Naomba Kujua Pombe ni Dhambi au ni haramu? Imekatazwa na Quran au Mtume Mohamed?

Naomba Kujua Pombe ni Dhambi au ni haramu? Imekatazwa na Quran au Mtume Mohamed?

sisi sio sawa na nyinyi msio hoji kila mnalo ambiwa sheikh akinywa kanywa yeye awezi simama mbele yetu akasema nyinyi mywe au msinywe tunafata maandiko tu

sisi sio sawa na nyinyi msio hoji kila mnalo ambiwa sheikh akinywa kanywa yeye awezi simama mbele yetu akasema nyinyi mywe au msinywe tunafata maandiko tu
Kwa hyo hata hao mabikra mshawahoji hao mashehe wakawapa uhakika sio?
 
Pombe haijawahi kuwa dhambi, au haram! Ila matendo mabaya yatokanayo na hiyo pombe sasa, ndiyo yatampeleka mtu kutenda dhambi! Na hivyo mwisho wa siku kuchukuliwa kama haram.
Mkuu Tate Mkuu toa neno kama nalewa chakari from monday to sunday ila sina ubaya na mtu wa mtaani ila mke wangu tu yeye hapendi pombe je hapo nina dhambi ?

Au yeye ndiye ana dhambi ya kuikataa starehe ya mwenzie.
 
Sijui, nahisi labda ya mama ako. Ila ni vizuri ukamuuliza. Yuko twitter nadhani
Kuna rule inaitwa 20/80 rule naona itakusaidia zaidi ka Google ujue maana yake maana kwa unavyoonekana hauna kichwa cha kujua hiyo rule kweli Tanzania kuna wagonjwa wengi sana.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Pombe haijawahi kuwa dhambi, au haram! Ila matendo mabaya yatokanayo na hiyo pombe sasa, ndiyo yatampeleka mtu kutenda dhambi! Na hivyo mwisho wa siku kuchukuliwa kama haram.
Natamani kushangilia ila ngoja nisubiri
 
Wadau hamjamboni nyote?

Kwa heshima kubwa naombeni mnipatie majibu kupitia vyanzo sahihi kwa kuzingatia kichwa cha habari.

Je Pombe ni dhambi au ni haramu?
Je Pombe imekatazwa na Quran tukufu ama Mtume Mohamed?

Kashfa ya aina yeyote nitaomba Moderator afute Uzi huu

Aksante Niwatakie Jumapili njema
Kama unataka kunywa kunywa usitake kuchokonoa yasiyokuwepo
 
Pombe ina madhara mengi sana na matukio mengi yasiyopendeza

Nuhu alikunywa pombe akavua nguo mwenyewe kisha akaishia kumlaani mwanae aliyeuona uchi wake

Leo watu wanakunywa pombe wanaishia kuzini na mabinti zao.....
Nyie pombe mnaichuliaje? Mnadhani tunaokunywa pombe hatuna akili? Mtu anywe aende kuzini na mwanae?
 
Kuna rule inaitwa 20/80 rule naona itakusaidia zaidi ka Google ujue maana yake maana kwa unavyoonekana hauna kichwa cha kujua hiyo rule kweli Tanzania kuna wagonjwa wengi sana.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Wewe ni mpumbavu sana. Yani kujua 80/20 rule ndo umejiona wa maana sana? That’s just something an elementary school kid is aware of. Don’t be a twat.
 
Pombe haijawahi kuwa dhambi, au haram! Ila matendo mabaya yatokanayo na hiyo pombe sasa, ndiyo yatampeleka mtu kutenda dhambi! Na hivyo mwisho wa siku kuchukuliwa kama haram.
Kwa ujue, Dhambi hutengenezwa na kosa, bila kosa hakuna dhambi.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Kwa heshima kubwa naombeni mnipatie majibu kupitia vyanzo sahihi kwa kuzingatia kichwa cha habari.

Je Pombe ni dhambi au ni haramu?
Je Pombe imekatazwa na Quran tukufu ama Mtume Mohamed?

Kashfa ya aina yeyote nitaomba Moderator afute Uzi huu

Aksante Niwatakie Jumapili njema

1 Wakorintho 6:9-10​

Au je, hamjui kwamba watu wabaya hawataurithi ufalme wa Mungu? Msijidanganye! Watu wanaoishi maisha ya uasherati, wanaoabudu sanamu, wazinzi, au walawiti, wezi, wachoyo, walevi, wasengenyaji, wanyanganyi, hao wote hawatashiriki ufalme wa Mungu.
 
Pombe sio haramu na wala si dhambi kutumika. Matumizi ya pombe kupita kiasi ndio yanayopelekea kukiuka kanuni za maisha.
Kila chakula au kinywaji kilichoko ndani ya mamlaka ya binadamu kikitumika kwa kiasi ni halali hadi pale tunapovuka mipaka.
 
Swadaqta
Pombe ni kilevi cha zamani sana ukisoma kwenye historia na kwenye Quran pombe imekatazwa mara tatu kwasababu maswahaba walikuwa wamedumbukia kwenye ulevi uliopitiliza ikaja katazo la kwanza likisema

"Msikaribie swala ikiwa mmelewa' (an nissa:43)

Ila haikusaidia maana walikuwa wakitoka kwenye ibada break ya kwanza kwenye pombe likaja katazo jingine likisema

'Enyi ambao mmeamini hakika ya ulevi na na masanamu na ramli na mishale ya kutizamia ramli ni uchafu na ni miongoni mwa matendo ya shetani jiepusheni nayo huenda mkawa wachamungu wa kweli,

Uharamisho wa ulevi katika uislam,

Kwa hakika shetani anataka kukuleteeni uadui na bughudha baina yenu kwa ajili ya ulevi na kamari na anataka kukuzuilieni dhikiri za Allah na kuswali basi je mtaacha hayo (al maida:93)

Pombe ilikatazwa kwasababu watu walikuwa wanaenda kwenye ibada lakini hawana yakini na ufahamu wa kitu wanachokifanya wote tunajua pombe ilivyo na mtu akilewa kwa hyo lengo lilikuwa mtu akienda kwenye ibada ajue anachokifanya na mtume alipata sana tabu kukataza jambo hilo.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom