Naomba kujuzwa namna ya kufika Canada

Naomba kujuzwa namna ya kufika Canada

Siwezi kwenda mkuu.sabab sina pesa ndo maana natafuta msaada wa kwenda hata nje kufanya kazi yoyote ingawa nimesomea laboratory industry. Naimn na mm nitapanga huko unaponiambia.Asante sana

achana nako utalala nje !. maisha ya huko yamebadilika sana sio kama zamani
 
achana nako utalala nje !. maisha ya huko yamebadilika sana sio kama zamani
Nikwel mkuu.lkn kila sehm kuna changamoto zake. Pia hapa bongo tunalala nje pia na kulala njaa.je bora wapi upambane sehm penye frusa au upambane sehm ambayo ingawa unakitu unacho lkn hujui lini utapata kazi? Mkuu nihel nikapambane huko.najua changamoto zipo lkn mungu mkuu naiman atabariki
 
achana nako utalala nje !. maisha ya huko yamebadilika sana sio kama zamani
Mfno now nimemaliza kusoma laboratory industry. Lkn nimeomba sehem nyingi nimekosa hata sehem pa kujitolea yani kufanya kazi bure.je mkuu itakuwaje?.nakuomba kama una watu unawajua wanaweza kunipa msaada hata wa mawazo jinsi ya kufika huko plz naomba
 
Piga meli kama wewe una speed kweli, kama unataka safari yondo sister kufunga mkanda jipange mwenyewe usitilie watu huruma homeboy.. machizi kibao walikuwa na ndoto na kama zako wameishtakia bahari wamepiga mitumbwi wako zao mambele wamepumzika,, sasa wewe subiri uchangie nauli humu jf, visa, hotel etc..
Usichukulie poa, kama kweli una hasira piga mtumbwi.
Asante sana mkuu
 
Habali wakuu. Mimi ni kijana mwenye miaka 24 ndoto yangu kubwa siku moja nifanye kazi au kuishi nje ya Tanzania hasa bara LA Europe. Lkn bado sijui nitafikaje lkn nimeomba kazi kwa njia ya mtandao lkn bado sijapata pia nimejalibu kuwaomba watanzania ambao wapo huko lkn bado.nimesomea laboratory industry na certificate. Naombeni ushauli wenu ndugu zanguni kwa yeyote ambaye anamwangaza wa huko.ingawa nimesomea fani hiyo lkn nitafanya kazi yoyote ambayo ni sawa kufanya
1-Kwanza una fani gani tuanzie hapo?
2- una umri gani pia.
3_ nje unataka nchi gani
4- desire yako ama passion yako ya Kwenda nje unategemea Nini ama unapenda Nini Ni kupata hela ama Ni kwenda nje?
5- swali namba 4 ukilijibu nitajua kuwa ukitemewa mate na katoto ka kizungu uta react vipi.
6- nje unataka ukafanye kazi gani ambazo unadhani Wana uhaba na watu wa dizaini yako. Kiushari jitahidi uwe na international driving license,Ajira mfano za USA Ni kufikia jeshini Napo Kuna mchakato.
7- una miliki Bei gani benki sio kuwa unipe hela,nje Ni kwa nadra utaenda kwa njaa.mwenyewe napambana nikipata hela ya kununu apartment nje nasepa asubuhi kabla jogoo hajawika.
8- jitahidi uwe na hela uende Kama unaenda kwa utalii ama kishule na Haa lazima uwe na hela ya maana.
9- nje kupata kazi sio lelemama ,nikikumbuka Waka meruni seganelese walivyokuwa wanalala nje na kupigwa na baridi Mana wamezamia.
10- Kuna washkaji umewaon from Nigeria to ureno kisiwa fulani hivi wamekaa sijui sehemu gani ya meli ,siku 11 majini utaweza upepo na baridi na mawimbi majini.

