Bado maelezo hayatoshi Mkuu kwa mtu asie na uzoefu na umeme. Weka nyama zaidi tafadhaliNimeelezea hapo post no 38
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado maelezo hayatoshi Mkuu kwa mtu asie na uzoefu na umeme. Weka nyama zaidi tafadhaliNimeelezea hapo post no 38
Mkuu huwa hawana hasara hata kukiwa hakuna mteja hata mmojaKuna muda Utafika,TANESCO atajiendesha kwa hasara akikosa wateja.
Sasa mngetoa maelezo zaidi kwa msaada. Hizi sentensi fupi hazitusaidiiBattery 4 hizo umeziona hapo ukipata 8 tu TANESCO utawasikia kwenye bomba na umeme wao wa mauzauza
Mkuu tunaomba ufafanuzi juu ya namna inavyofanya kazi.achana na solar kiongozi tafuta hii bajeti milioni 2 tu. Life yake miaka 10View attachment 2909682
Kwa msaada zaidi piga number hii 0696224802Bado maelezo hayatoshi Mkuu kwa mtu asie na uzoefu na umeme. Weka nyama zaidi tafadhali
Hii kaka zinaitwa Power Back upMkuu tunaomba ufafanuzi juu ya namna inavyofanya kazi.
Kaka wacheki Hawa jamaa kwa msaada zaidi 0696224802Mkuu tunaomba ufafanuzi juu ya namna inavyofanya kazi.
Toa ufafanuzi wa hii kitu mkuuachana na solar kiongozi tafuta hii bajeti milioni 2 tu. Life yake miaka 10View attachment 2909682
Tazama post no 39Toa ufafanuzi wa hii kitu mkuu
Maelezo yako unatoa nusu nusu ndio maana mswali mengiPower Back up bora kwa sasa ni hii, hauhitaji Generator wala solar tena.
Unahitaji Batteries, Inverter na Cables tu
Hii setup inauwezo wa kukaa na umeme zaidi ya masaa 18 depends na vifaa ulivyonavyo
MYSOL au zamani MOBISOL ni Kampuni ya MATAPELI NA MAJAMBAZI,muomba USHAURI ogopa SOLA ZA MYSOL kama unavyoogopa UKIMWIMysol wako vizuri , watafute mkuu.
Exactly kaka wacheki Hawa kwa msaada zaidi 0696224802Maelezo yako unatoa nusu nusu ndio maana mswali mengi
Nahisi labda hauna uwelewa mkubwa kuhusu maswala ya umeme
Ila Kwa Mimi nilielewa hapo hiyo system inafungwa katika nyumba yenye umeme wa Tanesco wakati umeme unawaka inakuwa inajichaji umeme ukikatika ndio unatumia hiyo backup Kwa zaidi ya masaa 18
Kwani haiwezekani kukadilia tu kwa jumla ya kiasi cha umeme wa Tanesco unaoingia ndani kutoka kwenye mita, ili backup nayo ifungwe yenye uwezo wa kuzalisha kiasi sawa...!?Yani inatakiwa Kila kifaa utaje na wattage zake , mfano
Bulb watt 15 Kila
Ac watt 200 hours 8 per day
Computer watt 200 hour to use 10 hours per day, ikishapata ivyo vitu unaweza pata vitu vinavyo hitajika
Itolee maelezo mkuu.achana na solar kiongozi tafuta hii bajeti milioni 2 tu. Life yake miaka 10View attachment 2909682
Yenyewe inaweza kuzalisha kilowatts ngapi mpaka kuisha nguvu?Power Back up bora kwa sasa ni hii, hauhitaji Generator wala solar tena.
Unahitaji Batteries, Inverter na Cables tu
Hii setup inauwezo wa kukaa na umeme zaidi ya masaa 18 depends na vifaa ulivyonavyo
Na bado haijajulikana itatosheleza kwa watts ngapi.. Mwingine kwa siku anatumia units 10 yaani kilowatts 10,000, mwingine unit 3 yani kilowatts 3000, sasa lazima tujue inaweza kupush mzigo gani!!? Mwenye AC 2, RICE COOKER, FREEZER, JIKO LA UMEME, hawezi kuwa sawa na mwenye feni 2 na taa tu.Maelezo yako unatoa nusu nusu ndio maana mswali mengi
Nahisi labda hauna uwelewa mkubwa kuhusu maswala ya umeme
Ila Kwa Mimi nilivyo elewa hapo hiyo system inafungwa katika nyumba yenye umeme wa Tanesco wakati umeme unawaka inakuwa inajichaji umeme ukikatika ndio unatumia hiyo backup Kwa zaidi ya masaa 18
hii ndo niniachana na solar kiongozi tafuta hii bajeti milioni 2 tu. Life yake miaka 10View attachment 2909682
0696224802 kwa maelezo zaidi na msaadaItolee maelezo mkuu.