Marathon day
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 643
- 1,016
Ndg wahusika naomba sasa wahusika watoke watupe mrejesho bei mpya za bima ya afya kwa familia na kwa kwa mtu mmoja, ili kuhamasisha watu wengi zaidi kupata bima ya afya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magonjwa yasiyoambukiza ni hatari,heri na ngomaKama upo over fifty tayarisha 975000 kwa mwaka.
Nimelipa nikaenda JKCI nikaanza na full vipimo na dawa siku ya kwanza kwa gharama ya 685000- na bado Nina miezi mingine kumi.
si walisema wazee over 60yrs matibabu ni bure au hiyo ni mpaka mwaka wa uchaguzi?inategemea pia umri wa mhusika nadhani
Kwa wazee bei yao tofauti kabisa na wengine kwa sababu ya magonjwa yanayowanyemelea kutokana na umri wao
Ila nenda ofisini kwa maelezo zaidi
Bure ni huko serikalini na unajua matibabu ya huko yanavyosuasuasi walisema wazee over 60yrs matibabu ni bure au hiyo ni mpaka mwaka wa uchaguzi?
Achana na hao wahuni, nenda AAR nk ni wastaarabu sana!Ndg wahusika naomba sasa wahusika watoke watupe mrejesho bei mpya za bima ya afya kwa familia na kwa kwa mtu mmoja, ili kuhamasisha watu wengi zaidi kupata bima ya afya
Pia inakua na faida kwa wngi pia kunapokuwa na taarifa hizi watu wengi wanahamasika pia. Baada ya kutangaziwaKwanini usiende kwenye ofisi zao ukapata taarifa zote hizo?
Bei zao zipoje kwa mtu mmoja? Au nipe contact zaoAchana na hao wahuni, nenda AAR nk ni wastaarabu sana!
Samahani mkuu nahitaji kumnunulia bima mzee wangu yuko above 70 years na anasumbuliwa na magonjwa ya uzeeni ya presha na mambo ya uzazi(kibofu).Kama upo over fifty tayarisha 975000 kwa mwaka.
Nimelipa nikaenda JKCI nikaanza na full vipimo na dawa siku ya kwanza kwa gharama ya 685000- na bado Nina miezi mingine kumi.
Na mimi nahitaji kujua bei zao zikoje mkuuAchana na hao wahuni, nenda AAR nk ni wastaarabu sana!