Naomba kufahamu maeneo ya Dar es Salaam ambayo ni tambarare na hayana watu wengi, nataka kununua eneo na kujenga apartments

Naomba kufahamu maeneo ya Dar es Salaam ambayo ni tambarare na hayana watu wengi, nataka kununua eneo na kujenga apartments

Mcanada

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2020
Posts
982
Reaction score
1,942
Habari ya wakati huu wananchi wa JamiiForums, mimi ni mtanzania ninayeishi Canada naomba kufahamu kwasasa ni maeneo gani kwa mkoa wa Dar es salaam geografia yake ni tambarare na hayana watu wengi nataka kununua sqm 4000 - sqm 8000 nije kujenga apartments.

Nitashukuru kwa michango yenu.

Note: Eneo ninalohitaji Geografia yake iwe tambarare na hakuna mbanano mkubwa wa makazi ya watu.
 
Habari ya wakati huu wananchi wa JamiiForums, mimi ni mtanzania ninayeishi Canada naomba kufahamu kwasasa ni maeneo gani kwa mkoa wa Dar es salaam geografia yake ni tambarare na hayana watu wengi nataka kununua sqm 4000 - sqm 8000 nije kujenga apartments.

Nitashukuru kwa michango yenu.

Note: Eneo ninalohitaji Geografia yake iwe tambarare na hakuna mbanano mkubwa wa makazi ya watu.
Njoo Dodoma nikuonyeshe yapo maeneo mengi hayana watu kabisa.mfano maeneo ya zana njia ya Arusha au kama unakwenda iringa .kuna jamaa yangu mmoja amejenga mabanda 6 fiti 50 kwa 25 kwa ajili ya ufugaji na kilimo cha umwagiliaji .amepatiwa sana
 
Habari ya wakati huu wananchi wa JamiiForums, mimi ni mtanzania ninayeishi Canada naomba kufahamu kwasasa ni maeneo gani kwa mkoa wa Dar es salaam geografia yake ni tambarare na hayana watu wengi nataka kununua sqm 4000 - sqm 8000 nije kujenga apartments.

Nitashukuru kwa michango yenu.

Note: Eneo ninalohitaji Geografia yake iwe tambarare na hakuna mbanano mkubwa wa makazi ya watu.
Kibaha na Kibada
 
Apartments zinafuata tambarare au population and businesses?
Na mimi ndo nashanga......ukiweka apartment Goba za 150m una uwezo wa kukusanya rent ya 5m mwezi, wakati ukiweka apartment hizo hizo 150m Boko au Kibaha utakusanya sio zaidi ya 2.5m kwa mwezi, hapo jiulize wapi pakuwekeza? Masuala ya tambalare sio muhimu.
 
Na mimi ndo nashanga......ukiweka apartment Goba za 150m una uwezo wa kukusanya rent ya 5m mwezi, wakati ukiweka apartment hizo hizo 150m Boko au Kibaha utakusanya sio zaidi ya 2.5m kwa mwezi, hapo jiulize wapi pakuwekeza? Masuala ya tambalare sio muhimu.

Hajielewi
 
Na mimi ndo nashanga......ukiweka apartment Goba za 150m una uwezo wa kukusanya rent ya 5m mwezi, wakati ukiweka apartment hizo hizo 150m Boko au Kibaha utakusanya sio zaidi ya 2.5m kwa mwezi, hapo jiulize wapi pakuwekeza? Masuala ya tambalare sio muhimu.
Mkuu usinishambulie tu nina sababu za msingi kwanini sihitaji kuzijenga hizi apartments kwenye maeneo yenye mabonde na miinuko/milima.. nina sababu za msingi kabisa japo sitaziweka wazi hapa.. asante
 
Back
Top Bottom