Naomba kufahamu solar itakayoweza kuchukua nafasi ya TANESCO nyumbani

Naomba kufahamu solar itakayoweza kuchukua nafasi ya TANESCO nyumbani

Itolee maelezo mkuu.
Hio ni back-up inatumika wakati umeme unapokatika, hapo kuna Inveter pamoja na batteries.
Umeme ukiwepo hizo batteries zinakua zinajichaji, umeme ukikatika ndio zinatumika kurudisha umeme kwa kushirikiana na Inveter ambayo kazi yake ni kuchange DC to AC Currents (DC ni huo umeme wa battery ambao haupigi shoti halafu AC ndio huu umeme wa tanesco unaotetemesha)
 
Hali ni tete, joto kali umeme hakuna,

Naomba kufahamu badget inayotosha kupata umeme wa solar ambao unaweza kuchukua majukumu yote ya TANESCO

1. Taa
2. Feni tatu na AC 1,
3. Fridge
4. TV mbili
5. Computer mbili za desktop
6. Oven ila haitumik mara nyingi

Yaweza ni cost kiasi gani?
Ungeandika AC 1 na oven ingetosha.
 
Hio ni back-up inatumika wakati umeme unapokatika, hapo kuna Inveter pamoja na batteries.
Umeme ukiwepo hizo batteries zinakua zinajichaji, umeme ukikatika ndio zinatumika kurudisha umeme kwa kushirikiana na Inveter ambayo kazi yake ni kuchange DC to AC Currents (DC ni huo umeme wa battery ambao haupigi shoti halafu AC ndio huu umeme wa tanesco unaotetemesha)
Asante,
Haya sasa ni maelezo yaliyokamilika. Kwa hiyo umeme ukiwepo unachaji hizo batteries, then ukikatika ndio battery zinatumika kuwasha.

Ukubwa wa batteries? Au ni matakwa ya mteja kulingana na matumizi yake?
 
achana na solar kiongozi tafuta hii bajeti milioni 2 tu. Life yake miaka 10View attachment 2909682

Hii kitu ni wewe unafanya au unaielewa vizuri? Kama ni hivyo ni uwekezaji mzuri.
Shida inakuja pale hata wewe kutokufaham taarifa na maelezo ya kina kuhusu huu mfumo.

Kama nimekupata vizuri, hapo hizo battery Zina chaji wakati umeme upo na ukikatika ndio zinafanya kazi.

Kwa hiyo 2M, utaunganisha vifaa vipi na vyenye uwezo upi na vitadumu Kwa huo umeme Kwa muda Gani?

Kama ni wewe unahusika au kujishughulisha na hii biashara, umasikini utapishana nao muda SI mrefu.

Ahsante.
 
Hii kitu ni wewe unafanya au unaelewa vizuri? Kama ni hivyo ni uwekezaji mzuri.
Shida ni pale inapokya hata wewe kutokufaham taarifa na maelezo ya kina

Kama nimekupata vizuri, hapo hizo battery Zina chaji wakati umeme upo na ukikatika ndio zinafanya kazi.

Kwa hiyo 2M, utaunganisha vifaa vipi na vyenye uwezo upi na vitadumu Kwa huo umeme Kwa muda Gani?

Kama ni wewe unahudika au kujishughulisha na hii biashara, umasikini utapishana nao muda SI mrefu.

Ahsante.
Piga number hii kwa msaada zaidi 0696224802
 
Tafuta kama hii bei ni 3m tu
Screenshot_20240220_081807_Chrome~2.png
Screenshot_20240220_081843_Chrome~2.png
 
Solar ya kutosha hivyo vyote inaweza kufika milioni 20 au hata zaidi na Hakuna guarantee ya life span yake kwani inaweza kukufia hata ndani ya miaka miwili

Nakushauri funga solar kwa ajili ya taa (ya laki 2 au 3 inatosha, mimi ninayo ya laki na nusu nawasha taa 4, nachaji smartphone pia powerbank ya simu).

Balbu nunua za 'LED', zina mwanga mkubwa sana huwezi amini, mimi nimefunga hizo kila mtu hudhani natumia solar ya mamilioni kumbe ni aina ya ya taa nilizofunga na ukiangalia kwa haraka unaweza kudhani natumia Umeme wa Tanesco kumbe ni aina ya Balbu

Halafu tafuta betri ya gari N 100 mbili na inverter utakuwa unazichaji Umeme ukirudi na utumie kwa TV na computer

Sahau mambo ya friji na AC kwa sasa

Namna nyingine ni kutafuta vifaa ambavyo ni maalumu kwa Umeme wa solar yaani ununue computer maalumu kwa ajili ya Umeme wa solar kadharika kwa TV, friji na AC

Au ununue generator

Siyo rahisi kuwatoa kabisa TANESCO nyumbani
Acha uongo wewe wakala wa Tanesco,akiwa na 5ml tatizo la umeme limekwisha.
 
