Naomba kujuzwa namna ya kufika Canada

Naomba kujuzwa namna ya kufika Canada

Lameckjr

Senior Member
Joined
Sep 26, 2020
Posts
133
Reaction score
247
Ndugu wanajamvi habari zenu,
Natumaini mko powa kabisa na mnaendelea na shughuli za hapa na pale

Kwenye maisha ya mwanadamu kila mtu anakuwa na ndoto zake ambazo hana budi kuzipigania!!

Binafsi toka nikiwa mdogo ndoto zangu zilikuwa ni kuishi Canada, hapa katikati ni kama zilipotea vile baada ya kuhitimu chuo nikapata mchongo wa kazi.

Hili wazo lilianza tena kunisumbua yaani kwenda Canada, nikaona isiwe case nikaanza kufuatilia mambo ya passport kwanza nikawa nimepata, then nikaendelea kuchapa kazi, wazo tena likawa kama vile limepotea.

Pale kazini nikawa nimeondoka, then nikawa nimepata kazi Zanzibar aisee si unajua huu ni mji wa kitaliii na wazungu nikili kuwa wazo wakati hii limekuja na nguvu ya ajabu sana.

Yani mambo hayaendi kabisa , akili yote inanitaka nitimize hii ndoto yangu ya muda mrefu ila ishu nakoswa mtu wa kuniongea ideas how nafikaje fikaje Canada, Kama kuna Mtanzania anaishi Canada humu kwa heshima na taadhima tuwasiliane pls.

Ili anisaidie hata kimawazo tu,

Yaani kazi haziendi kbs ,mawazo yangu ni Toronto, vancouver nk
Asante
 
Toa ushauri mkuu
Tafuta hela. Weka order ya Hotel au hostel, tafuta visa ya miezi mitatu uende kama mtalii ukasome mazingira kisha ndio uje uende jumla. Hela kwanza ili ukipeleka Bank Statement wasikubanie Visa.
 
Nilivyosoma kichwa cha habari nikajua labda unasimulia jinsi gani hiyo safari yako ilivyokuwa,,, kumbe hata passport huna🤔
Kwa uandishi huu hicho chuo chenyewe umesomea wapi?
Japo nimeishia la tatu ila hapa mh🤔
 
Habali wakuu. Mimi ni kijana mwenye miaka 24 ndoto yangu kubwa siku moja nifanye kazi au kuishi nje ya Tanzania hasa bara LA Europe. Lkn bado sijui nitafikaje lkn nimeomba kazi kwa njia ya mtandao lkn bado sijapata pia nimejalibu kuwaomba watanzania ambao wapo huko lkn bado.nimesomea laboratory industry na certificate. Naombeni ushauli wenu ndugu zanguni kwa yeyote ambaye anamwangaza wa huko.ingawa nimesomea fani hiyo lkn nitafanya kazi yoyote ambayo ni sawa kufanya
 
Wakuu .naombeni mwangaza nitatimizaje ndoto yangu ingali ni kijana na sina mbele wala nyuma na familia nliyotoka ni ya kimasikini na ukiangalia mm ndo tegemezi.

Natamani kuwa hudumia wazazi wangu pia kuwasaidia watu ambao wanashida lkn najikuta nashindwa sabab sina kipato,nimeomba kazi sana lkn bado, lkn ndoto yangu kufanya kazi nje ya Tanzania. Hata imepelekea mwaka huu kujaza green card.

Naombeni mwangaza hata kunipa Links za kazi huko nje.ndugu zanguni maisha ya MTU yako kwa MTU, hakuna MTU alifanikiwa kwa kupambana mwenyewe bila msaada wa MTU.

Naombeni msaada wenu.
 
inabidi suluhisho la hili tatizo la vijanaa kuteseka hasa graduates tulipatie ufumbuzi..

Nafikiri suluhisho la kwanza tuanze na kubadilisha Mindset za vijana... tujaze homa ya ujasiriamali kwa vijana ambao watakua na what it takes kuwa wajasiriamali... hao watumike as a gateway kuwasaidia wengine
 
Habali wakuu. Mimi ni kijana mwenye miaka 24 ndoto yangu kubwa siku moja nifanye kazi au kuishi nje ya Tanzania hasa bara LA Europe. Lkn bado sijui nitafikaje lkn nimeomba kazi kwa njia ya mtandao lkn bado sijapata pia nimejalibu kuwaomba watanzania ambao wapo huko lkn bado.nimesomea laboratory industry na certificate. Naombeni ushauli wenu ndugu zanguni kwa yeyote ambaye anamwangaza wa huko.ingawa nimesomea fani hiyo lkn nitafanya kazi yoyote ambayo ni sawa kufanya
Bado endelea kukaza... ipo muda na wakati usioujua utatoboa
 
Back
Top Bottom