Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂😂😂Ila sio wale paka wa Dar, kule chini gowdown la Kariakoo Sokoni panya na paka wanaishi fresh tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mpk uwachekePanya wa siku hizi Hawali mavyakula au mavitu kizembe, Utasubiri sana.
Cha kufanya Tumia mtego Ule wa gundi, weka wanapopita.
Watanasa mpaka uwacheke.
,andaa plaizi ya kuwabandulia kwenye mtego waliponasa.
[emoji23][emoji23][emoji23]Bro kuna mapaka mabishoo usiombe ukamfuga akawa wa aina hiyo
hakamati panya.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hao panya wanaopata mlo kamili huyu mleta uzi na huyo paka wote watakimbizwa humo ndani
[emoji23][emoji23][emoji23] panya wenye kupata mlo kamili sio ?Kwanini mnakuwa na vichwa vigumu kuelewa? Soma tena nilichoandika soma taratibu na kwa umakini halafu soma alichoandika mleta mada[emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Nikiri ninaishi mazingira ambapo watu wakivuna mazao wanayahifadhi wenyewe tena wengine hufanya hivyo kienyeji, ndiyo maana hata panya wana afya kwa sababu hupata mlo kamili!
Sent using Jamii Forums mobile app
Pants huwa nawatazama kwa macho matatu.mawili ya ulimwengu huu wa nyama na damu.jicho moja la ulimwengu wa kiroho.tangu TU rafiki yangu aliposhuhudia panya mmoja anavuta kiroba Cha unga wa sembe Cha kilo kumi kutoka kabatini huku akiondoka nacho.Ni miezi sasa panya wamekuwa wananisumbua sana! Nimejaribu dawa za unga mweusi zinazouzwa dukani zimeshindwa, zile za pellets ndiyo hamna kitu!!
Panya hawa huingia ndani mwangu kuanzia jioni na hunichachafya hadi asubuhi! Nimewafuatilia naona wanatoka kwa jirani
Kwangu kuna fence ajabu wanaivuka na kuingia na kutoka! Nikiri ninaishi mazingira ambapo watu wakivuna mazao wanayahifadhi wenyewe tena wengine hufanya hivyo kienyeji, ndiyo maana hata panya wana afya kwa sababu hupata mlo kamili!
Imefikia hatua kwa kuwa huwa hata wanakimbizana wakiwa juu, panya akikudondokea maumivu yake ni kama umetupiwa jiwe la manati!
Naombeni msaada wa dawa nzuri ili niwateketeze!!
Kisha atatatua vipi hilo tatizo?Pants huwa nawatazama kwa macho matatu.mawili ya ulimwengu huu wa nyama na damu.jicho moja la ulimwengu wa kiroho.tangu TU rafiki yangu aliposhuhudia panya mmoja anavuta kiroba Cha unga wa sembe Cha kilo kumi kutoka kabatini huku akiondoka nacho.
Dawa yake kuu ni kuwatafuna kwanza.Ni miezi sasa panya wamekuwa wananisumbua sana! Nimejaribu dawa za unga mweusi zinazouzwa dukani zimeshindwa, zile za pellets ndiyo hamna kitu!!
Panya hawa huingia ndani mwangu kuanzia jioni na hunichachafya hadi asubuhi! Nimewafuatilia naona wanatoka kwa jirani
Kwangu kuna fence ajabu wanaivuka na kuingia na kutoka! Nikiri ninaishi mazingira ambapo watu wakivuna mazao wanayahifadhi wenyewe tena wengine hufanya hivyo kienyeji, ndiyo maana hata panya wana afya kwa sababu hupata mlo kamili!
Imefikia hatua kwa kuwa huwa hata wanakimbizana wakiwa juu, panya akikudondokea maumivu yake ni kama umetupiwa jiwe la manati!
Naombeni msaada wa dawa nzuri ili niwateketeze!!
Haina haraka cha msingi uweke kwenye maeneo wayapendayo,kitendo cha wao kutojua chanzo cha kifo watahama na kutafuta makazi mapyaNilifanya kama ulivyosema tatizo hawali mchanganyo wangu
Pharmacy wanauza sumu??Nenda pharmacy kanunue vidonge vinaitwa indomethacin changanya na unga wale
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]tatizo paka wa dar wanaangaliaga tamthilia kwenye tvIla sio wale paka wa Dar, kule chini gowdown la Kariakoo Sokoni panya na paka wanaishi fresh tu
Dah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]tatizo paka wa dar wanaangaliaga tamthilia kwenye tv
Hii kali chumvi ya mawe tena aisee mchanaMwaga chumvi ya mawe kwenye mapito yao yote, kama ni wa kutumwa hutawaona tena na hata kama ni wa kawaida hawatakusumbua tena
Sent using Jamii Forums mobile app