Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Agiza wewe mwenyewe toka nje ya nchi.nafuu ya kupata gari bora
Good AmalysisKuagiza Faida:
1. Machaguo mengi.
2. Inakuja na hali nzuri....
Mkuu tembelea beforward website chagua gari unayopenda ,log in na anza majadiliano ya bei na mambo mengine, ukimaliza kukubalina bei nenda beforward Dar wakupe account yao lipia halafu mambo mengine watabaki wanafanya wenyewe.Wanabodi habari,kwa heshima zote naomba kujua ipi ni njia nafuu ya kupata gari bora kati ya kununua hapa bongo au kuagiza nje ya nchi maana natarijia kununua gari hivi karibuni.Naomba ufafanuzi tafadhali.
Kuagiza Faida:
1. Machaguo mengi.
2. Inakuja na hali nzuri...
Kwenye yard hakuna gari ambazo zimetoka moja kwa moja nje? Hazijatumika hapa bongoKuagiza Faida:
1. Machaguo mengi.
2. Inakuja na hali nzuri..
Asante sana kiongozi.Mkuu tembelea beforward website chagua gari unayopenda ,log in na anza majadiliano ya bei na mambo mengine, ukimaliza kukubalina bei nenda beforward Dar wakupe account yao lipia halafu mambo mengine watabaki wanafanya wenyewe. Kuhusu ubora na unafuu wa bei upo. Andaa kodi za serekali, usiogope kusubili miezi 2 kupata kilichobora
Hiyo namba 4 imetulia Sana kwasabb nakumbuka kipindi naagiza gari kulikuwa na harufu fulan ya kishua kutoka japan Ila nimekuja kushangaa baada miezi 5 Ile harufu imeisha na sasa kuna harufu ya vumbi na uvundo wa samaki na dagaaKuagiza Faida:
1. Machaguo mengi.
3. Unasajili kwa jina lako...
Naomba nikuulize swali hili kabla ya kukupa majibu.Wanabodi habari,kwa heshima zote naomba kujua ipi ni njia nafuu ya kupata gari bora kati ya kununua hapa bongo au kuagiza nje ya nchi maana natarijia kununua gari hivi karibuni.Naomba ufafanuzi tafadhali.
[emoji16][emoji16]Hiyo namba 4 imetulia Sana kwasabb nakumbuka kipindi naagiza gari kulikuwa na harufu fulan ya kishua kutoka japan Ila nimekuja kushangaa baada miezi 5 Ile harufu imeisha na sasa kuna harufu ya vumbi na uvundo wa samaki na dagaa
Mkuu nielimishe kuhusu kodi ya bandarini. Inapotokea CIF ya Japan ni kubwa kuliko makadirio ya TRA unakokotoa upya au inakua faida unalipa hiyohiyo??Mkuu tembelea beforward website chagua gari unayopenda ,log in na anza majadiliano ya bei na mambo mengine, ukimaliza kukubalina bei nenda beforward Dar wakupe account yao lipia halafu mambo mengine watabaki wanafanya wenyewe. Kuhusu ubora na unafuu wa bei upo. Andaa kodi za serekali, usiogope kusubili miezi 2 kupata kilichobora
Kwanini utaenda nunua yanapokamuliwa na sio kwa huyu muuzaji anaekuletea.?!Nitanunua yanapokamuliwa mkuu
Wanatumia CIF yako ili wapate mapato mengi mkuuMkuu nielimishe kuhusu kodi ya bandarini. Inapotokea CIF ya Japan ni kubwa kuliko makadirio ya TRA unakokotoa upya au inakua faida unalipa hiyohiyo??