Naomba kufahamu Madhara ya kupeana talaka baada ya ndoa Kuvunjika

Naomba kufahamu Madhara ya kupeana talaka baada ya ndoa Kuvunjika

Jizi ukimaanisha mwizi?

Kuna mahali kaandika kuwa kampa ujauzito mwanamke wa kizungu lakini yupo nchi tofauti na anayoishi...
Huo uzi niliusomaga but sina uhakika na mleta uzi so sijazingatia sana uzi wake.
Nimemfananisha na jamaa mmoja alikuwa na kamba sana, mara yuko uswiss mara sijui wapi...wadau walimgundua akakimbia id....nahisi ndiye
 
Niliposoma uzi mwanzo kwa namna alivyoandika kwa vificho nilidhani labda jamaa kaamua kuwa choko...

Kumbe mwamba kaongeza familia na anakuwa muoga muoga...

Kitu pekee naweza muhakikishia ni kwamba ajiandae kumpoteza huyo mke wake wa miaka 8 ya ndoa...
Hata mimi nilifikiria hivyo GFB🙆🙆

Kwamba anataka kuoa mke wa pili au kazalisha mtu?
 
Hata mimi nilifikiria hivyo GFB🙆🙆

Kwamba anataka kuoa mke wa pili au kazalisha mtu?

Kampa mimba mwanamke mwingine wa kizungu, sasa anaomba ushauri namna gani amshirikishe mkewe wa ndoa...

Na kama ikitokea mkewe atataka divorce, je afanyeje?
 
Weeeeh!! Toa kwanza ushauri then utueleze hizo dhambi zako.
DHambi zangu nikiziongea kuna mtu ataenda motoni bure maana hazibebeki, nina miezi 3 ninamsihi Mungu anisamehe hata hajajibu labda bado ananililia
 
Mcanada

Put it in mind that..That is now your ex Wife 🙃

You cheat on your wife..the woman you promised to spend the rest of your life with🤦‍♀️.......and you think we give a shit about your shattered self image? Oh but you're paranoid☹️depressed☹️and ill👎

Well isn't that just fucking ducky.. Imagine how your wife is going to feel when she finds out🧕🏻

Do your wife a favor and admit what you did/leave her☹️

She needs a man.. you clearly aren't one than a cheater ☹️

Peace of Advice :-
Prepare yourself for divorce..She won’t handle it☹️

Book an appointment with a counselor or therapist for yourself and kids🧕🏻
 
Kampa mimba mwanamke mwingine wa kizungu, sasa anaomba ushauri namna gani amshirikishe mkewe wa ndoa...

Na kama ikitokea mkewe atataka divorce, je afanyeje?
Woooi!! 🙌🙌🙌🙌
 
Mcanada

Put it in mind that..That is now your ex Wife 🙃

You cheat on your wife..the woman you promised to spend the rest of your life with🤦‍♀️.......and you think we give a shit about your shattered self image? Oh but you're paranoid☹️depressed☹️and ill👎

Well isn't that just fucking ducky.. Imagine how your wife is going to feel when she finds out🧕🏻

Do your wife a favor and admit what you did/leave her☹️

She needs a man.. you clearly aren't one than a cheater ☹️

Peace of Advice :-
Prepare yourself for divorce..She won’t handle it☹️

Book an appointment with a counselor or therapist for yourself and kids🧕🏻
Thank you Lovie Lady for peace advice
 
Huo uzi niliusomaga but sina uhakika na mleta uzi so sijazingatia sana uzi wake.
Nimemfananisha na jamaa mmoja alikuwa na kamba sana, mara yuko uswiss mara sijui wapi...wadau walimgundua akakimbia id....nahisi ndiye
angalia post zangu vyema mkuu nimejiunga na JF sina muda mrefu sana na sikuwa mtu wa kupost post sana japo kazi yangu ni ya kuzunguka nchi tofauti profession yangu ni Information security.. au nikuandikie profile yangu yote.. ?
 
angalia post zangu vyema mkuu nimejiunga na JF sina muda mrefu sana na sikuwa mtu wa kupost post sana japo kazi yangu ni ya kuzunguka nchi tofauti profession yangu ni Information security.. au nikuandikie profile yangu yote.. ?
Tanzania unatokea mkoa gani nikushauri jambo mkuu
 
DHambi zangu nikiziongea kuna mtu ataenda motoni bure maana hazibebeki, nina miezi 3 ninamsihi Mungu anisamehe hata hajajibu labda bado ananililia
Anza kunielezea nikusaidie kusali. Mie last born wake ujue!!
 
Jaribu kutumia mbinu ya Cost Benefit Analysis ( CBA) kupima athari zitakazotokea baada ya kumwambia Hilo Jambo ulilonalo.

Kama unaona linaweza kuleta madhara hasi Basi Ni Bora uvunge tu usimwambie chochote muendelee tu kuishi kwa amani mjenge familia yenu
 
Shetani anapoona Kuna kipawa Fulani ndani ya watoto ni lazima alete roho ya talaka ili wazaz watengane watoto wakose muelekeo ili awaharibu,Bora ukeep distance yaani mda wa Kila mmoja kukaa mbali kutafakari kureshape
 
Jaribu kutumia mbinu ya Cost Benefit Analysis ( CBA) kupima athari zitakazotokea baada ya kumwambia Hilo Jambo ulilonalo.

Kama unaona linaweza kuleta madhara hasi Basi Ni Bora uvunge tu usimwambie chochote muendelee tu kuishi kwa amani mjenge familia yenu
Appreciated🙏
 
Back
Top Bottom