Naomba kujuzwa hali ya maisha na fursa kati ya bumbuli (mombo) na kondoa dc

Wewe ndio umemaliza kila kituu,

Humu watu wanajitia wajanja, kumbe mda wote wanaendeshwa na Tension ya Kuchapiwa, Rubish kabisa, Mwanamke halindwi mtakufa na Pressure.
 
Mkuu mtu huishi na mkewe elewa vizuri. Kwa nini unataka kumweka mtoto wa watu mnadani wajanja wamgombanie, bint mwenyewe bado mdogo kwa hesabu za haraka hazidi 20yrs!
Ni kweli, nimeshachukua maamuzi ya kuhamia Hapo kondoa, nadhani itakua ni njia ya kufungua fursa kuliko huku kigoma nilipo.
 
Ni kweli, nimeshachukua maamuzi ya kuhamia Hapo kondoa, nadhani itakua ni njia ya kufungua fursa kuliko huku kigoma nilipo.
Kondoa ni best option...
-hali ya hewa ipo moderate sio joto wala sio baridi
-Kilimo wanalima kwa wingi mazao kama Mahindi,Alizeti,Mbaazi,Rosella n.k
-geographical advantage ipo katikati ya nchi unaweza kusafiri popote pale Tanzania hii na ukafika siku hiyohiyo
-Kibiashara unaweza kufanya biasharazako na miji ya karibu kama Dodoma ,Tanga,Singida,Kiteto,Babati,Katesh,Arusha n.k
 
Nenda Kondoa na familia yako. Bumbuli Wana umwinyi mwingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…