Naomba kujua walipo waimbaji wa kwaya ya Ulyankulu Bara barabara ya 13

Ooh no, hope sahiv watakuwa wazee jamani
😭😭, niliwapenda sana, na nyimbo zao ni bomba mbaya
Kumbe wengi walikuwa nayo hii album aisee home nilikuwa dogo basi kila leo inapigwa hii album mbaka waislam wengi sana waliipenda kuna wimbo ulikuwa unaitwa ima nikuwa nayo hakikaa kwa mambo yatarajiwayo... Niliipenda sana kwakweli nilikuwa dogoo
 
Wasalimie mkuu, waambie Bushmamy pamoja na Bushdady bila kusahau bush's children wanawasilimia sana.

Pia sio mbaya ukitupia picha zao tuwaone walivyo hivi sasa πŸ€”πŸ€”
 
Hadi leo ukisikiliza ubora wao haushuki,kwaya ya heshima ,uimbaji na mavazi halafu asilimia kubwa ya jumbe za nyimbo zao zimetoka kwenye biblia

[emoji116]
True 😘
 
Na sasa umeuacha Wokovu?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoto mdogo sana ww kumbe....!!?
mm nimezaliwa wakati wa LEGCO Tanganyika
 
πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
We mhenga kumbe?

Nyimbo nyingi za kwaya za zamani ni nzuri sana, huchoki kusikiliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…