Naomba kufahamishwa dawa nzuri ya kuua Panya, unga mweusi umedunda

Naomba kufahamishwa dawa nzuri ya kuua Panya, unga mweusi umedunda

Weka dawa ya binadamu Indocid kwenye nyanya. Indocid ni jina lingine la vidonge alivyo kuambia mchangiaji mmoja kule juu.
 
Panya wa siku hizi Hawali mavyakula au mavitu kizembe, Utasubiri sana.

Cha kufanya Tumia mtego Ule wa gundi, weka wanapopita.

Watanasa mpaka uwacheke.

,andaa plaizi ya kuwabandulia kwenye mtego waliponasa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mpk uwacheke
 
Kwanini mnakuwa na vichwa vigumu kuelewa? Soma tena nilichoandika soma taratibu na kwa umakini halafu soma alichoandika mleta mada[emoji1541][emoji1541][emoji1541]

Nikiri ninaishi mazingira ambapo watu wakivuna mazao wanayahifadhi wenyewe tena wengine hufanya hivyo kienyeji, ndiyo maana hata panya wana afya kwa sababu hupata mlo kamili!

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] panya wenye kupata mlo kamili sio ?
 
Ni miezi sasa panya wamekuwa wananisumbua sana! Nimejaribu dawa za unga mweusi zinazouzwa dukani zimeshindwa, zile za pellets ndiyo hamna kitu!!

Panya hawa huingia ndani mwangu kuanzia jioni na hunichachafya hadi asubuhi! Nimewafuatilia naona wanatoka kwa jirani

Kwangu kuna fence ajabu wanaivuka na kuingia na kutoka! Nikiri ninaishi mazingira ambapo watu wakivuna mazao wanayahifadhi wenyewe tena wengine hufanya hivyo kienyeji, ndiyo maana hata panya wana afya kwa sababu hupata mlo kamili!

Imefikia hatua kwa kuwa huwa hata wanakimbizana wakiwa juu, panya akikudondokea maumivu yake ni kama umetupiwa jiwe la manati!

Naombeni msaada wa dawa nzuri ili niwateketeze!!
Pants huwa nawatazama kwa macho matatu.mawili ya ulimwengu huu wa nyama na damu.jicho moja la ulimwengu wa kiroho.tangu TU rafiki yangu aliposhuhudia panya mmoja anavuta kiroba Cha unga wa sembe Cha kilo kumi kutoka kabatini huku akiondoka nacho.
 
Pants huwa nawatazama kwa macho matatu.mawili ya ulimwengu huu wa nyama na damu.jicho moja la ulimwengu wa kiroho.tangu TU rafiki yangu aliposhuhudia panya mmoja anavuta kiroba Cha unga wa sembe Cha kilo kumi kutoka kabatini huku akiondoka nacho.
Kisha atatatua vipi hilo tatizo?
 
UMUNYU tumia njia hii chukua Diaba sijui Jaba liweke maji yafike nusu, halafu chukua Pumba za mahindi ziweke katika ilo Jaba lenye maji hadi ionekane kama Jaba lina pumba maji yasionekane.
Panya watajua kuwa wewe umehifadhi pumba huko kwakua zimeloa zitakua zinatoa harufu fulani basi wakiingia wataishia kuzama na utawanasa wengi...utaamua kuwaua au kupika!! Kidding...
 
Ni miezi sasa panya wamekuwa wananisumbua sana! Nimejaribu dawa za unga mweusi zinazouzwa dukani zimeshindwa, zile za pellets ndiyo hamna kitu!!

Panya hawa huingia ndani mwangu kuanzia jioni na hunichachafya hadi asubuhi! Nimewafuatilia naona wanatoka kwa jirani

Kwangu kuna fence ajabu wanaivuka na kuingia na kutoka! Nikiri ninaishi mazingira ambapo watu wakivuna mazao wanayahifadhi wenyewe tena wengine hufanya hivyo kienyeji, ndiyo maana hata panya wana afya kwa sababu hupata mlo kamili!

Imefikia hatua kwa kuwa huwa hata wanakimbizana wakiwa juu, panya akikudondokea maumivu yake ni kama umetupiwa jiwe la manati!

Naombeni msaada wa dawa nzuri ili niwateketeze!!
Dawa yake kuu ni kuwatafuna kwanza.
 
Nilifanya kama ulivyosema tatizo hawali mchanganyo wangu
Haina haraka cha msingi uweke kwenye maeneo wayapendayo,kitendo cha wao kutojua chanzo cha kifo watahama na kutafuta makazi mapya
 
Hao panya ukitaka kuwawekea sumu unatangazaa[emoji23][emoji23][emoji23], wenzio wanasikia then wanahamia kwa jirani,baada ya muda wanarudi,

Na kama sumu muweke na nyumba jirani zinazokuzunguka,bila hivyo utakuwa unajisumbua tu,wanahama na wakirudi wanarudi kwa speed ya 4G.
 
Back
Top Bottom