Samwel Ngulinzira
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,829
- 1,972
Nenda kwenye duka la cosmetics waambie wakupe spray za Rasasi sasa nusa harufu unayoipenda katika hizo nunuwa mojawapo.Habari zenu wanajukwaa..,Mimi naomba kujulishwa ni Spray gani itanifanya ninukie vizuri yaani ki (Gentleman) ya Bei Rahisi kwanzia Buku5-10...??
NOTE:HALI YANGU YAKIPATO NI NDOGO NDIO MAANA NIKAULIZIA SPRAY NA SIO PERFUME..Ahsanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee baba kwa hiyo hela chukua runguHabari zenu wanajukwaa..,Mimi naomba kujulishwa ni Spray gani itanifanya ninukie vizuri yaani ki (Gentleman) ya Bei Rahisi kwanzia Buku5-10...??
NOTE:HALI YANGU YAKIPATO NI NDOGO NDIO MAANA NIKAULIZIA SPRAY NA SIO PERFUME..Ahsanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah! Hii sio roho ya kike aiseeRungu, Hit na zinginezo
Nyinyi ndio watu mnaonuka kama beberu kwenye daladala kwa kuwa mawazo yenu yamejiaminisha uturi ni kitu cha bei kubwa wakati deodorant spray kariakoo kwenye maduka ya jumla zipo mpaka za shillings 3500/= tena za kijanja kabisa.Mzee baba kwa hiyo hela chukua rungu
Hahaha....mkuu punguza hasiraNyinyi ndio watu mnaonuka kama beberu kwenye daladala kwa kuwa mawazo yenu yamejiaminisha uturi ni kitu cha bei kubwa wakati deodorant spray kariakoo kwenye maduka ya jumla zipo mpaka za shillings 3500/= tena za kijanja kabisa.
Hongera sana mkuu mungu akubariki akuongeze hekmaHivi kwann mtu kauliza swali tena kwa ustaarabu kabisa halafu baadhi ya watu mnajibu vibaya jamani au kwa sababu kasema kipato chake kidogo?,kama unaona huwezi kumsaidia au kujibu soma tu na upite kimya kimya...yupo jukwaa husika kabisa..acheni hizo ndugu zangu.
vibaya hivyo....!Rungu, Hit na zinginezo
Nzuri sana. Huwa naitumia piaPole mtoa mada kwa majibu ambayo hukuyategemea, ila jamani c lazima kuchangia kila mada, waweza soma then ukapotezea ukahamia jukwaa lingine tu. Kuhusu body spry mimi huwa situmii, natumia pafyumu inaitwa bondage ni nzuri na inakaa kwa nguo kwa mda mrefu tu! Ahsante
Mkuu IPO spray inayotokana na samli, bei ni sh. Buku tano tu. Wewe mwenyewe tu. Wahi coz order ni kubwa.Habari zenu wanajukwaa..,Mimi naomba kujulishwa ni Spray gani itanifanya ninukie vizuri yaani ki (Gentleman) ya Bei Rahisi kwanzia Buku5-10...??
NOTE:HALI YANGU YAKIPATO NI NDOGO NDIO MAANA NIKAULIZIA SPRAY NA SIO PERFUME..Ahsanteni
Sent using Jamii Forums mobile app