Naomba kujuzwa hali ya maisha na fursa kati ya bumbuli (mombo) na kondoa dc

Naomba kujuzwa hali ya maisha na fursa kati ya bumbuli (mombo) na kondoa dc

opondo

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2017
Posts
526
Reaction score
1,321
Kwa wenyeji na ambao wameshafika Maeneo hayo, Mimi ni Mwalimu Niko kigoma miaka 25 Sasa, nimepata mtu wa Kubadilishana nae mmoja kanitafuta yupo kondoa dc kata ya hondomairo Mwingine yupo bumbuli (mbelei)...
huko Mimi sio mwenyeji Lakini kwa mazingira ya huku kigoma naona ni changamoto, nafikiria mambo mawili. Nihamie kondoa Lakini familia ikae singida/babati au nihamie bumbuli (mombo) familia ikae Dar-es-salam huku wakiendelea na ujasiriamali.
Ni sehemu hipo Bora kati ya hizo mbili kwa ajiri ya mpambano wa kujikwamua na kukimbia umaskini? Mtaji ninao 5million.
 
Kwa wenyeji na ambao wameshafika Maeneo hayo, Mimi ni Mwalimu Niko kigoma miaka 25 Sasa, nimepata mtu wa Kubadilishana nae mmoja kanitafuta yupo kondoa dc kata ya hondomairo Mwingine yupo bumbuli (mbelei)...
huko Mimi sio mwenyeji Lakini kwa mazingira ya huku kigoma naona ni changamoto, nafikiria mambo mawili. Nihamie kondoa Lakini familia ikae singida/babati au nihamie bumbuli (mombo) familia ikae Dar-es-salam huku wakiendelea na ujasiriamali.
Ni sehemu hipo Bora kati ya hizo mbili kwa ajiri ya mpambano wa kujikwamua na kukimbia umaskini? Mtaji ninao 5million.
Vijana sijui mnashida gani ugawanyi familia kwa mshahara upi wa ualimu?
 
Nimesema Nina 5M cash ambayo sijakopa, nawaza wife akae mjini huku alifanya biashara Kila weekend naingia mjini.
Hapo ndo utaharibu wife usimpe pesa yako, kama unampango wa biashara fanya mwenyewe, kondoa ni pakame biashara ambao inaweza kukutoa ni kuleta daga za kigoma kuwauzia wana shida ya mboga sana, kule mumbuli sioni fursa watu wengi ni wachovu.
 
Hapo ndo utaharibu wife usimpe pesa yako, kama unampango wa biashara fanya mwenyewe, kondoa ni pakame biashara ambao inaweza kukutoa ni kuleta daga za kigoma kuwauzia wana shida ya mboga sana, kule mumbuli sioni fursa watu wengi ni wachovu.
Sawa mkuu shukrani sana, nimekuelewa.
 
Hapo ndo utaharibu wife usimpe pesa yako, kama unampango wa biashara fanya mwenyewe, kondoa ni pakame biashara ambao inaweza kukutoa ni kuleta daga za kigoma kuwauzia wana shida ya mboga sana, kule mumbuli sioni fursa watu wengi ni wachovu.
Najua hawezi kukuelewa mpaka pale atakapopigwa RKO matata sana


Ndugu mwalimu whatever the case kaa na familia yako karibu
 
Kwa wenyeji na ambao wameshafika Maeneo hayo, Mimi ni Mwalimu Niko kigoma miaka 25 Sasa, nimepata mtu wa Kubadilishana nae mmoja kanitafuta yupo kondoa dc kata ya hondomairo Mwingine yupo bumbuli (mbelei)...
huko Mimi sio mwenyeji Lakini kwa mazingira ya huku kigoma naona ni changamoto, nafikiria mambo mawili. Nihamie kondoa Lakini familia ikae singida/babati au nihamie bumbuli (mombo) familia ikae Dar-es-salam huku wakiendelea na ujasiriamali.
Ni sehemu hipo Bora kati ya hizo mbili kwa ajiri ya mpambano wa kujikwamua na kukimbia umaskini? Mtaji ninao 5million.
Mwalimu kwa nini unataka kukimbia Kigoma??nipo Makere hapa naona soko limechanganya sana,nenda Kondoa tu ukapambane na watoto wa Kirangi,maisha ni hayahaya,hilo la kutengana na familia utakuja kulea watoto sio wako,oohh
 
