Naomba kufundishwa mbinu za kuepuka watu wa Jumuiya na Parokia

Naomba kufundishwa mbinu za kuepuka watu wa Jumuiya na Parokia

Maelezo mengi wala huna gari hata moja. Labda una midoli ya magari. Mkatoliki wa kweli hawezi kuja huku sababu ya michango ya zaka na sadaka.

HAKUNA Mkatoliki analazomishwa kutoa zaidi ya alichotoa. Hata kama ungekuwa tajiri kama Aliko Dangote kikipita kikapu cha sadaka usipotoa hakuna hatua utachukuliwa.

Wewe siyo MKATOLIKI bali unataka tu kudhalilisha UKATOLIKI
Weeewe! Unajua ukatoriki au unachekesha genge! Kama huna maokoto unakuwa marginalised! Kuna mstari umepigwa uuoni wa kukunyanyapaa kiaina! Ogopa kanisa ambalo makao makuu yake ni Italy (Mafia headquarter)
 
Mtafute mshikaji wako wa nguvu mpange awe mganga wa uwongo ,siku wanajumuia wakija atokee na mahirizi aanze kukuzingua mbona haujamalizia kafara ya wanajumuia uliowasema la sivyo utakufa wewe 😃😃 bila shaka watalala mbele na wataenda kusema una Mali za kichawi na ukaribu utavuliwa hapo kubali wife wako akulaumu siku moja Ila ndiyo mwanzo wa kumchana ukweli kuwa Mimi mambo ya kusali siyaelewi kabisa
 
Weeewe! Unajua ukatoriki au unachekesha genge! Kama huna maokoto unakuwa marginalised! Kuna mstari umepigwa uuoni wa kukunyanyapaa kiaina! Ogopa kanisa ambalo makao makuu yake ni Italy (Mafia headquarter)
Hakuna "ukatoriki" duniani. UMEKURUPUKA mambo huyajui, pita kule
 
Mnalazamisha na ndio maana asipoenda jumuiya hata kama anahudhuria Ibada kanisani mnaanza kumpa vitisho mara ooh ukifa padiri Haji kwenye maziko Yako, mara ooh kanisa linakutenga, basi kama vipi bomoeni makanisa ili tubaki na jumuiya tu.
Hakuna vitisho maana hakuna anayejua nani atatangulia. By the way, ukishakuwa mpagani, una haja gani tena ya kuwa na hofu ya kufanyiwa ibada ya mazishi?
 
Akuna aja ya kulalamika hapa,unaweza kuwambia kuwa wewe sio mshirika wao na hakuna atayekulazimisha kwenda kanisani au jumuiya vinginevyo baadhi ya waumini wangalikuwa wameg'ang'aniwa ambao waliondoka kwenye hilo dhehebu, kumbuka mamilioni ya waumini wa dini hiyo duniniani walikwishaondoka tena waliokuwa na vyeo vikubwa kwenye kanisa,sembuse wewe?!.
Nadhani wewe ndo unajilazisha kubaki huko na sio wao.
 
Una
Siku hayo magari yakiondoka na pesa nayo ikaondoka utawatafuta watumishi wa Mungu kwa bidii. Pia ukizeeka ndio utaanza kumtafuta Mungu. Na ukifa ndio utaanza kwenda kanisani na kwenye jumuiya ili uzikwe na Kanisa.

Mungu yupo, tofautisha ubabaishaji wa wanadamu na uaminifu wa Mungu. Sapoti Kanisa lako kuna faida za kuwa mwanachama huko ila angalia pia usibaki kwenye mambo ya kidini tu, faidi nguvu za Yesu na mambo yake mazuri kama ulinzi na mengi mengine. Jifunze zaidi MAARIFA YA KIROHO, usibaki kwenye mazoea ya dini pekee, yanaua!
Uhakika kama huyo Yesu wenu ananilinda juzi nipata hasara ya mil 9 mbona hakuniokolea hela zangu
 
Hata Ushoga ulianza na hoja kama hizi hizi, mwishowe unaanza kuenea kwa Kasi. Hili nalo ni eneo lingine la wanaompinga Mungu linavyoanza.

