Naomba kufahamu maeneo ya Dar es Salaam ambayo ni tambarare na hayana watu wengi, nataka kununua eneo na kujenga apartments

Mnamshauri vipi mtu na bajeti yake hamijui? Sqm ya Mbweni,Ununio,Goba,Kigamboni hazilingani bei.
 
Njoo uwekeze Dodoma mkuu!
 
MAENEO YAFUATAYO YANAUZWA DAR-ES-SALAAM
1.UBUNGO MAWASILIANO IPO HEKA MOJA NA ROBO.
2.UBUNGO EXTERNAL HEKA ZIPO MBILI NUSU.
3.UBUNGO MAJI CHUMVI ZIPO HEKA TATU.
4.KIMARA TEMBONI ZIPO HEKA TATU(Hili eneo lote limezungushiwa ukuta na lina godown ndani)
*Maeneo yapo vizuri Sana yamekaa kiuwekezaji
*Kwa mawasiliano zaidi Tuwasiliane PM
 
Inategemea una target customer wa kipato kipi. customer wa mbezi beach au mikocheni ni tofauti na mapInga au bunju. Ila pia investment ya resources ni tofauti. kwa hiyo ni wewe kujipima tuu.
 

Naona unataka umtapeli

Ubungo mawasiliano heka 2 unazipata wapi??

Pia ubungo external heka 2 unazipata wapi ?

Hayo maeneo kiwanja tu cha sqm 400 kitupu ambacho hakijajengwa ni ngumu kupata. Sembuse heka 2
 
KIJICHI - IKO TWMEKE
 
Apartments zinafuata tambarare au population and businesses?
Mbona unaanza kumpangia tena mwenzako?! Ujenzi wa tambarare yeye ndio anataka. Sio unampeleka mtu kiwanja kinamteremko mkali aanze kuingia magharama ya vifusi na ujenzi wa kuweka mazege kila kona.
 
Naona unataka umtapeli

Ubungo mawasiliano heka 2 unazipata wapi??

Pia ubungo external heka 2 unazipata wapi ?

Hayo maeneo kiwanja tu cha sqm 400 kitupu ambacho hakijajengwa ni ngumu kupata. Sembuse heka 2
Amesema ni maeneo ambayo yalikuwa ni magodown.
 
Mbona unaanza kumpangia tena mwenzako?! Ujenzi wa tambarare yeye ndio anataka. Sio unampeleka mtu kiwanja kinamteremko mkali aanze kuingia magharama ya vifusi na ujenzi wa kuweka mazege kila kona.

Akili huna. Lengo la apartment ni watu, then structure, hata kule kijijini kwenu Tandahimba ni Tambarare, akajenge ili Babu yako apange kwa 250,000 kwa mwezi.
 
Naona unajikaribisha kwenye mafuriko kwa kutafuta tambarare
 
Naona unajikaribisha kwenye mafuriko kwa kutafuta tambarare
Maeneo tambarare kukiwa na uswahili wa kuuziana tuviwanja tudogo msimu wa mvua maji hayana pa kwenda, mitaro ya maji machafu inatuamisha. Ndio kinachoendelea Chanika kwa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…