitendaji

Adui mkubwa wa maendeleo ya kisekta ya Tanzania ni watu wanaoleta siasa kila sehemu

China is succeeding because imeacha kufungamqnisha siasa na utendaji

You are not helping
 
Ni watumishi waandamizi waliopewa dhamana ya kusimamia pesa za umma.lakini kwa Tamaa wanaamua kukiuka viapo vyao na kufuja pesa za umma.
Hapa unammpiga mh rais kwamba hawasimamii vizuri

Kuna sehemu una shida dogo… too many unforced errors in your game plan
 
Siasa za hivi haziwezi kutufikisha popote.

Soma ulichoandika halafu ihoji nafsi yako. Unaposema wengeamua, wangetunisha mifuko yao ni wazi kuwa unasema nchi yetu ina mifumo mibovu. Pili, force account imeumiza sana wakandarasi.

Kojoa ukalale
 
Tulia ni mwadilifu sana labda abadilike Kafulil pia anarekodi nzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…