Kuna muda Utafika,TANESCO atajiendesha kwa hasara akikosa wateja.
Huo muda unakuja wait and see yaan watu wakiona kitu kinasumbua lazima wakitafutie mbadala wake sasa TANESCO akae kwa kutulia watu wanabuni mifumo mingine isiyohusisha TANESCO unafunga unawasha umeme Safi malipo ni mara 1 tu baada ya hapo endelea kula maisha, ngoja niendelee kubuni mfumo wa kuendeshea mashine ya kusaga na kukoboa isiyotumia umeme wa TANESCO
 
Ajuza maua naomba ukae mbali na mimi, huna maarifa ya kujua nilichouliza.

Hapa hakuna madanga
Ajuza aisee mie sio mamako ambaye anajuta kukuzaa kwa kimtu hajielewi ila kina jiona kama dunia yake nenda kwanza ukarekebishe nyumba ya bi mkubwa ndio uje ukapigane namimi.

Mama ako hana blanketi lakujifunika yupo kwenye msongee ananawazo huyo ndio ajuza mjinga wewe . Mie siwezi zaa uchafu kama wewe . Wewe ni shimo la taka kila takataka chafu zinatupwa kwako
 
Kwani haiwezekani kukadilia tu kwa jumla ya kiasi cha umeme wa Tanesco unaoingia ndani kutoka kwenye mita, ili backup nayo ifungwe yenye uwezo wa kuzalisha kiasi sawa...!?
Yeah unaweza kutokana na mzigo ambao mkandarasi aloyekusukia umeme alivyojaza katika fomu, inabidi awe alikadiria sahihi, hours of operation sio shida unaweza ukakadiria mwenyewe. 1.2kw
 
Matumizi yako at peak ni kama 4000W kwasababu ya AC

Ongeza 30% kwa ajili ya efficiency losses na uwe na extra power kuhandle starting current ya compressor ya AC, maana yake system yako iwe na panel za atleast 5500W

Minimum estimate ya PV panel ni TZS1100 per Watt. Hivyo minimum unahitaji 6M kwa ajili ya solar panels pekee za kuzalisha umeme wa DC 12/24V

Inverter - hii inabadili DC kuwa umeme wa vifaa vyako AC220V - andaa 1.5M

Unaweza anza na battery hata za 1M kwa ajili ya kustabilize voltage - sio kwamba system itafanya kazi usiku kwa battery hizo na load yako. Ukitaka mpaka usiku ifanye kazi bila AC unahitaji battery za almost 3M.

Wire, connector, charge controller weka 1M. Mounting bracket za PV sijaweka kwasababu inategemeana na location.

Kwahiyo unahitaji kuanzia 9.5M kwa system ya mchana tu mpka 11.5M kama unataka kutumia vifaa vyako except AC na oven mpaka usiku.

Solar sio cheap mkuu inarudisha hela kuanzia 10-15yrs gharama ambayo ungenunua LUKU
 
Matumizi yako at peak ni kama 4000W kwasababu ya AC

Ongeza 30% kwa ajili ya efficiency losses na uwe na extra power kuhandle starting current ya compressor ya AC, maana yake system yako iwe na panel za atleast 5500W

Minimum estimate ya PV panel ni TZS1100 per Watt. Hivyo minimum unahitaji 6M kwa ajili ya solar panels pekee za kuzalisha umeme wa DC 12/24V

Inverter - hii inabadili DC kuwa umeme wa vifaa vyako AC220V - andaa 1.5M

Unaweza anza na battery hata za 1M kwa ajili ya kustabilize voltage - sio kwamba system itafanya kazi usiku kwa battery hizo na load yako. Ukitaka mpaka usiku ifanye kazi bila AC unahitaji battery za almost 3M.

Wire, connector, charge controller weka 1M. Mounting bracket za PV sijaweka kwasababu inategemeana na location.

Kwahiyo unahitaji kuanzia 9.5M kwa system ya mchana tu mpka 11.5M kama unataka kutumia vifaa vyako except AC na oven mpaka usiku.

Solar sio cheap mkuu inarudisha hela kuanzia 10-15yrs gharama ambayo ungenunua LUKU
Ukweli ndio huo, asante!
 
Back
Top Bottom