Naomba kufundishwa mbinu za kuepuka watu wa Jumuiya na Parokia

Ni kweli, mimi niliishi Bunda na SDA, wakishapika chakula cha jioini, jiko linanuna mpaka jioini ya j.mosi.
Watoto wanakula vipolo visivyochemshwa. Amini amini nakwambia, sabato wanakula viporo.
 
Aisee! Hizi dini ni Chuma ulete. Wanamanipulate wazee wa watu bila huruma. Kitendo cha mwanadamu kupenda kujumuika na kuabudu isiwe sababu ya kumtumikisha na kumnyonya.
 
Hata Ushoga ulianza na hoja kama hizi hizi, mwishowe unaanza kuenea kwa Kasi. Hili nalo ni eneo lingine la wanaompinga Mungu linavyoanza.

Hamia Freemason, wanamuabudu Shetani na pesa za kula Bata wanapata.
Usiweke kigezo cha ushoga wako kuwalazimisha watu kitu kilicholetwa na wahuni ili wapige hela,wewe freemason huwajui hata ukiomba ushahidi utaanza kujinyea tu
 
jitahidi kila wakija wakukute umelewa halafu umejinyea na unataka kuwasalimia kwa kuwakumbatia hawata rudi kwako milele na mile amina
 
Ukituliza sana akili utagundua dini nyingi hasa ukristo ni utumwa na wapo wwny maslahi zao hmo hizi dini nimezichoka
 
Kiufupi HUNA IMANI TENA na mambo ya Mungu!! Sasa umebaki na hofu kwa jamii inayokuzunguka !!

Ni jambo jema !! Vp mahusiano yako na mkeo ? Maana yy nadhani angekuwa ni mjumbe mzuri kwa kufikisha taarifa zako kwa kiongozi wa JUMUIYA . Kuwa ww sasa si MUUMINI tena wa kanisa KATOLIKI .

Mwenyekiti wa Jumuiya atakuja kwako kupata uthibitisho na taarifa zako zitafikishwa kwa PAROKO , hutaona tena hizo unazoziita KERO.

JUMUIYA itasali nyumbani kwako kwa maana ya kufuata familia yako kama wao watabaki kuwa WAKATOLIKI , wala hutaona ukifatwa kubembelezwa ubadili uamuzi wako.


Na ikifika wakati ww mwenyewe ukitaka kurudia IMANI yako, utaandikisha mafundisho kwa muda wa miezi 6 kisha utarudi kuwa Mkatoliki.
 
Nirudi kufanya nini ?
 
Mnalazamisha na ndio maana asipoenda jumuiya hata kama anahudhuria Ibada kanisani mnaanza kumpa vitisho mara ooh ukifa padiri Haji kwenye maziko Yako, mara ooh kanisa linakutenga, basi kama vipi bomoeni makanisa ili tubaki na jumuiya tu.
Tunatishana sana! Tukifa Miili yetu ni Mizoga kama Mizoga mingine! Ata usomewe Misa million moja kama wa motoni ni Motoni tu azisaidii kitu- Thus why Thugs always Says this"ONLY GOD WILL JUDGE ME"Kikubwa kuwa karibu na Mungu wako hili Roho yako isiangamie
 
Mnalazamisha na ndio maana asipoenda jumuiya hata kama anahudhuria Ibada kanisani mnaanza kumpa vitisho mara ooh ukifa padiri Haji kwenye maziko Yako, mara ooh kanisa linakutenga, basi kama vipi bomoeni makanisa ili tubaki na jumuiya tu.
Huwa sielewi mantiki yao ya kugoma kuendesha ibaada ya mazishi, ni ujinga usio na maana kabisa.
 
Kwa kweli SDA usumbufu hakuna na michango hakuna kulazimishana, uwe tajiri uwe maskini utachangia kulingana na kubarikiwa kwako.
 
Mimi ni kama wewe
Naamini Kuna Mungu Ila siamini dini inahusiana na Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…