Naomba kujua ukweli kuhusu 'kiama'

Hivi huyu ISRAEL mtoa roho mnayemzungumzia yukoje ameainishwa kwenye maandiko msaada tafadhali
 
Huyo ni kiumbe wa Allah, kiumbe atakeyekuwa wa mwisho kufa. Kiumbe mwenye kuzitoa roho za waja kwa idhini alopewa na Allah.

Kwa mawazo haya sisi waafrika tutabaki nyuma kila siku!

Karibu katika ulimwengu huru!

..........Free ideas....
 
wasomi na wachambuzi wa mambo hatuendi hivyo ukiona hakuna cha maana unatoa hoja ndugu Mohamedy ee bwana waislamu wanasema 'usipo jua jambo uliza'

"Usipojua jambo uliza" sawa kabisa. Lakini usihadaiwe na hilo jina la Mohamedy ukadhani ni mwislam, hapana. Huyo hana chembe ya uislam, waislam hawako hivyo na majibu yasiyokuwa na kichwa wala miguu.
 
Ndugu k_dizle
acha nikupe huu mukhtasari hivi:-

Dunia ni siku tatu.. (jana,leo,kesho)
1. Jana tumeikidhi na kuishi hivyo hatorudi tena !!
2. Leo tunaishi na kuitenda lakini haitodumu tena !!
3. kesho hatutojuwa wapi tutakuwepo au kijacho tena !!

Sasa kiri kuwa Mwenyeezi Mungu ni mmoja na miliki wa vyote....

Good Luck
 

Link 1 Matthew 24:36 "But about that day or hour no one knows, not even the angels in heaven, nor the Son, but only the Father.

Link2. https://www.islam-guide.com/ch3-5.htm

Link3. Part 3: Some Signs of Day of Resurrection


Link4. The Noble Quran - القرآن الكريم

Link5. The Noble Quran - القرآن الكريم

Link6. The Noble Quran - القرآن الكريم

Link7. The Noble Quran - القرآن الكريم

 
Siku ya kufufuliwa tutatoka ktk tumbo la ardhi na kuulizana ardhi hii leo ina nini?!na kila atakaejiuliza amekaa mda gn kaburini jibu lake ni siku moja au ktk shm ya siku tu!km umelala then ukaamka.
Izrail mtoa roho kabla ya kiama atatumwa atoe roho viumbe wote waliobaki akimaliza atamuuliza mungu nimeshamaliza mungu atamjibu bado jamaa atarudi atazunguka kote hadi kw malaika atakuta wamekufa kisha atamrudia mungu kumueleza kwmb hamna kilichobaki.
Hapo mungu atamjibu ni ww pekee ndo umebaki jitoe roho unikabidhi ataitoa huku akilia kwa uchungu.
Baada ya hapo huku duniani itanyesha mvua ya shahawa na watu wataanza kufufuka na kujiuliza kuna nini tena tunaamshwa usungizi ulikuwa mtamu?!
Hapo ndo mungu muumba atasimama na kusema leo ndo siku ya haki hakuna atakaeonewa isipokuwa kwa aliyoyatenda.hii siku haina shaka ndugu zangu sbb huku duniani hakuna haki mkubwa anaonea mdogo tajir anatesa maskini
 
"Usipojua jambo uliza" sawa kabisa. Lakini usihadaiwe na hilo jina la Mohamedy ukadhani ni mwislam, hapana. Huyo hana chembe ya uislam, waislam hawako hivyo na majibu yasiyokuwa na kichwa wala miguu.
asante kwa msaada wako
 
"Usipojua jambo uliza" sawa kabisa. Lakini usihadaiwe na hilo jina la Mohamedy ukadhani ni mwislam, hapana. Huyo hana chembe ya uislam, waislam hawako hivyo na majibu yasiyokuwa na kichwa wala miguu.

Kwahyo ww ni muislam?
 
Hakuna kitu kama hicho. Mambo ya kijinga sana kuamini sijui kiama, moto, sijui peponi ni ujinga tu. Kifupi mambo ya Dini ni ya kufikirika tu ili kukutisha uwe mtumwa wa imani, na ukizidisha maimani ya hizo riwaya zilizoletwa kwenye majahazi, unaishia kuua watu bure na kuwa hata gaidi kwa kudhani unafanya kazi ya Mungu kumbe umesharukwa akili. We ishi kwa amani, usiue, usidhulumu, na machafu achana nayo utaishi vizuri basi.
 
Kwa nini Mungu atunyooshe Wakati we unadai ndio katuumba? Why atudhuru?
 
Kwanza ukiyasoma hayo mavitabu yamejaa uongo mwingi, na yanapingana sana. We kama tunaambiwa eti ukizaliwa tu, basi Mungu anajua hatima yako eti kama utaenda motoni au mbinguni, sasa kama anajua tutakakoangukia, kwa nini tuswali, na kwa nini tumuombe na kumlazimisha atupeleke ambako yeye hakutupangia?
 
Nani kakuambia?
 
Mwisho wa Dunia siku ukifa wewe tu.. wengine wanaendelea Dunia hii ina miaka trillion na bado ipo sana tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…