The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Jikite kwenye hoja,kama unasikia wivu na wewe kuwa chawaJichawa kuu la jf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jikite kwenye hoja,kama unasikia wivu na wewe kuwa chawaJichawa kuu la jf
Kuna kurudisha Kwa sababu pesa imevuka mwaka na miradi haikutekelzwa ipasavyo.Wewe kweli una short memory na labda ni watoto waliokunywa maziwa ya lactogen badala ya maziwa ya mama.
Kabla ya uhuru na baada ya uhuru ilikuwa kawaida kurudisha hazina fedha ambayo haikutumika kwenye idara mbali mbali.
Tatizo hawa CHADEMA Kila anayeandika chochote hapa anakuwa ni chawaJikite kwenye hoja,kama unasikia wivu na wewe kuwa chawa
Basi kama ubora ni ule ule bora hivyo maana madude ya serikali yanakuwa ghali mno. Ukiingia befoward prado zero km unachukua kwa 120 pamoja na kodi. Serikali ikinunua the same prado tena bila kodi inakua 200m😃😃Wanasema alitumia Force account na Local fundi, alitumia pesa kidogo sana ndio maana watu wanamsifu sana
Afanye mwingine wewe umsemee eti ngumu huoni una mtindio wa ubongo? 😁😁😁😁Uchawa kazi ngumu.
Hao ni looser na Wana frastrution za maishaTatizo hawa CHADEMA Kila anayeandika chochote hapa anakuwa ni chawa
Kujipanga kurudi bungeni si kosa, hata mimi najipanga kugombea Jimbo la Kyela , lakini kujipanga kwa kutumia hila, Utapeli na chawa kwa kulaghai watu haikubalikiKwani mtu kujipanga kurudi Bungeni Kuna shida?
Nadhani hoja hapa ni Uzalendo au viashiria vya uzalendo hawa watu wanavyo?
Sugu na Wenje wangewanunua Kwa Mataputapu? 😂😂Narudisha kwa sababu ndivyo napaswa nifanye.Usiite chenji.Ni neno la kihuni hilo.Ita bakaa.Salio ishia.
Sijakuelewa hapo.Umemaanisha nini ndugu?Sugu na Wenje wangewanunua Kwa Mataputapu? 😂😂
Sahii kabisa hata 2mbili nae alikataa US$800,000 zaidi ya 2bl za Escrow hawa watu wananifurahisha sana.Kuna kurudisha Kwa sababu pesa imevuka mwaka na miradi haikutekelzwa ipasavyo.
Hoja ni mradi umekwisha na chenji imebakia.
Jerry na Bashungwa walikataa Rushwa za mabilioni
Wewe si ni Chadema? Kwenye uchaguzi mumenunuliwa Kwa Mataputapu na Sugu na Wenje mkawachagua 😁😁Sijakuelewa hapo.Umemaanisha nini ndugu?
😂😂😂Mkuu ulipotelewa wapi?Sugu na Wenje wangewanunua Kwa Mataputapu? 😂😂
😂😂😂CHADEMA hopeless kabisaWewe si ni Chadema? Kwenye uchaguzi mumenunuliwa Kwa Mataputapu na Sugu na Wenje mkawachagua 😁😁
Rushwa ambayo unaona inaenda kuangamiza Nchi huwezi kubali.Lakini Mkandarasi anataka kazi na uwezo anao hiyo Rushwa nachukua maana ni ya kupata kazi sio kuumiza mwingine,wanaoumia hapo ni washindani tuu sio Wananchi.Sahii kabisa hata 2mbili nae alikataa US$800,000 zaidi ya 2bl za Escrow hawa watu wananifurahisha sana.
Yes nadhani wewe unaeleweka vizuri zaidiKuna kurudisha Kwa sababu pesa imevuka mwaka na miradi haikutekelzwa ipasavyo.
Hoja ni mradi umekwisha na chenji imebakia.
Jerry na Bashungwa walikataa Rushwa za mabilioni
😃😃Rushwa ambayo unaona inaenda kuangamiza Nchi huwezi kubali.Lakini Mkandarasi anataka kazi na uwezo anao hiyo Rushwa nachukua maana ni ya kupata kazi sio kuumiza mwingine,wanaoumia hapo ni washindani tuu sio Wananchi.
cC DP World 😂😂
Hii ni mwaka 2015? duuuSahii kabisa hata 2mbili nae alikataa US$800,000 zaidi ya 2bl za Escrow hawa watu wananifurahisha sana.
Lini,wapi na mara ngapi nilikueleza,kujieleza na kukupa cheti cha uanachama mnachokiita kadi,uliniona lini kwenye vikao/mikutano na kujinasibisha na CDM?Hebu jibu hayo ndiyo uendelee na maswali yako.Wewe si ni Chadema? Kwenye uchaguzi mumenunuliwa Kwa Mataputapu na Sugu na Wenje mkawachagua 😁😁
No 2014Hii ni mwaka 2015? duuu
Mataputapu tu mtu anashinda Uchaguzi duuuh😂😂😂Lini,wapi na mara ngapi nilikueleza,kujieleza na kukupa cheti cha uanachama mnachokiita kadi,uliniona lini kwenye vikao/mikutano na kujinasibisha na CDM?Hebu jibu hayo ndiyo uendelee na maswali yako.