11- Kama Ni hela hata bongo zipo sema saivi unacho kitu kinaitwa mind perceptual blindness,yaani umependa hupendwi so wewe utatafuta kila mbinu ujiaminishe kuwa unapendwa so hutoweza kuona hata aliolewa bado itaamini ipo siku atakukumbuka ama watakosana akurudie so ndio Kama hii ipo kwako huwezi ona fursa.
12- nje hasahasa lengo ama your purposes Ni Nini ama Ni pesa. Uliambiwa kuwa ufanye kazi bongo ulipwe 4M kwa mwezi na nje Kuna kazi unalipwa 2.5M utasimamia wapi wewe bado utataka kwenda nje ama utabakia nyumbani kwenu Tanzania?
13- nje Kama unapapenda jitahidi utafute hela uzame,hizo green card inaweza ikakubali.
14- Kuna mdada mmoja hivi nitakuunganisha naye yupo nje huwa anatoa ushauri namna ya kuingia Kama huko kanada na kampuni ambazo alitumia kuingia huko,Ila kwanza jibu hayo maswali yako. Kumbuka usitoe hela ,usiwe mwepesi wa kutoa pesa namie sihitaji hela yako Wala uje pm kila kitu tutamalizana hapahapa. Mana my own mind skills put food on the table.
15-naomba nijue motive yako ya Kwenda nje Ni Nini hasa hasa ama Ni kuoa mzungu . Be transparent itasaidia. Kama Ni hela zipo hapa hapa home sema huzioni.

16- Kama unapapenda mno nje hata ukipigwa mtaani na vitoto vya kizungu muda huo unaitwa monkey,ama unaulizwa why Africans love so much sex,music,why m Jackson did operation,why are you black,why are you here in our country, don't you've schools/job in your country?Mara unakaa kwa kiti kwa mwendo Kasi mtu ananyanyuka anakuacha ,I don't know how mentally strong you're to handle these situations.
17- are both mentally and physically healthy?
18- nje sio pa mchezo ndio mjini kule huwa nashangaa mtu yupo dar Arusha ama mwanza anajiona naye Kama yupo mjini na huku yupo vijiji vya Africa vilivyochangamka kidogo. So you've to be strong and touugh Mana kule ndio mjini hata dola Mia yako hupati pusi ama hii buku chai kikombe kikavu hupati so unajiandaje na huko.
Once upon time I was like you and still like you one day I wanna shift my generation from my africa nothing more nothing less.
 
