Naomba kujulishwa ni Spray gani itanifanya ninukie vizuri?

Japo n mwaka sasa umepita lakin wewe mkuu uliongea jambo LA busara sana! Watu wanapenda kudharau mada za wengine lakn kila mtu anapokuja na Uzi humu ujue anahtaj msaada! Hongera sana mkuu huko uliko na Mungu akubarik mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, hyo Inauzwa pesa ngapi kW duka..?
 
Wanaojibu vibaya hali zao mbaya hawawezi hata kununua spray ya bei rahisi ndio maana wanawaka kama mbogo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…