Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni miezi sasa panya wamekuwa wananisumbua sana! Nimejaribu dawa za unga mweusi zinazouzwa dukani zimeshindwa, zile za pellets ndiyo hamna kitu!!
Panya hawa huingia ndani mwangu kuanzia jioni na hunichachafya hadi asubuhi! Nimewafuatilia naona wanatoka kwa jirani
Kwangu kuna fence ajabu wanaivuka na kuingia na kutoka! Nikiri ninaishi mazingira ambapo watu wakivuna mazao wanayahifadhi wenyewe tena wengine hufanya hivyo kienyeji, ndiyo maana hata panya wana afya kwa sababu hupata mlo kamili!
Imefikia hatua kwa kuwa huwa hata wanakimbizana wakiwa juu, panya akikudondokea maumivu yake ni kama umetupiwa jiwe la manati!
Naombeni msaada wa dawa nzuri ili niwateketeze!!
Kwanini mnakuwa na vichwa vigumu kuelewa? Soma tena nilichoandika soma taratibu na kwa umakini halafu soma alichoandika mleta mada[emoji1541][emoji1541][emoji1541]Acha izo mshana, hawa ni panya wafata chakula tu
Ni miezi sasa panya wamekuwa wananisumbua sana! Nimejaribu dawa za unga mweusi zinazouzwa dukani zimeshindwa, zile za pellets ndiyo hamna kitu!!
Panya hawa huingia ndani mwangu kuanzia jioni na hunichachafya hadi asubuhi! Nimewafuatilia naona wanatoka kwa jirani
Kwangu kuna fence ajabu wanaivuka na kuingia na kutoka! Nikiri ninaishi mazingira ambapo watu wakivuna mazao wanayahifadhi wenyewe tena wengine hufanya hivyo kienyeji, ndiyo maana hata panya wana afya kwa sababu hupata mlo kamili!
Imefikia hatua kwa kuwa huwa hata wanakimbizana wakiwa juu, panya akikudondokea maumivu yake ni kama umetupiwa jiwe la manati!
Naombeni msaada wa dawa nzuri ili niwateketeze!!
Siyo chakula pekee, pia wafuata malazi salama kwao.Acha izo mshana, hawa ni panya wafata chakula tu
Asante kwa ushauri nitaufanyia kaziMwaga chumvi ya mawe kwenye mapito yao yote, kama ni wa kutumwa hutawaona tena na hata kama ni wa kawaida hawatakusumbua tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanapatikana wapi,mbona siwafahamu!!Msaada tafadhaliWeka house snake ndani ya nyumba, wale weusi wasiokuwa na sumu.
Hapo sasa.
Nashukuru kwa ushauri nitaufanyia kaziIndosidi changanya na pilton Kazi imeisha,wanakula na wanakuga tatatibu na hawajui chanzo chan kufa ni nini
Nenda malia asili kuna wataalam pale watakupatia wauzaji.Wanapatikana wapi,mbona siwafahamu!!Msaada tafadhali
Changanya na unga wa mahindiNashukuru kwa ushauri nitaufanyia kazi
Nimefanya hivyo ajabu hawali!!!Changanya na unga wa mahindi
Nilifanya kama ulivyosema tatizo hawali mchanganyo wanguKama unasumbuliwa na panya pitia hapa
Je, umekuwa ukisumbuliwa na panya sana? Je, umetumia pesa sana kununua sumu za panya bila mafanikio? Kama jibu ni ndiyo basi soma na ufanye hivi; Nenda duka la dawa nunua dawa inaitwa INDOCID (indomethacin 25 mg capsules) halafu katege kama unavyotegaga sumu nyingine za unga za panya. Baada...www.jamiiforums.com
View attachment 2771293
Asante kwa ushauriMkuu Tafuta Paka,
Awe mdogo mdogo, sio haya makubwa.
Paka akilia tui panya wanakimbia achilia mbali kukamatwa.