Habali wakuu. Mimi ni kijana mwenye miaka 24 ndoto yangu kubwa siku moja nifanye kazi au kuishi nje ya Tanzania hasa bara LA Europe. Lkn bado sijui nitafikaje lkn nimeomba kazi kwa njia ya mtandao lkn bado sijapata pia nimejalibu kuwaomba watanzania ambao wapo huko lkn bado.nimesomea laboratory industry na certificate. Naombeni ushauli wenu ndugu zanguni kwa yeyote ambaye anamwangaza wa huko.ingawa nimesomea fani hiyo lkn nitafanya kazi yoyote ambayo ni sawa kufanya
Nimeona umri wako na ulichosomea ,namie wakati nimewaka Niko fire I was the same age like you. Cha kushauri piga diploma ya nursing itakubeba nje mno ama ujitahidi kujua kuendesha hizi kitambo like fork lift, excavator tipper,semi trailer,ama zamia kwenye dini fulani ujipendekeze mno na wazungu cheki dini yenye wazungu,ama hamia Arusha uwe unawavizia wale vibibi vya kizungu ama Zanzibar,jihusishe na utalii . Ukimpata Bibi mpelekee Moto unashangaa uko Sweden mkuu ,Ila ukifika unakutana na your age mate ukimsaliti tu Basi ndio imetoka. Ama uwe dreva tour hapo Ni rahisi kuwapata.mzungu muda wote anataka uwe umechangamka umfanye acheke ama afurahi yaani uwe funny kwake. Yaani ukienda nje kwa style ya Bibi ukikutana na binti mkali mbichi akakuelewa ukimsaliti ama ukaanza kujiona Kama unapoteza vingi kinafsi ukamsuuza ndio unarudi home. Jitahidi uwe na international driving license,hizi machine za roads na viwandani uzijue, jitahidi uwe equiped with a lot of shits ie multipurpose.
Unaweza ukajiunga dating site za kulipia huko pale penye miaka weka from 45-100 yrs ,umbo andika like umbo la wanene utawapata,wale mabonge kwao huwa hawana soko kwao so huwa wanaangukia kwa blacks,wauza bar,wacheza kasino ndio wake za blacks sie so soko lipo. Jitahidi uwe vizuri Mana Kuna siku mwanamke mmoja akipata likizo akaja chuoni kwetu kutafuta wanaume wa kiafrika wa kumkaza Kama watano Mana mmoja humuwezi. Kuna mshkaji mmoja Cha kwanza alianzia na mkono Sasa Cha Pili akampelekea Moto mpaka akamuelewa akawa ndiye anaitwa kwenda kumkula Mana alikuwa anafanya usahili so akapata aliyemtaka. Nje kazi za kukaza kwa blacks zipo nyingi mno Mana wanaume kule hawana time na kei, Kuna mshkaji mmoja alikuja chuoni na demu wake alikuwa anatafuta blacks wa kumakazia demu wake Mana yeye hamtoshelezi.
unaweza bahatisha mbibi ana pension yake na ya mmewe pia life insurance kazi yako Ni kumsuuza Basi na kula baadaye atafariki atakuachia utarithi. Mbona raisi wa ufaransa mke wake Ni mama yake,hata mwanae mkubwa anamzidi baba take mdogo huyo macron. So ukiwa nje inabidi uvae sura ya nje usijali watu jali maisha yako ndoto zitimie. Unaweza ukaigiza porno Japan Ina uhaba wa wanaume kwa iyo fani jamaa mmoja alidai kuwa anazidiwa smt inabidi a act na wanawake wengi ambavyo sio ratio nzuri kwake so waweza check hizo connection. Tumia net mkuu Ni kitu kikubwa mno sema sie tunatumia kuingia fb jf etc. Kila kitu kipo kwenye net.

So attempt any attempt inayokuja kwako uone itakayofaa ,ambazo za kuhonga discard it,please filter information and even my mind Mana mie Nimekupa takataka zote so uamue uchague mwenyewe ambayo inaendana na personality yako
 
Very risk but easiest zamia meli
Mpe abcd zote za kuzamia Sasa Mana zamia haitoshi. Ajiandae Mentally kuwa hata akipigwa Shaba poa Ila alikuwa anajaribu maisha yake. Kama yule wa Mali aliokoa mtt ghorofani akapewa nafsi jeshini la wokovu France na ndio hapo raisi wa Mali anye akamuita akampatia nafasi kama Ile ile aliyopewa ufarans. Jamaa akaikataa nchini kwake akasepa ufaransa.

Baba take na mbape alitaka mbape aichezee kameruni Ila akaombwa mlungula. Ufaransa haikumuomba kitu so akachukuliwa na ufaransa so unaona wonders anazofanya mpaka amewapa heshima France. Hizi Ni Mambo ambazo zinaniudhi mno afrika yaani Nina kipaji changu inabidi nihonge ili nichukuliwe. Yaani afrika jiulize wale blacks wananyanyasika USA Ila hawaji huku pamoja ya kuwa wameshajua kuwa babu zao walienda USA utumwani Ila hawarudi hata ufanyeje so jiulize. Africa Kama Hitler alivyotaka kuifanya iwe zoo ya wanyama halafu sie sijui tuhamie mabara mengine alikuwa sawa ama jinsi Argentina walivyo whitenize waafrika wakaisha Ni sawa. Afrika sio kabisa. Cheki kongo nchi tajiri Ila kisa ujinga na umasikini wa wafrika usikute Wana mkopo
 
