Haya ndio mambo wabongo wanatakiwa washirikiane kama wenzetu nigeria.sio mtu anajibu panda kiaz kitamu.pumbavu kabisa
Ataenda kufa njaa?? Wewe ulishawahi kwenda ukafa njaa? Je una statistic ya watu walio kufa njaa Brazil??
Embu, wabongo tubadilike, tusiwe na mawazo mgando , hasa kama huna research yoyote kuhusu nchi za watu.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu nimekukubali sana, umeongea facts zote hizo.
Na mimi nipo kwenye process za kuingia Canada..
Sent from my iPhone using JamiiForums
huna hata aibuMkuu kama unataka kuwahi panda kiazi kitamu kama huna haraka chukua baiskeli
Vaa barakoa, tumia sanitizer, sali sana. Kusafiri utasafiri baada ya kunusurika na corona
vichaa wa jamii forums..niko nawasiliana na boss melo awafungulie sehem ambapo mtakua mnakutana vichaa kama nyie na mliotoroka mirembe.ehhxhxhenz udevehsdu jejsudhseb jejidrnkgkkv krmdkxown nebsd.
ni rahisi sana na unafika haraka[emoji109][emoji109]
kulikuwa na safari nyingine zaidi ya hii..??safari hii tupo watu wawili na tunapita njia tu tukielekea Mexico kujaribu kuingia Marekani kisha Canada.
Wanao kuita PM usiwafate unaenda kulizwa
Wanajamvi naomba maelekezo kidogo .Mwenzenu nikitaka kufika Brazil naendaje?
Kule nina mwenyeji tayari anaishi Sao Paolo.Je ni lazima kupanda ndege au hata kwa meli nitafika??safari hii tupo watu wawili na tunapita njia tu tukielekea Mexico kujaribu kuingia Marekani kisha Canada.
Kwa anaejua njia naomba mawazo yenu na ujuzi wenu.nataka intake risk nijaribu kufika nchi ya ahadi baada ya janga la Corona kupoa. Asanteni
Ndugu yangu Brazil [emoji1054] utaenda kufa njaa napajua vizuri hakuna namna yeyote yakutoka zaidi ya kuwa kicontena cha kubeba unga
Sent using IPhone X