Jicholamwewe
JF-Expert Member
- Jan 2, 2021
- 375
- 465
Nchi ambazo zipo Europe. Pia Canada nnchi za nje!!! nchi gani??
hata burundi ni nchi za nje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi ambazo zipo Europe. Pia Canada nnchi za nje!!! nchi gani??
hata burundi ni nchi za nje
Nimesomea laboratory industry. Nchi za ulaya.pia canada.nkNchi Gani? Professional yako ni ipi...? Ulaya ni rahs kidogo endapo utakua na professional,
Nimesomea laboratory industry. Nchi za ulaya.pia canada.nk
Nina sala sanaMtangulize Mungu, atakufanyia njia usipopatarajia
Sina maana hiyo mkuu.kifupi nahitaji msaada .vijana wana vitu kichwani lkn wakuwa support na kuwashika mkono hukuna.hvyo inapelekea kijana kufanya maamuzi ya kubashiliKwahiyo na Mungu alikutapeli?!
Nisaidieni ndugu zanguni.najua humu ndani nipo sehem sahihiFahamu haya kuhusu ajira za nje ya nchi
Hii ni kwa yeyote mwenye ndoto ya kwenda kufanya kazi nje ya nchi: Ili mwajili wa nje ya nchi akupe stahiki zako kama mfanyakazi na wewe ufurahie fursa hiyo basi ni lazima uwe na: 1. Elimu ya uhakika sababu ndio kigezo cha mtu anaejitambua kwa Dunia ya leo. 2. Uzoefu na taaluma yenye...www.jamiiforums.com
Asante mkuuInaweza kua fursa kwako changamaa
Pitia thead hio utapata kituAsante mkuu
Mkuu wapi sahihi pa kuchangamana? Unaweza kunipa mwongozo?Asante mkuu
Shukuran mkuu.naimani siku moja ipoKila la kheri mkuu...Nakuombea ufanikiwe.
Asante.mkuu sana,Mungu mwemaMkuu kila la kheri, wata patikana wa kukusaidia kutimiza azima yako hivyo usikate tamaa...
Sawa mkuu Asante sana.Kuna nyuzi zipo humu za hayo maswala nadhani wataalam wataweka links.
Piga meli kama wewe una speed kweli, kama unataka safari yondo sister kufunga mkanda jipange mwenyewe usitilie watu huruma homeboy.. machizi kibao walikuwa na ndoto na kama zako wameishtakia bahari wamepiga mitumbwi wako zao mambele wamepumzika,, sasa wewe subiri uchangie nauli humu jf, visa, hotel etc..Habali wakuu. Mimi ni kijana mwenye miaka 24 ndoto yangu kubwa siku moja nifanye kazi au kuishi nje ya Tanzania hasa bara LA Europe. Lkn bado sijui nitafikaje lkn nimeomba kazi kwa njia ya mtandao lkn bado sijapata pia nimejalibu kuwaomba watanzania ambao wapo huko lkn bado.nimesomea laboratory industry na certificate. Naombeni ushauli wenu ndugu zanguni kwa yeyote ambaye anamwangaza wa huko.ingawa nimesomea fani hiyo lkn nitafanya kazi yoyote ambayo ni sawa kufanya
Nikwel rahs lkn nitafikaje bila wa kukupa mwangaza? Nimejalibu kila kona .kutafuta kazi mtandaoni lkn bado.ikapelekea kujaza green card lkn bado.lkn sijakata tamaa moyo bado unaniambia nipambane.hvy naombeni msaada wenu hata wa kimawazo.lkn nisameheni msiniambie vikwazo vya kule ya kuteseka sabab hata hapa bongo kuteseka kupo.mfno nlipokuja hapa bongo kutoka mkoani mjomba wangu ambaye mnasema mjomba ni mama alinitelekeza nikakosa pakula,kulala nakula chakula masaa 24 yan kila ifikapo SAA 6 usiku mm ndo nakula tena nakula mkate ule wa ufuta na maji.hvyo kuteseka kupo.nimeazimia mm kwenda nje.naombeni msaada wenuNchi Gani? Professional yako ni ipi...? Ulaya ni rahs kidogo endapo utakua na professional,
Habali wakuu. Mimi ni kijana mwenye miaka 24 ndoto yangu kubwa siku moja nifanye kazi au kuishi nje ya Tanzania hasa bara LA Europe. Lkn bado sijui nitafikaje lkn nimeomba kazi kwa njia ya mtandao lkn bado sijapata pia nimejalibu kuwaomba watanzania ambao wapo huko lkn bado.nimesomea laboratory industry na certificate. Naombeni ushauli wenu ndugu zanguni kwa yeyote ambaye anamwangaza wa huko.ingawa nimesomea fani hiyo lkn nitafanya kazi yoyote ambayo ni sawa kufanya
Asante sana kwa ushaur .nitaufanyia kaz plan zote zikigonga mwambaVery risk but easiest zamia meli
Siwezi kwenda mkuu.sabab sina pesa ndo maana natafuta msaada wa kwenda hata nje kufanya kazi yoyote ingawa nimesomea laboratory industry. Naimn na mm nitapanga huko unaponiambia.Asante sanakabla ujakwenda huko !.
kama hupo dar nenda mbezi beach kapange nyumba kisha ishi kama hupo ulaya.
ukiweza kumudu hayo maisha nakupa baraka zote nenda