Naomba kujua kwanini Members wengine hapa wana Followers wengi na Wengine pamoja na Kujitutumua Kwetu JF bado hatuna hata Mmoja tu?

Juzi uzi fulani akataka kuongea habari sijui za mjeda wangu gani sijui walikua wanajungua pm nanani wanajua wenyewe wakamwambia atasuswa mi huku ngachekaaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Lamomy huyuuu
🀣🀣🀣🀣 kumbe uliona mfyuuuu!!!
Ile mi nafatishaga wanavyosema mumeo mjeda!! Wala hakuna mtu yoyote pm kwangu ninayezogoa naye zaidi yako na Joannah na kivuruge coca bas
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…