Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Weeewe! Unajua ukatoriki au unachekesha genge! Kama huna maokoto unakuwa marginalised! Kuna mstari umepigwa uuoni wa kukunyanyapaa kiaina! Ogopa kanisa ambalo makao makuu yake ni Italy (Mafia headquarter)Maelezo mengi wala huna gari hata moja. Labda una midoli ya magari. Mkatoliki wa kweli hawezi kuja huku sababu ya michango ya zaka na sadaka.
HAKUNA Mkatoliki analazomishwa kutoa zaidi ya alichotoa. Hata kama ungekuwa tajiri kama Aliko Dangote kikipita kikapu cha sadaka usipotoa hakuna hatua utachukuliwa.
Wewe siyo MKATOLIKI bali unataka tu kudhalilisha UKATOLIKI
Hakuna "ukatoriki" duniani. UMEKURUPUKA mambo huyajui, pita kuleWeeewe! Unajua ukatoriki au unachekesha genge! Kama huna maokoto unakuwa marginalised! Kuna mstari umepigwa uuoni wa kukunyanyapaa kiaina! Ogopa kanisa ambalo makao makuu yake ni Italy (Mafia headquarter)
Hakuna vitisho maana hakuna anayejua nani atatangulia. By the way, ukishakuwa mpagani, una haja gani tena ya kuwa na hofu ya kufanyiwa ibada ya mazishi?Mnalazamisha na ndio maana asipoenda jumuiya hata kama anahudhuria Ibada kanisani mnaanza kumpa vitisho mara ooh ukifa padiri Haji kwenye maziko Yako, mara ooh kanisa linakutenga, basi kama vipi bomoeni makanisa ili tubaki na jumuiya tu.
Uhakika kama huyo Yesu wenu ananilinda juzi nipata hasara ya mil 9 mbona hakuniokolea hela zanguSiku hayo magari yakiondoka na pesa nayo ikaondoka utawatafuta watumishi wa Mungu kwa bidii. Pia ukizeeka ndio utaanza kumtafuta Mungu. Na ukifa ndio utaanza kwenda kanisani na kwenye jumuiya ili uzikwe na Kanisa.
Mungu yupo, tofautisha ubabaishaji wa wanadamu na uaminifu wa Mungu. Sapoti Kanisa lako kuna faida za kuwa mwanachama huko ila angalia pia usibaki kwenye mambo ya kidini tu, faidi nguvu za Yesu na mambo yake mazuri kama ulinzi na mengi mengine. Jifunze zaidi MAARIFA YA KIROHO, usibaki kwenye mazoea ya dini pekee, yanaua!
SahihiMnalazamisha na ndio maana asipoenda jumuiya hata kama anahudhuria Ibada kanisani mnaanza kumpa vitisho mara ooh ukifa padiri Haji kwenye maziko Yako, mara ooh kanisa linakutenga, basi kama vipi bomoeni makanisa ili tubaki na jumuiya tu.
UONGOHata Ushoga ulianza na hoja kama hizi hizi, mwishowe unaanza kuenea kwa Kasi. Hili nalo ni eneo lingine la wanaompinga Mungu linavyoanza.
Hamia Freemason, wanamuabudu Shetani na pesa za kula Bata wanapata.
Utumwa huo nianze kukimbia nyumba yangu kisa tunalazimishana kwenda mbinguni? Wengine hatupataki huko mbinguni tumegundua hakuna uhakika wa kuwepo sehemu inayoitwa mbiguni au peponiJumuiya s kila asubuh sasa we toka iyo asubuh rud muda ukishaisha kila jmos awawez sali nje kwako nawe haupo
Njia nzuri na nimeipendaMtafute mshikaji wako wa nguvu mpange awe mganga wa uwongo ,siku wanajumuia wakija atokee na mahirizi aanze kukuzingua mbona haujamalizia kafara ya wanajumuia uliowasema la sivyo utakufa wewe 😃😃 bila shaka watalala mbele na wataenda kusema una Mali za kichawi na ukaribu utavuliwa hapo kubali wife wako akulaumu siku moja Ila ndiyo mwanzo wa kumchana ukweli kuwa Mimi mambo ya kusali siyaelewi kabisa
Hiki ndio kitisho kikubwa ambacho kinawabakiza watu wengi kwenye dini zao kwa sasa.Ukifa utajizika na mengineyo kama hayo
Watu wanataka mazishi ya kifahari.Ukifa utazikwaaa tu
Ova
Huo ndio ukweli mchungu.Kwa hyo watu mnatishiwa kifo mpaka mnakaa!!! Ahahahaha kweli wamewaweza.
Kwa hyo watu mnaenda kansan kisa mtazikwa mkifa??
Hivi ukifa na usipozikwa au ukazikwa bila ibada kuna tofauti gani?Ukifa utajizika na mengineyo kama hayo
Kanisani wanafanya minada wakijua wewe una kipato unasimamishwa ki lazima utoe ahadi mbaya zaidi wa wakati wa kutoa sadaka mnasimamiwa bench moja hadi lingine yaani wananuanyuka wote kwenda kutoa sadaka sasa we baki utavyotazamwa na msimamiz wa misa.Maelezo mengi wala huna gari hata moja. Labda una midoli ya magari. Mkatoliki wa kweli hawezi kuja huku sababu ya michango ya zaka na sadaka.
HAKUNA Mkatoliki analazomishwa kutoa zaidi ya alichotoa. Hata kama ungekuwa tajiri kama Aliko Dangote kikipita kikapu cha sadaka usipotoa hakuna hatua utachukuliwa.
Wewe siyo MKATOLIKI bali unataka tu kudhalilisha UKATOLIKI