Naomba kujuzwa namna ya kufika Canada

Naomba kujuzwa namna ya kufika Canada

Kwani ubaharia ukoje mkuu. Imebidi nitabasamu. Sema bana dogo letu anaonekana anayo Ile burning desire ujue bado Ni mdogo so lazima atatimiza ndoto yake. Nadhani kwa hii burning desire sijui Kama Anazo feeling na maku. Yaani ukiwa na Ile very fakin burning desire naapa unawekewa hapo mbususu hata iwe ya kisomali kiethiopia rwana Latino America your mind can't sense hizo pusei hata ziweje ,sema hii Ni kwa wanaume halisi wenye ndoto zao wengine ukiona mtt wa kilatino ama wa kihabesho ama wa kiiraqw from karatu ama mrangi wa kondoa tayari amekusahalisha na ratiba ya ndege so zako linakupita la kusepa nje.
Asante mkuu
 
Asante mkuu.nimetafuta sana kaka kila siku mtandaoni lkn bado sijapata,lkn kama unazijua links za kuomba BC naomba.Asante
Usiwe mzembe wa kutaka kupewa chakula mdomoni. Andika scholarships for Africans kila link unayoletewa hapo unachambua unacheki Kama upo eligible kwa citizenship na vigezo vingine. Hizo kazi unazotaka kwenda kufanya Kuna watu wapo huko pia hawazipati na wanajaza form za ma jobless ili kupewa food insurance,watu Ni ma homeless. Usikurupuke nje Kama unayo Ile fainted heart utalia na ndio Mana ungenijibu maswali yangu kiufasaha tungeenda hatua nyingine Ila tayari uneshaonekana humu na hata walioko nje so wanakucheki wanapiga kimya. Mie nimejitoa mazafaka Niger having black ass unaniona mie am half assed whore. Naanza kukaribisha nje relax mkuu ndio maisha ya huko.


Ungejua kila mwezi ma jobless wa USA Canada sema wengine wanachagua kazi.

Utakutana na magumu utasema ama utatamani ardhi ya Tanzania utasema ningelima hata bustani na kufuga kuku ningekuwa Niko mbali mno kuliko kunyanyasika huku. Huku nje hakuna as kukuonea huruma hata mtanzania mwenzako anakupita Kama hakujui.utawasikia wanaongea kiswahili ukiwashobokea wanapiga slang ya USA mpaka unashangaa Mana huku Kama hujiwezi so unakuwa burden kwa watu. Ni kawaida Kama hujiwezi unashobokeza kwa watu ili ndio iwe fallback plan yako ama Ile safety net yako. Jiulize masikini djye anayependa watu na ndugu zake tu.


Hata wewe ukipata kitu Kama benki kisome 100b utakuja huku mitandaoni utakuwa unaongea lugha nyingine
 
Jamaa amtakii mema Dogo🤣🤣🤣
Jamaa wanatimiza ndoto zao. Hao mabibi watawahi kuvuta baadaye utavuta mtt mkali wa kizungu na tayari unao uraia wao, na wewe tayari umeshakimbia bara la Wala rushwa wapenda ngono na starehe kuliko kuwazia kizazi Chao Cha tano kuwa wataishije. Umeona Dubai baadaye ngorongoro inahamishiwa huko so kwa 500-1000 utalii mkubwa utakuwa huko UAE,afrika watakuwa wanasoma history kuwa waliuza Mali zao kwa Koo fulani ya msoga ndio wakaziuza uarabuni.


Huyo sio mwenzako saivi nadhani dogo Yuko njema ,Bibi anayo pension na life insurance so dogo atakuja kuvuta si chini ya 600M tzs utamwambia Nini.


Kuna jamaa mmoja wa Haiti 27yrs akaoa Bibi wa 72yrs wa USA
 
Hadi hapa nje sahau. Siku ukiwa nje natafute, you're too weak emotionally and mentally.anza kucheki michongo ya hapa hapa home utatoboa, Mana Naona unataka utendewe Kama ulivyokuwa unatendewa na aliyekuzaa dunia is very cruel so you've to more cruel. Utakuja kuyajua haya maneno yangu baada ya 10yrs saivi bado unajua huwezi yajua. Hata 15 ongeza iyo miaka utakuwa umeshajua dunia ilivyo. Sema Naona unalendemka.
 

