Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuu.nimetafuta sana kaka kila siku mtandaoni lkn bado sijapata,lkn kama unazijua links za kuomba BC naomba.AsanteTafuta scholarship ya masters...utaenda nje kihurahusi...
January 15 scholarship zinafunguliwa
Asante mkuuKwani ubaharia ukoje mkuu. Imebidi nitabasamu. Sema bana dogo letu anaonekana anayo Ile burning desire ujue bado Ni mdogo so lazima atatimiza ndoto yake. Nadhani kwa hii burning desire sijui Kama Anazo feeling na maku. Yaani ukiwa na Ile very fakin burning desire naapa unawekewa hapo mbususu hata iwe ya kisomali kiethiopia rwana Latino America your mind can't sense hizo pusei hata ziweje ,sema hii Ni kwa wanaume halisi wenye ndoto zao wengine ukiona mtt wa kilatino ama wa kihabesho ama wa kiiraqw from karatu ama mrangi wa kondoa tayari amekusahalisha na ratiba ya ndege so zako linakupita la kusepa nje.
Usiwe mzembe wa kutaka kupewa chakula mdomoni. Andika scholarships for Africans kila link unayoletewa hapo unachambua unacheki Kama upo eligible kwa citizenship na vigezo vingine. Hizo kazi unazotaka kwenda kufanya Kuna watu wapo huko pia hawazipati na wanajaza form za ma jobless ili kupewa food insurance,watu Ni ma homeless. Usikurupuke nje Kama unayo Ile fainted heart utalia na ndio Mana ungenijibu maswali yangu kiufasaha tungeenda hatua nyingine Ila tayari uneshaonekana humu na hata walioko nje so wanakucheki wanapiga kimya. Mie nimejitoa mazafaka Niger having black ass unaniona mie am half assed whore. Naanza kukaribisha nje relax mkuu ndio maisha ya huko.Asante mkuu.nimetafuta sana kaka kila siku mtandaoni lkn bado sijapata,lkn kama unazijua links za kuomba BC naomba.Asante
Duu jamaa Wana roho ngumu. Yaani Kuna wengine hapo mie diki hasimami hata ufanyeje labda huyu wa mwisho naweza nikavuta imagination akaitikaJamaa amtakii mema Dogo🤣🤣🤣
Jamaa wanatimiza ndoto zao. Hao mabibi watawahi kuvuta baadaye utavuta mtt mkali wa kizungu na tayari unao uraia wao, na wewe tayari umeshakimbia bara la Wala rushwa wapenda ngono na starehe kuliko kuwazia kizazi Chao Cha tano kuwa wataishije. Umeona Dubai baadaye ngorongoro inahamishiwa huko so kwa 500-1000 utalii mkubwa utakuwa huko UAE,afrika watakuwa wanasoma history kuwa waliuza Mali zao kwa Koo fulani ya msoga ndio wakaziuza uarabuni.Jamaa amtakii mema Dogo🤣🤣🤣
Hadi hapa nje sahau. Siku ukiwa nje natafute, you're too weak emotionally and mentally.anza kucheki michongo ya hapa hapa home utatoboa, Mana Naona unataka utendewe Kama ulivyokuwa unatendewa na aliyekuzaa dunia is very cruel so you've to more cruel. Utakuja kuyajua haya maneno yangu baada ya 10yrs saivi bado unajua huwezi yajua. Hata 15 ongeza iyo miaka utakuwa umeshajua dunia ilivyo. Sema Naona unalendemka.Asante

Huyu in mtoto kiumri na kiakili pia hakuelewi! Umemtafunia lkn anashindwa kumeza.Hadi hapa nje sahau. Siku ukiwa nje natafute, you're too weak emotionally and mentally.anza kucheki michongo ya hapa hapa home utatoboa, Mana Naona unataka utendewe Kama ulivyokuwa unatendewa na aliyekuzaa dunia is very cruel so you've to more cruel. Utakuja kuyajua haya maneno yangu baada ya 10yrs saivi bado unajua huwezi yajua. Hata 15 ongeza iyo miaka utakuwa umeshajua dunia ilivyo. Sema Naona unalendemka.
Merry Christmas Mkuu [emoji23]Kwahiyo na Mungu alikutapeli?!
Msaidie kijana aende akatimize ndoto zake... ulipo saidia mungu atakuongezea...Ingekua unataka America ningekupa connection ila kwakua ni Europe basi huko sijui
Kuna jamaa mmoja mwaka huu anatimiza 30yrs ameandikaje kuwa kwa wale tuliokuwa wadogo tukawekea malengo kuwa at 30 tutakuwa matajiri vipi tayari. Kiukweli ukiwa mdogo unategemea kuwa dunia kuwa fair mno Mana na wewe unayo Ile clean slate ya heart or soul. Ila kadri siku zinavyoenda ndivyo unazidi kujifunza. Ama Ile ukiwa chuoni kuwa nikimaliza salary ya 1.5M , nyumba,gari na demu mzuri so iyo picha inakaa mno kichwani. Kwa hiyo mentality nimemaliza July yaani August nikapata kazi bana naambiwa nitalipwa 0.5M nikaomba 0.8M ikashindikana nilitaka kuishi kwa ku relax Kama chuo. Jamaa wakakataa nikasepa. Nakuambia kilichofuata hapo nilipigika nikapata somo kubwa mno mpaka leo sidharau hela yoyote,hata ukiniambia utanilipa laki nakubali.sema nilisoma shule halisi ya maisha na yenyewe unasoma kwa maumivu makali ili somo lipenye kumoyo. Ila before sikuwa najua value ya buku baada ya hapo nilijua bguyya buku.Huyu in mtoto kiumri na kiakili pia hakuelewi! Umemtafunia lkn anashindwa kumeza.
Uko too desperate, ulaya kumebadilika sana. Kama hapa bongo umeshindwa kuchakarika huko utaangukia kwa Wazee wa rainbow. Africa kuna a lot of problems, learn to solve them. Hizo hela utakazolipa visa plus tickets ni mtaji tosha kabisa. All the best.Namiaka 24 na nimesomea laboratory industry. Kutaka kwenda nje ni kutafuta life,yani kutafuta kazi hapa tz ni ngumu sana now nipo tu nimeomba makampun hata kujitolea lkn bado nimekosa.nifupi natamnj kwenda huko.hasa nchi ambazo zipo Europe. Pia Canada na USA.ASANTE