Naomba kujua hii 'Samia Legal Aid Campaign' ni kiashirio kwa ameshaanza Kampeni? na je, itakuwepo na baada ya Uchaguzi Mkuu ujao?

Naomba kujua hii 'Samia Legal Aid Campaign' ni kiashirio kwa ameshaanza Kampeni? na je, itakuwepo na baada ya Uchaguzi Mkuu ujao?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Haya wale Machawa wake Gegedo mlioko hapa JamiiForums njooni mnijibu ili nami nikaombe msaada kwani Nimeibiwa Mbuzi wangu kutokea Zizini Kwangu hapa Tanzania Bara na Mwizi kasepa / kaenda nao kwenda Paje Kizimkazi Zanzibar ili akawauze kwa Waarabu.
 
Kuanza compaign kabla ya muda ni Ishara ya kutokukubalika na Ishara HOFU ya kushindwa?

Kama KAZI zinaongea, kampeni za mapema za KAZI Gani?

KAZI aliyopewa itakamilika Kweli Kwa Utaratibu huu?

Nani wa kumfunga paka kengele?
 
Ameanza Campaign Kabla Ya Muda Ila Hawa Huwasikii Kusema Lolote
MSAJIRI Wa Vyama
NEC
 
Kuanza compaign kabla ya muda ni Ishara ya kutokukubalika na Ishara HOFU ya kushindwa?

Kama KAZI zinaongea, kampeni za mapema za KAZI Gani?

KAZI itakamilika Kweli Kwa Utaratibu huu?

Nani wa kumfunga paka kengele?
Utakuwa na IQ kubwa sana Wewe Mkuu. Heko.
 
Back
Top Bottom