Hamia Freemason, wanamuabudu Shetani na pesa za kula Bata wanapata.
UONGO
 
Jumuiya s kila asubuh sasa we toka iyo asubuh rud muda ukishaisha kila jmos awawez sali nje kwako nawe haupo
Utumwa huo nianze kukimbia nyumba yangu kisa tunalazimishana kwenda mbinguni? Wengine hatupataki huko mbinguni tumegundua hakuna uhakika wa kuwepo sehemu inayoitwa mbiguni au peponi
 
Mtafute mshikaji wako wa nguvu mpange awe mganga wa uwongo ,siku wanajumuia wakija atokee na mahirizi aanze kukuzingua mbona haujamalizia kafara ya wanajumuia uliowasema la sivyo utakufa wewe 😃😃 bila shaka watalala mbele na wataenda kusema una Mali za kichawi na ukaribu utavuliwa hapo kubali wife wako akulaumu siku moja Ila ndiyo mwanzo wa kumchana ukweli kuwa Mimi mambo ya kusali siyaelewi kabisa
Njia nzuri na nimeipenda
 
Usiinyime familia yako imani ya kikrsto

Unaweza wewe usiwe active ila hakikisha mke na watoto wako wanakuwa wakrsto safi

La sivyo watoto wako watageuka majambazi uko mbele na watakuletea wajukuu majambaza

Ukrsto ni ustaarabu wa maisha ya kibnadamu

Mungu yupo au hayupo ni nje ya fikara zetu

Lkn ni vizuri kuamini Mungu yupo

Nafsi zetu zina uungu ndani mwetu

Chunguza mwenendo wako
Chunguza matendo yako
Safisha nafsi yako


Utamwona Mungu
 
Naona wapumbavu wanaongezeka sana kwa kasi. Jumuiya ni kitu kilikuwepo enzi na enzi. Ukiwa mkatoliki safi huwezi kulaumu jumuiya. Haya malalamiko yako kwa mkeo ni upuuzi mtupu. Tena shukuru sana mkeo amejikita kufuata ukatoliki ambao hauna mambo mengi. Ukiendelea hivyo basi mkeo ataachana na mambo ya jumuiya na kujiunga na kina Pastor Tony Kapola au manabii feki wengine... kuanzia hapo ndo utajua kwanini nyoka hana miguu ila anakimbia. Wewe kama hutaki mambo ya dini kausha tu kimyakimya unakwepa ila sio kuanza kashfa na malalamiko ya kingese.
 
Kwa hyo watu mnatishiwa kifo mpaka mnakaa!!! Ahahahaha kweli wamewaweza.
Kwa hyo watu mnaenda kansan kisa mtazikwa mkifa??
Huo ndio ukweli mchungu.
Ndoa, msaada wakati wa shida na kifo.
 
Maelezo mengi wala huna gari hata moja. Labda una midoli ya magari. Mkatoliki wa kweli hawezi kuja huku sababu ya michango ya zaka na sadaka.

HAKUNA Mkatoliki analazomishwa kutoa zaidi ya alichotoa. Hata kama ungekuwa tajiri kama Aliko Dangote kikipita kikapu cha sadaka usipotoa hakuna hatua utachukuliwa.

Wewe siyo MKATOLIKI bali unataka tu kudhalilisha UKATOLIKI
Kanisani wanafanya minada wakijua wewe una kipato unasimamishwa ki lazima utoe ahadi mbaya zaidi wa wakati wa kutoa sadaka mnasimamiwa bench moja hadi lingine yaani wananuanyuka wote kwenda kutoa sadaka sasa we baki utavyotazamwa na msimamiz wa misa.
Wana nyimbo za majungu mfano ile inaimbwa "Watuu wengi wana mali nyingii LAKINIII hawependi kutoa sadakaaaa UTAKAPOKUFA LEOOO MALI ITAKUWAA YA NANIIII? Nyimbo za kufokeana tu kwani nani alikufaga mali zikabaki hazina mtu?
 
Back
Top Bottom