Bro kuna mapaka mabishoo usiombe ukamfuga akawa wa aina hiyoFuga paka hutowaona panya nyumbani kwako
hakamati panya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bro kuna mapaka mabishoo usiombe ukamfuga akawa wa aina hiyoFuga paka hutowaona panya nyumbani kwako
Heci jamaa kaomba ushauri nami nikatimiza wajibu wangu uchawi uko wapi hapo?Jamaa kila kitu unaona ni cha kichawi tu
Fugaa paka panya wote watakimbiaNi miezi sasa panya wamekuwa wananisumbua sana! Nimejaribu dawa za unga mweusi zinazouzwa dukani zimeshindwa, zile za pellets ndiyo hamna kitu!!
Panya hawa huingia ndani mwangu kuanzia jioni na hunichachafya hadi asubuhi! Nimewafuatilia naona wanatoka kwa jirani
Kwangu kuna fence ajabu wanaivuka na kuingia na kutoka! Nikiri ninaishi mazingira ambapo watu wakivuna mazao wanayahifadhi wenyewe tena wengine hufanya hivyo kienyeji, ndiyo maana hata panya wana afya kwa sababu hupata mlo kamili!
Imefikia hatua kwa kuwa huwa hata wanakimbizana wakiwa juu, panya akikudondokea maumivu yake ni kama umetupiwa jiwe la manati!
Naombeni msaada wa dawa nzuri ili niwateketeze!!
Kwa hao panya wanaopata mlo kamili huyu mleta uzi na huyo paka wote watakimbizwa humo ndaniFuga paka hutowaona panya nyumbani kwako
Hii ni njiia ya kuuwa panya wengi kwa pamoja mfano kwenye mashamba au store, cement inaenda kuzuia digestion systemHahahahaha dah watakufa Kwa kuvimba matumbo, kifo Kibaya sana
Paka wa mjini wanacheza na panya.Fugaa paka panya wote watakimbia
indocine kuipata ni tabu hata kama ipo wanaweza kukuficha tz haiuzwi kihalali kwa hio kuwa makini namna wa kuipata...angalia chakula walichokula kama nyanya nyunyizia pale walipokula watarudi kesho au baadae katakata nyanya weka wanaipenda sana uzuri wanakufa hadharani miguuu huishiwa nguvu ikimkolea unaweza mshika kwa mkono...inaua taratibu ila wataisha....Hio ndo Dawa yangu pigo la mwisho.Aaante kwa ushauri nitaufanyia kazi!Kuhusu unga wanakula unga upi?Maana nilijaribu kutumia sembe hawakula au nitumie unga wa muhogo?
Nenda pharmacy kanunue vidonge vinaitwa indomethacin changanya na unga wale
phamacy..unachanganya na nyanya nyunyuzia ukiwa umeshaikata....Sorry hivi vidonge Unachanganya na nini?
Au ni vidonge peke yake tuuu?
Vinapatikana Pharmacy au maduka ya kilimo na Mifugo?
Nataka nijaribu na hii!
Pharmacy zote vinauzwa shilingi elf moja vipo kumi,ni vya unga vipo ndani ya kava la plasticSorry hivi vidonge Unachanganya na nini?
Au ni vidonge peke yake tuuu?
Vinapatikana Pharmacy au maduka ya kilimo na Mifugo?
Nataka nijaribu na hii!
Acha izo mshana, hawa ni panya wafata chakula tuMwaga chumvi ya mawe kwenye mapito yao yote, kama ni wa kutumwa hutawaona tena na hata kama ni wa kawaida hawatakusumbua tena
Sent using Jamii Forums mobile app
DahHii ni njiia ya kuuwa panya wengi kwa pamoja mfano kwenye mashamba au store, cement inaenda kuzuia digestion system
Indosidi changanya na pilton Kazi imeisha,wanakula na wanakuga tatatibu na hawajui chanzo chan kufa ni niniNi miezi sasa panya wamekuwa wananisumbua sana! Nimejaribu dawa za unga mweusi zinazouzwa dukani zimeshindwa, zile za pellets ndiyo hamna kitu!!
Panya hawa huingia ndani mwangu kuanzia jioni na hunichachafya hadi asubuhi! Nimewafuatilia naona wanatoka kwa jirani
Kwangu kuna fence ajabu wanaivuka na kuingia na kutoka! Nikiri ninaishi mazingira ambapo watu wakivuna mazao wanayahifadhi wenyewe tena wengine hufanya hivyo kienyeji, ndiyo maana hata panya wana afya kwa sababu hupata mlo kamili!
Imefikia hatua kwa kuwa huwa hata wanakimbizana wakiwa juu, panya akikudondokea maumivu yake ni kama umetupiwa jiwe la manati!
Naombeni msaada wa dawa nzuri ili niwateketeze!!
Wale ni washkaji sanaPaka shume na panya buku wao ni marafiki na huishi pamoja kwenye magowdown.
Fuga tu paka wa akiwa bado mdogo atadili na hao 'chamaki nchanga' maana ni chakula yake.