Nimeona umri wako na ulichosomea ,namie wakati nimewaka Niko fire I was the same age like you. Cha kushauri piga diploma ya nursing itakubeba nje mno ama ujitahidi kujua kuendesha hizi kitambo like fork lift, excavator tipper,semi trailer,ama zamia kwenye dini fulani ujipendekeze mno na wazungu cheki dini yenye wazungu,ama hamia Arusha uwe unawavizia wale vibibi vya kizungu ama Zanzibar,jihusishe na utalii . Ukimpata Bibi mpelekee Moto unashangaa uko Sweden mkuu ,Ila ukifika unakutana na your age mate ukimsaliti tu Basi ndio imetoka. Ama uwe dreva tour hapo Ni rahisi kuwapata.mzungu muda wote anataka uwe umechangamka umfanye acheke ama afurahi yaani uwe funny kwake. Yaani ukienda nje kwa style ya Bibi ukikutana na binti mkali mbichi akakuelewa ukimsaliti ama ukaanza kujiona Kama unapoteza vingi kinafsi ukamsuuza ndio unarudi home. Jitahidi uwe na international driving license,hizi machine za roads na viwandani uzijue, jitahidi uwe equiped with a lot of shits ie multipurpose.
Unaweza ukajiunga dating site za kulipia huko pale penye miaka weka from 45-100 yrs ,umbo andika like umbo la wanene utawapata,wale mabonge kwao huwa hawana soko kwao so huwa wanaangukia kwa blacks,wauza bar,wacheza kasino ndio wake za blacks sie so soko lipo. Jitahidi uwe vizuri Mana Kuna siku mwanamke mmoja akipata likizo akaja chuoni kwetu kutafuta wanaume wa kiafrika wa kumkaza Kama watano Mana mmoja humuwezi. Kuna mshkaji mmoja Cha kwanza alianzia na mkono Sasa Cha Pili akampelekea Moto mpaka akamuelewa akawa ndiye anaitwa kwenda kumkula Mana alikuwa anafanya usahili so akapata aliyemtaka. Nje kazi za kukaza kwa blacks zipo nyingi mno Mana wanaume kule hawana time na kei, Kuna mshkaji mmoja alikuja chuoni na demu wake alikuwa anatafuta blacks wa kumakazia demu wake Mana yeye hamtoshelezi.
unaweza bahatisha mbibi ana pension yake na ya mmewe pia life insurance kazi yako Ni kumsuuza Basi na kula baadaye atafariki atakuachia utarithi. Mbona raisi wa ufaransa mke wake Ni mama yake,hata mwanae mkubwa anamzidi baba take mdogo huyo macron. So ukiwa nje inabidi uvae sura ya nje usijali watu jali maisha yako ndoto zitimie. Unaweza ukaigiza porno Japan Ina uhaba wa wanaume kwa iyo fani jamaa mmoja alidai kuwa anazidiwa smt inabidi a act na wanawake wengi ambavyo sio ratio nzuri kwake so waweza check hizo connection. Tumia net mkuu Ni kitu kikubwa mno sema sie tunatumia kuingia fb jf etc. Kila kitu kipo kwenye net.

So attempt any attempt inayokuja kwako uone itakayofaa ,ambazo za kuhonga discard it,please filter information and even my mind Mana mie Nimekupa takataka zote so uamue uchague mwenyewe ambayo inaendana na personality yako
Huu ushauri ni zaidi ya ubaharia [emoji16][emoji16][emoji1]
 
Huu ushauri ni zaidi ya ubaharia [emoji16][emoji16][emoji1]
Kwani ubaharia ukoje mkuu. Imebidi nitabasamu. Sema bana dogo letu anaonekana anayo Ile burning desire ujue bado Ni mdogo so lazima atatimiza ndoto yake. Nadhani kwa hii burning desire sijui Kama Anazo feeling na maku. Yaani ukiwa na Ile very fakin burning desire naapa unawekewa hapo mbususu hata iwe ya kisomali kiethiopia rwana Latino America your mind can't sense hizo pusei hata ziweje ,sema hii Ni kwa wanaume halisi wenye ndoto zao wengine ukiona mtt wa kilatino ama wa kihabesho ama wa kiiraqw from karatu ama mrangi wa kondoa tayari amekusahalisha na ratiba ya ndege so zako linakupita la kusepa nje.
 
