CONTRARIAN
JF-Expert Member
- Jun 21, 2023
- 982
- 3,137
Wewe ndio umemaliza kila kituu,Mtu kauliza Kuhusu sehemu bora, Mnaleta ujuaji na Familia za watu, Vijana mda wote wanawaza kupigiwa ndio maana stress zinawaua, kama mtu hajatulia unapigiwa mpka chumbani kwako...
Twende kwenye Mada.
Bumbuli haipo Mombo,
Mombo ni korogwe, ni njiani kuelekea bumbuli ambayo ni halmashauri nyingine ndani ya Wilaya ya Lushoto.
Kwahio Rout yako inakua
Mombo - Soni - Mbelei - Bumbuli.
Kama Shule Ni mbelei una uhakika, basi ni shule nzuri, ina mpaka advance, kwa ufupi ndio kama shule kubwa kwa halmashauri
Unaweza ukaishi hata Soni Central, ukitaka kwenda Dar miezi ya Nyuma ilikua hata 15k unaenda asaivi 18k unatoka mbelei saa 12 : 30 dar Unaingia Saa tano asubuhi, arusha nako 15k, Dom 30k, Moro 15k,.
NOTE : Kama Ni shule tofauti na Mbelei uliyoitaja..
Labda iwe Soni Day(hii ndio ipo njiani unatoka shuleni ndani ya Dk moja upo main road ya Dar) au angalau Bumbuli sec yenyewe ipo Central ila ni mbali, kinyume na hapo ACHA KABISA. Kuna shule huko unaenda kwa kutambaa..
Kuhusu Kilimo kipo Hasa mboga mboga, ufugaji n.k
Vyakula, Matunda na Mboga Ni CHEAP MNOOOOO, hasa ukiishi soni,
Hali ya hewa ni ya Ubaridi kiasi, Ila kwa ufupi ni rafiki.
Biashara Ni Changamoto kiasi kwa mgeni, kuna ile kujuana.
Singida Kalime Arizeti, Babati vitunguu,
Kondoa kafuge...., huku kote jiandae kwa jua la utosi.
Kama hutojali Taja Shule na huku nikupe Taarifa.
Call me Journey Man.
Humu watu wanajitia wajanja, kumbe mda wote wanaendeshwa na Tension ya Kuchapiwa, Rubish kabisa, Mwanamke halindwi mtakufa na Pressure.