Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Huo uzi niliusomaga but sina uhakika na mleta uzi so sijazingatia sana uzi wake.Jizi ukimaanisha mwizi?
Kuna mahali kaandika kuwa kampa ujauzito mwanamke wa kizungu lakini yupo nchi tofauti na anayoishi...
Nimemfananisha na jamaa mmoja alikuwa na kamba sana, mara yuko uswiss mara sijui wapi...wadau walimgundua akakimbia id....nahisi ndiye