FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Wakati najaribu kutafuta ‘uchawi’ unaotumika kufanya bei ya mafuta ambayo gharama zake zote hadi kuyafikisha bandarini Dar es Salaam ni 1,116/= kuuzwa kwa bei inayofika hadi 3,500/= baadhi ya mikoa (tofauti ya 2,500/= kwa lita), nilikutana na ‘kodi’ inaitwa ‘Fuel marking’
Katika kujaribu kudososa hii ni kodi ya aina gani, nikaja kugundua kwamba ‘fuel marking’ ni kitendo cha kuweka kemikali zenye vinasaba maalum kwenye mafuta ili kutofautisha mafuta yaliyolipiwa kodi na yake ambayo hayajalipowa kodi.
Sasa kucheki kiasi cha pesa kinacholiwa kwa lita kwa ajili ya kiwela hivyo vinasaba, nikakuta kwamba ni matrillion y pesa tunalipa kwa kila lita tunayonunua.
Sasa naomba kuelimishwa, haya matrillion ya ‘fuel marking’ yanaenda serikalini au kuna mtu analamba asali hapo kwa kubugia? Ni nani anahusika na hili zoezi la ‘Fuel marking’?
Katika kujaribu kudososa hii ni kodi ya aina gani, nikaja kugundua kwamba ‘fuel marking’ ni kitendo cha kuweka kemikali zenye vinasaba maalum kwenye mafuta ili kutofautisha mafuta yaliyolipiwa kodi na yake ambayo hayajalipowa kodi.
Sasa kucheki kiasi cha pesa kinacholiwa kwa lita kwa ajili ya kiwela hivyo vinasaba, nikakuta kwamba ni matrillion y pesa tunalipa kwa kila lita tunayonunua.
Sasa naomba kuelimishwa, haya matrillion ya ‘fuel marking’ yanaenda serikalini au kuna mtu analamba asali hapo kwa kubugia? Ni nani anahusika na hili zoezi la ‘Fuel marking’?