Habali wakuu. Mimi ni kijana mwenye miaka 24 ndoto yangu kubwa siku moja nifanye kazi au kuishi nje ya Tanzania hasa bara LA Europe. Lkn bado sijui nitafikaje lkn nimeomba kazi kwa njia ya mtandao lkn bado sijapata pia nimejalibu kuwaomba watanzania ambao wapo huko lkn bado.nimesomea laboratory industry na certificate. Naombeni ushauli wenu ndugu zanguni kwa yeyote ambaye anamwangaza wa huko.ingawa nimesomea fani hiyo lkn nitafanya kazi yoyote ambayo ni sawa kufanya
Nauli ya kupanda Ndege unayo?? Passport ya TZ unayo??
 
Nauli ya kupanda Ndege unayo?? Passport ya TZ unayo??
Kwanza anayo mental toughness ya kutemewa kohozi na mzungu na aone Ni kawaida na a respond with thank you my boss or can you add it more ,they taste so sweet your cough sir,ikiwezekana na ayale kabisa
 

Attachments

  • AECC4708-E397-47EA-82DB-FC4A365BDEB3.jpeg
    AECC4708-E397-47EA-82DB-FC4A365BDEB3.jpeg
    29.6 KB · Views: 23
  • BA75D9BE-D6DB-4EFC-A1C4-371DBA8E26FE.jpeg
    BA75D9BE-D6DB-4EFC-A1C4-371DBA8E26FE.jpeg
    36 KB · Views: 28
  • E31AA4D1-B7E3-4E52-8D4A-92BCF3F0643F.jpeg
    E31AA4D1-B7E3-4E52-8D4A-92BCF3F0643F.jpeg
    18.2 KB · Views: 31
  • 5D698D3C-D5A0-43FD-832E-2F6636F7DC94.jpeg
    5D698D3C-D5A0-43FD-832E-2F6636F7DC94.jpeg
    31.9 KB · Views: 32
kabla ujakwenda huko !.
kama hupo dar nenda mbezi beach kapange nyumba kisha ishi kama hupo ulaya.
ukiweza kumudu hayo maisha nakupa baraka zote nenda
Unamaanisha mtu anayeishi keko au temeke mikoroshini ana nafasi ndogo au zero ya kwenda kuishi Ulaya ?
 
1-Kwanza una fani gani tuanzie hapo?
2- una umri gani pia.
3_ nje unataka nchi gani
4- desire yako ama passion yako ya Kwenda nje unategemea Nini ama unapenda Nini Ni kupata hela ama Ni kwenda nje?
5- swali namba 4 ukilijibu nitajua kuwa ukitemewa mate na katoto ka kizungu uta react vipi.
6- nje unataka ukafanye kazi gani ambazo unadhani Wana uhaba na watu wa dizaini yako. Kiushari jitahidi uwe na international driving license,Ajira mfano za USA Ni kufikia jeshini Napo Kuna mchakato.
7- una miliki Bei gani benki sio kuwa unipe hela,nje Ni kwa nadra utaenda kwa njaa.mwenyewe napambana nikipata hela ya kununu apartment nje nasepa asubuhi kabla jogoo hajawika.
8- jitahidi uwe na hela uende Kama unaenda kwa utalii ama kishule na Haa lazima uwe na hela ya maana.
9- nje kupata kazi sio lelemama ,nikikumbuka Waka meruni seganelese walivyokuwa wanalala nje na kupigwa na baridi Mana wamezamia.
10- Kuna washkaji umewaon from Nigeria to ureno kisiwa fulani hivi wamekaa sijui sehemu gani ya meli ,siku 11 majini utaweza upepo na baridi na mawimbi majini.

