sisi sio sawa na nyinyi msio hoji kila mnalo ambiwa sheikh akinywa kanywa yeye awezi simama mbele yetu akasema nyinyi mywe au msinywe tunafata maandiko tu
Kwa hyo hata hao mabikra mshawahoji hao mashehe wakawapa uhakika sio?sisi sio sawa na nyinyi msio hoji kila mnalo ambiwa sheikh akinywa kanywa yeye awezi simama mbele yetu akasema nyinyi mywe au msinywe tunafata maandiko tu
Acha kuassume upumbavu. Wewe kama unaamini stories za mungu na wapumbavu wenzako huko msikitini kwenu ni wewe. Usinihusishe na ukristo mjinga mkubwa wewe. Am not stupid like you kuamini stories za colonizers. PumbavuHahahaha unakimbia maandiko yenu Rudini kwa mume wenu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sijui, nahisi labda ya mama ako. Ila ni vizuri ukamuuliza. Yuko twitter nadhani
Mkuu Tate Mkuu toa neno kama nalewa chakari from monday to sunday ila sina ubaya na mtu wa mtaani ila mke wangu tu yeye hapendi pombe je hapo nina dhambi ?Pombe haijawahi kuwa dhambi, au haram! Ila matendo mabaya yatokanayo na hiyo pombe sasa, ndiyo yatampeleka mtu kutenda dhambi! Na hivyo mwisho wa siku kuchukuliwa kama haram.
Nitagida mpaka nitaogelea.Inasemekana ni haramu hapa duniani ila huko peponi utagida[emoji16]
Kuna rule inaitwa 20/80 rule naona itakusaidia zaidi ka Google ujue maana yake maana kwa unavyoonekana hauna kichwa cha kujua hiyo rule kweli Tanzania kuna wagonjwa wengi sana.Sijui, nahisi labda ya mama ako. Ila ni vizuri ukamuuliza. Yuko twitter nadhani
Natamani kushangilia ila ngoja nisubiriPombe haijawahi kuwa dhambi, au haram! Ila matendo mabaya yatokanayo na hiyo pombe sasa, ndiyo yatampeleka mtu kutenda dhambi! Na hivyo mwisho wa siku kuchukuliwa kama haram.
Kama unataka kunywa kunywa usitake kuchokonoa yasiyokuwepoWadau hamjamboni nyote?
Kwa heshima kubwa naombeni mnipatie majibu kupitia vyanzo sahihi kwa kuzingatia kichwa cha habari.
Je Pombe ni dhambi au ni haramu?
Je Pombe imekatazwa na Quran tukufu ama Mtume Mohamed?
Kashfa ya aina yeyote nitaomba Moderator afute Uzi huu
Aksante Niwatakie Jumapili njema
In Sheikh kipozeo voice 😂Inasemekana ni haramu hapa duniani ila huko peponi utagida[emoji16]
Nyie pombe mnaichuliaje? Mnadhani tunaokunywa pombe hatuna akili? Mtu anywe aende kuzini na mwanae?Pombe ina madhara mengi sana na matukio mengi yasiyopendeza
Nuhu alikunywa pombe akavua nguo mwenyewe kisha akaishia kumlaani mwanae aliyeuona uchi wake
Leo watu wanakunywa pombe wanaishia kuzini na mabinti zao.....
Wewe ni mpumbavu sana. Yani kujua 80/20 rule ndo umejiona wa maana sana? That’s just something an elementary school kid is aware of. Don’t be a twat.Kuna rule inaitwa 20/80 rule naona itakusaidia zaidi ka Google ujue maana yake maana kwa unavyoonekana hauna kichwa cha kujua hiyo rule kweli Tanzania kuna wagonjwa wengi sana.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Kwa ujue, Dhambi hutengenezwa na kosa, bila kosa hakuna dhambi.Pombe haijawahi kuwa dhambi, au haram! Ila matendo mabaya yatokanayo na hiyo pombe sasa, ndiyo yatampeleka mtu kutenda dhambi! Na hivyo mwisho wa siku kuchukuliwa kama haram.
Hahahaha kumbe ni popoma usie na DiniAcha kuassume upumbavu. Wewe kama unaamini stories za mungu na wapumbavu wenzako huko msikitini kwenu ni wewe. Usinihusishe na ukristo mjinga mkubwa wewe. Am not stupid like you kuamini stories za colonizers. Pumbavu
Sasa wewe kuwa na dini umeona ujanja? We ndo jinga na pumbavu la kwanza duniani. Babu zako leo wakifufuliwa afu wakuone unajisifia dini za watu wengine watakupa laana pumbavu wewe.Hahahaha kumbe ni popoma usie na Dini
Kweli umezidi upumbavu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Babu zangu wepi hao chizi weweSasa wewe kuwa na dini umeona ujanja? We ndo jinga na pumbavu la kwanza duniani. Babu zako leo wakifufuliwa afu wakuone unajisifia dini za watu wengine watakupa laana pumbavu wewe.
Wewe kweli punda babu zako sio waarabu fala wewe. Babu zako weusi wa hapo kijijini kwenu koromije. Jinga sana. Unahisi wewe una undugu na mudi? PumbavuBabu zangu wepi hao chizi wewe
Ndio maana nikamwambia umerithi upumbavu kutoka kwa familia yako
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Unarudia tena uchizi wako onesha niliposema babu zangu ni waarabu au ni weusi naona unanipangia mpaka uraia kuku weweWewe kweli punda babu zako sio waarabu fala wewe. Babu zako weusi wa hapo kijijini kwenu koromije. Jinga sana. Unahisi wewe una undugu na mudi? Pumbavu
Wadau hamjamboni nyote?
Kwa heshima kubwa naombeni mnipatie majibu kupitia vyanzo sahihi kwa kuzingatia kichwa cha habari.
Je Pombe ni dhambi au ni haramu?
Je Pombe imekatazwa na Quran tukufu ama Mtume Mohamed?
Kashfa ya aina yeyote nitaomba Moderator afute Uzi huu
Aksante Niwatakie Jumapili njema
Pombe ni kilevi cha zamani sana ukisoma kwenye historia na kwenye Quran pombe imekatazwa mara tatu kwasababu maswahaba walikuwa wamedumbukia kwenye ulevi uliopitiliza ikaja katazo la kwanza likisema
"Msikaribie swala ikiwa mmelewa' (an nissa:43)
Ila haikusaidia maana walikuwa wakitoka kwenye ibada break ya kwanza kwenye pombe likaja katazo jingine likisema
'Enyi ambao mmeamini hakika ya ulevi na na masanamu na ramli na mishale ya kutizamia ramli ni uchafu na ni miongoni mwa matendo ya shetani jiepusheni nayo huenda mkawa wachamungu wa kweli,
Uharamisho wa ulevi katika uislam,
Kwa hakika shetani anataka kukuleteeni uadui na bughudha baina yenu kwa ajili ya ulevi na kamari na anataka kukuzuilieni dhikiri za Allah na kuswali basi je mtaacha hayo (al maida:93)
Pombe ilikatazwa kwasababu watu walikuwa wanaenda kwenye ibada lakini hawana yakini na ufahamu wa kitu wanachokifanya wote tunajua pombe ilivyo na mtu akilewa kwa hyo lengo lilikuwa mtu akienda kwenye ibada ajue anachokifanya na mtume alipata sana tabu kukataza jambo hilo.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app