Kwa wenyeji na ambao wameshafika Maeneo hayo, Mimi ni Mwalimu Niko kigoma miaka 25 Sasa, nimepata mtu wa Kubadilishana nae mmoja kanitafuta yupo kondoa dc kata ya hondomairo Mwingine yupo bumbuli (mbelei)...
huko Mimi sio mwenyeji Lakini kwa mazingira ya huku kigoma naona ni changamoto, nafikiria mambo mawili. Nihamie kondoa Lakini familia ikae singida/babati au nihamie bumbuli (mombo) familia ikae Dar-es-salam huku wakiendelea na ujasiriamali.
Ni sehemu hipo Bora kati ya hizo mbili kwa ajiri ya mpambano wa kujikwamua na kukimbia umaskini? Mtaji ninao 5million.
Kama we ni Muha na una huo mataji achana na ualimu wa mshahara wa 420k kwa mwezi njoo ni kuunganishe na waha wenzio uanze kuuza vyombo vya ndani unawapa waha vijana wakuzungushie minimum kwa siku utapata 50k kwa mwezi 1.5m kwa mwezi hapo jua unakua dar es salam baada ya mwaka utakua mgine kama mnavo kua wa bahili utatajilika haraka.
 
Kama we ni Muha na una huo mataji achana na ualimu wa mshahara wa 420k kwa mwezi njoo ni kuunganishe na waha wenzio uanze kuuza vyombo vya ndani unawapa waha vijana wakuzungushie minimum kwa siku utapata 50k kwa mwezi 1.5m kwa mwezi hapo jua unakua dar es salam baada ya mwaka utakua mgine kama mnavo kua wa bahili utatajilika haraka.
Sema mnakalili Sana maisha..... Sasa huyo mwl anayelipwa 420k niwadaraja Gani??
 
Kumtenga mwanamke akae mjini na wewe ukae kijijini kutafuta Mali hiyo fanya ni Big no, Sio Kwa ulimwengu huu WA vishawishi, Cha Muhimu fanya uchaguzi ila kondoa ni pazuri kidogo baada ya Dodoma kuwa makao
 
Kama we ni Muha na una huo mataji achana na ualimu wa mshahara wa 420k kwa mwezi njoo ni kuunganishe na waha wenzio uanze kuuza vyombo vya ndani unawapa waha vijana wakuzungushie minimum kwa siku utapata 50k kwa mwezi 1.5m kwa mwezi hapo jua unakua dar es salam baada ya mwaka utakua mgine kama mnavo kua wa bahili utatajilika haraka.
Mimi sio Muha mkuu, Mimi ni mjaluo (opondo), hiyo idea ni nzuri sana japo uhakika wa kukopa hata million 20 ninao, SEMA siwezi kukopa kwa sababu nataka nianze na nilichonacho kwanza.
 
Bora mfanye biashara wote,mkiwa sehem moja itasiidia,kupunguza ghalama na pia wewe mwenyewe kufatilia mwenendo wa biashara,huku mkishauliana huoni km kutoka kondoa mpaka dar ni kipande,na kutoka kwenda singida ndo usiseme alafu singida Kuna biashara gani pale mbona pamepoa Sana
Nategemea idea yako mkuu, singida naona ushindani sio mkubwa sana, nikianza na million 5 pale itakua rahisi Kutoboa, kondoa singida ni kama 10,000 Lakini mombo dar ni 20,000/=
 
Najua hawezi kukuelewa mpaka pale atakapopigwa RKO matata sana


Ndugu mwalimu whatever the case kaa na familia yako karibu
Kwanini mkuu? Nachowaza Mimi siwezi mpa wife pesa/mtaji Ila nafungua biashara yangu yeye atakua msaidizi tu/msimamizi nikiwa sipo
 
Kumtenga mwanamke akae mjini na wewe ukae kijijini kutafuta Mali hiyo fanya ni Big no, Sio Kwa ulimwengu huu WA vishawishi, Cha Muhimu fanya uchaguzi ila kondoa ni pazuri kidogo baada ya Dodoma kuwa makao
Umenena ukweli mtupu kiongozi.
 
Ana Miaka 25 wewe kwa akili zako unaona ameka kazini zaidi ya miaka miwili?
Nimeanza na degree mkuu tgts D3 805,000/= baada ya makato ni 671,000/= Nina mwaka mmoja kazini.
 
Kwanini mkuu? Nachowaza Mimi siwezi mpa wife pesa/mtaji Ila nafungua biashara yangu yeye atakua msaidizi tu/msimamizi nikiwa sipo
Nakwambia kwa sababu nauzoefu kaa naye karibu uyo kiumbe dhaifu kama ni kondoa kaeni wote kondoa kma Ni uko bondo kaeni wote uko bondo na kama Ni biashara afanye hapo hapo mkiwa wote
 
ina maana unamwamini sana au unamtafutia sababu!
Kingine mkuu swala la kufanya ufuska anaweza fanya hata nikiwa nae, ananijua nilivyo maana hata nikihisi amejaribu kufanya huyo ni safari ya kwenda kwao.
 
Back
Top Bottom