11- Kama Ni hela hata bongo zipo sema saivi unacho kitu kinaitwa mind perceptual blindness,yaani umependa hupendwi so wewe utatafuta kila mbinu ujiaminishe kuwa unapendwa so hutoweza kuona hata aliolewa bado itaamini ipo siku atakukumbuka ama watakosana akurudie so ndio Kama hii ipo kwako huwezi ona fursa.
12- nje hasahasa lengo ama your purposes Ni Nini ama Ni pesa. Uliambiwa kuwa ufanye kazi bongo ulipwe 4M kwa mwezi na nje Kuna kazi unalipwa 2.5M utasimamia wapi wewe bado utataka kwenda nje ama utabakia nyumbani kwenu Tanzania?
13- nje Kama unapapenda jitahidi utafute hela uzame,hizo green card inaweza ikakubali.
14- Kuna mdada mmoja hivi nitakuunganisha naye yupo nje huwa anatoa ushauri namna ya kuingia Kama huko kanada na kampuni ambazo alitumia kuingia huko,Ila kwanza jibu hayo maswali yako. Kumbuka usitoe hela ,usiwe mwepesi wa kutoa pesa namie sihitaji hela yako Wala uje pm kila kitu tutamalizana hapahapa. Mana my own mind skills put food on the table.
15-naomba nijue motive yako ya Kwenda nje Ni Nini hasa hasa ama Ni kuoa mzungu . Be transparent itasaidia. Kama Ni hela zipo hapa hapa home sema huzioni.

16- Kama unapapenda mno nje hata ukipigwa mtaani na vitoto vya kizungu muda huo unaitwa monkey,ama unaulizwa why Africans love so much sex,music,why m Jackson did operation,why are you black,why are you here in our country, don't you've schools/job in your country?Mara unakaa kwa kiti kwa mwendo Kasi mtu ananyanyuka anakuacha ,I don't know how mentally strong you're to handle these situations.
17- are both mentally and physically healthy?
18- nje sio pa mchezo ndio mjini kule huwa nashangaa mtu yupo dar Arusha ama mwanza anajiona naye Kama yupo mjini na huku yupo vijiji vya Africa vilivyochangamka kidogo. So you've to be strong and touugh Mana kule ndio mjini hata dola Mia yako hupati pusi ama hii buku chai kikombe kikavu hupati so unajiandaje na huko.
Once upon time I was like you and still like you one day I wanna shift my generation from my africa nothing more nothing less.
Namiaka 24 na nimesomea laboratory industry. Kutaka kwenda nje ni kutafuta life,yani kutafuta kazi hapa tz ni ngumu sana now nipo tu nimeomba makampun hata kujitolea lkn bado nimekosa.nifupi natamnj kwenda huko.hasa nchi ambazo zipo Europe. Pia Canada na USA.ASANTE
 
Namiaka 24 na nimesomea laboratory industry. Kutaka kwenda nje ni kutafuta life,yani kutafuta kazi hapa tz ni ngumu sana now nipo tu nimeomba makampun hata kujitolea lkn bado nimekosa.nifupi natamnj kwenda huko.hasa nchi ambazo zipo Europe. Pia Canada na USA.ASANTE
Mbona umejibu kizembe ivyo nje kweli utaweza mkuu kule Ni zaidi ya kuwa jeshini, you've to be tough and transparent. Anyway kila la heri ndoto yako itimie nakuombea.
 
1-Kwanza una fani gani tuanzie hapo?
2- una umri gani pia.
3_ nje unataka nchi gani
4- desire yako ama passion yako ya Kwenda nje unategemea Nini ama unapenda Nini Ni kupata hela ama Ni kwenda nje?
5- swali namba 4 ukilijibu nitajua kuwa ukitemewa mate na katoto ka kizungu uta react vipi.
6- nje unataka ukafanye kazi gani ambazo unadhani Wana uhaba na watu wa dizaini yako. Kiushari jitahidi uwe na international driving license,Ajira mfano za USA Ni kufikia jeshini Napo Kuna mchakato.
7- una miliki Bei gani benki sio kuwa unipe hela,nje Ni kwa nadra utaenda kwa njaa.mwenyewe napambana nikipata hela ya kununu apartment nje nasepa asubuhi kabla jogoo hajawika.
8- jitahidi uwe na hela uende Kama unaenda kwa utalii ama kishule na Haa lazima uwe na hela ya maana.
9- nje kupata kazi sio lelemama ,nikikumbuka Waka meruni seganelese walivyokuwa wanalala nje na kupigwa na baridi Mana wamezamia.
10- Kuna washkaji umewaon from Nigeria to ureno kisiwa fulani hivi wamekaa sijui sehemu gani ya meli ,siku 11 majini utaweza upepo na baridi na mawimbi majini.

