Naomba kujuzwa namna ya kufika Canada

Naomba kujuzwa namna ya kufika Canada

Nimesomea laboratory industry. Nchi za ulaya.pia canada.nk
 
Nisaidieni ndugu zanguni.najua humu ndani nipo sehem sahihi
 
Habali wakuu. Mimi ni kijana mwenye miaka 24 ndoto yangu kubwa siku moja nifanye kazi au kuishi nje ya Tanzania hasa bara LA Europe. Lkn bado sijui nitafikaje lkn nimeomba kazi kwa njia ya mtandao lkn bado sijapata pia nimejalibu kuwaomba watanzania ambao wapo huko lkn bado.nimesomea laboratory industry na certificate. Naombeni ushauli wenu ndugu zanguni kwa yeyote ambaye anamwangaza wa huko.ingawa nimesomea fani hiyo lkn nitafanya kazi yoyote ambayo ni sawa kufanya
Piga meli kama wewe una speed kweli, kama unataka safari yondo sister kufunga mkanda jipange mwenyewe usitilie watu huruma homeboy.. machizi kibao walikuwa na ndoto na kama zako wameishtakia bahari wamepiga mitumbwi wako zao mambele wamepumzika,, sasa wewe subiri uchangie nauli humu jf, visa, hotel etc..
Usichukulie poa, kama kweli una hasira piga mtumbwi.
 
Nchi Gani? Professional yako ni ipi...? Ulaya ni rahs kidogo endapo utakua na professional,
Nikwel rahs lkn nitafikaje bila wa kukupa mwangaza? Nimejalibu kila kona .kutafuta kazi mtandaoni lkn bado.ikapelekea kujaza green card lkn bado.lkn sijakata tamaa moyo bado unaniambia nipambane.hvy naombeni msaada wenu hata wa kimawazo.lkn nisameheni msiniambie vikwazo vya kule ya kuteseka sabab hata hapa bongo kuteseka kupo.mfno nlipokuja hapa bongo kutoka mkoani mjomba wangu ambaye mnasema mjomba ni mama alinitelekeza nikakosa pakula,kulala nakula chakula masaa 24 yan kila ifikapo SAA 6 usiku mm ndo nakula tena nakula mkate ule wa ufuta na maji.hvyo kuteseka kupo.nimeazimia mm kwenda nje.naombeni msaada wenu
 
Habali wakuu. Mimi ni kijana mwenye miaka 24 ndoto yangu kubwa siku moja nifanye kazi au kuishi nje ya Tanzania hasa bara LA Europe. Lkn bado sijui nitafikaje lkn nimeomba kazi kwa njia ya mtandao lkn bado sijapata pia nimejalibu kuwaomba watanzania ambao wapo huko lkn bado.nimesomea laboratory industry na certificate. Naombeni ushauli wenu ndugu zanguni kwa yeyote ambaye anamwangaza wa huko.ingawa nimesomea fani hiyo lkn nitafanya kazi yoyote ambayo ni sawa kufanya

kabla ujakwenda huko !.
kama hupo dar nenda mbezi beach kapange nyumba kisha ishi kama hupo ulaya.
ukiweza kumudu hayo maisha nakupa baraka zote nenda
 
kabla ujakwenda huko !.
kama hupo dar nenda mbezi beach kapange nyumba kisha ishi kama hupo ulaya.
ukiweza kumudu hayo maisha nakupa baraka zote nenda
Siwezi kwenda mkuu.sabab sina pesa ndo maana natafuta msaada wa kwenda hata nje kufanya kazi yoyote ingawa nimesomea laboratory industry. Naimn na mm nitapanga huko unaponiambia.Asante sana
 
Back
Top Bottom