11- Kama Ni hela hata bongo zipo sema saivi unacho kitu kinaitwa mind perceptual blindness,yaani umependa hupendwi so wewe utatafuta kila mbinu ujiaminishe kuwa unapendwa so hutoweza kuona hata aliolewa bado itaamini ipo siku atakukumbuka ama watakosana akurudie so ndio Kama hii ipo kwako huwezi ona fursa.
12- nje hasahasa lengo ama your purposes Ni Nini ama Ni pesa. Uliambiwa kuwa ufanye kazi bongo ulipwe 4M kwa mwezi na nje Kuna kazi unalipwa 2.5M utasimamia wapi wewe bado utataka kwenda nje ama utabakia nyumbani kwenu Tanzania?
13- nje Kama unapapenda jitahidi utafute hela uzame,hizo green card inaweza ikakubali.
14- Kuna mdada mmoja hivi nitakuunganisha naye yupo nje huwa anatoa ushauri namna ya kuingia Kama huko kanada na kampuni ambazo alitumia kuingia huko,Ila kwanza jibu hayo maswali yako. Kumbuka usitoe hela ,usiwe mwepesi wa kutoa pesa namie sihitaji hela yako Wala uje pm kila kitu tutamalizana hapahapa. Mana my own mind skills put food on the table.
15-naomba nijue motive yako ya Kwenda nje Ni Nini hasa hasa ama Ni kuoa mzungu . Be transparent itasaidia. Kama Ni hela zipo hapa hapa home sema huzioni.

16- Kama unapapenda mno nje hata ukipigwa mtaani na vitoto vya kizungu muda huo unaitwa monkey,ama unaulizwa why Africans love so much sex,music,why m Jackson did operation,why are you black,why are you here in our country, don't you've schools/job in your country?Mara unakaa kwa kiti kwa mwendo Kasi mtu ananyanyuka anakuacha ,I don't know how mentally strong you're to handle these situations.
17- are both mentally and physically healthy?
18- nje sio pa mchezo ndio mjini kule huwa nashangaa mtu yupo dar Arusha ama mwanza anajiona naye Kama yupo mjini na huku yupo vijiji vya Africa vilivyochangamka kidogo. So you've to be strong and touugh Mana kule ndio mjini hata dola Mia yako hupati pusi ama hii buku chai kikombe kikavu hupati so unajiandaje na huko.
Once upon time I was like you and still like you one day I wanna shift my generation from my africa nothing more nothing less.
Mkuu naimani ningekuwa na pesa sizani kama Uzi huu ningeuleta hum ndani. Na huenda now ningeshakuwa kule lkn mm mtoto wa kimaskini napambana mwenyewe .hvyo kila njia najalibu nione wapi nitafanikisha ndo yangu ,mfno nimeshajaza Green card nikaona haitoshi nieeleze humu ndani.kiongozi msaada siyo pesa tu ila maneno yenye kujenda na ushauli mzr unaweza kuwa dawa tosha kwa MTU mwenye uhitaji.Mkuu maisha ya MTU yako kwa MTU amini hilo,Mkuu hapo ulipo kuna MTU nyuma yako aliyekusaidia kwa namna moja au nyingine lbda pesa au ushauli.ningekuwa na pesa sizani kama ningewasumbua
 
Asante mkuu.lkn ukwel naujua mm .mkuu ukiwa na njaa ni lahisi kumuelewa MTU akikwambia tumbo linauma sababu ya njaa,lkn ukiwa umeshiba ni vigumu kuelewa zaidi utamwambia anadeka
Mbona umejibu kizembe ivyo nje kweli utaweza mkuu kule Ni zaidi ya kuwa jeshini, you've to be tough and transparent. Anyway kila la heri ndoto yako itimie nakuombea.
 
Back
Top Bottom