How three men made 11 day journey from Nigeria to Spain hiding under a ship​


According to reports from BBC NEWS PIDGIN, Spanish authorities have revealed that they found three men (stowaways) ontop of the rudder of one ship after it completed 11 day voyage from Nigeria. From a photo shown by the coastguard, three men were seen sitting on top of the rudder in an oil tanker helm, their feet was less than a metre away from the water.
a9896e10f30043579fdd6f2954ccf87b

The men were later carried to the hospital at the destination of the tanker in Gan Canaria and treated for moderate dehydration.
beec75fc90ae4b9597b8ab224e6d1579


As gathered, it's not clear if the stowaways spent the entire journey perched on the rudder of the ship. The Maltese-flagged Althini II arrived Las Palmas, Gan Canaria from Lagos, Nigeria, a journey of more than 2700 nautical miles according to data collected by the maritime tracking websites. The Spanish news agency added that, the medical doctors saw the men in the docks and took them to the hospital immediately.
d07c6a29d88d4c2d83a5d167b92147e2

However, this would not be the first time that stowaways (People hiding on board ship or train) have been found ontop rudders, a large blade under ships used to steer a ship course.
 

What Lay Behind the Brutal Killing of a Nigerian in Italy?​

Investigation Should Consider Racist Motivation
201806ec_italy_judith_sunderland_0.jpg

Judith Sunderland
Associate Director, Europe and Central Asia Division

sunderland_jude
sunderland_jude


A man shows a picture of the victim Nigerian street vendor Alika Ogorchukwu
Click to expand Image

A man shows a picture of the victim Nigerian street vendor Alika Ogorchukwu, in Civitanova Marche, Italy, July 30, 2022. © 2022 AP Photo/Chiara Gabrielli
On Friday in the small town of Civitanova Marche on Italy’s Adriatic coast, an Italian man beat and strangled a Nigerian street vendor in broad daylight.
Alika Ogorchukwu, 39, had apparently tried to sell the alleged assailant and his girlfriend a packet of tissues and then asked for some change.
Public debate is focused on gruesome details of the crime: Ogorchukwu was beaten with the crutch he used to walk and bystanders failed to intervene for the four minutes it took to kill him. Attention has also focused on the fact that the suspect’s lawyer says the suspect has a mental health condition.
Yet there’s another troubling aspect to this story: The police have excluded any possible racist motivation behind the violence. Said Deputy Police Commissioner Matteo Luconi, “There is certainly no racial element.” He also said the suspect’s reaction was due to “a particularly insistent request for a handout.”
 
Hadi hapa nje sahau. Siku ukiwa nje natafute, you're too weak emotionally and mentally.anza kucheki michongo ya hapa hapa home utatoboa, Mana Naona unataka utendewe Kama ulivyokuwa unatendewa na aliyekuzaa dunia is very cruel so you've to more cruel. Utakuja kuyajua haya maneno yangu baada ya 10yrs saivi bado unajua huwezi yajua. Hata 15 ongeza iyo miaka utakuwa umeshajua dunia ilivyo. Sema Naona unalendemka.
Huyu in mtoto kiumri na kiakili pia hakuelewi! Umemtafunia lkn anashindwa kumeza.
 
Huyu in mtoto kiumri na kiakili pia hakuelewi! Umemtafunia lkn anashindwa kumeza.
Kuna jamaa mmoja mwaka huu anatimiza 30yrs ameandikaje kuwa kwa wale tuliokuwa wadogo tukawekea malengo kuwa at 30 tutakuwa matajiri vipi tayari. Kiukweli ukiwa mdogo unategemea kuwa dunia kuwa fair mno Mana na wewe unayo Ile clean slate ya heart or soul. Ila kadri siku zinavyoenda ndivyo unazidi kujifunza. Ama Ile ukiwa chuoni kuwa nikimaliza salary ya 1.5M , nyumba,gari na demu mzuri so iyo picha inakaa mno kichwani. Kwa hiyo mentality nimemaliza July yaani August nikapata kazi bana naambiwa nitalipwa 0.5M nikaomba 0.8M ikashindikana nilitaka kuishi kwa ku relax Kama chuo. Jamaa wakakataa nikasepa. Nakuambia kilichofuata hapo nilipigika nikapata somo kubwa mno mpaka leo sidharau hela yoyote,hata ukiniambia utanilipa laki nakubali.sema nilisoma shule halisi ya maisha na yenyewe unasoma kwa maumivu makali ili somo lipenye kumoyo. Ila before sikuwa najua value ya buku baada ya hapo nilijua bguyya buku.
 
Namiaka 24 na nimesomea laboratory industry. Kutaka kwenda nje ni kutafuta life,yani kutafuta kazi hapa tz ni ngumu sana now nipo tu nimeomba makampun hata kujitolea lkn bado nimekosa.nifupi natamnj kwenda huko.hasa nchi ambazo zipo Europe. Pia Canada na USA.ASANTE
Uko too desperate, ulaya kumebadilika sana. Kama hapa bongo umeshindwa kuchakarika huko utaangukia kwa Wazee wa rainbow. Africa kuna a lot of problems, learn to solve them. Hizo hela utakazolipa visa plus tickets ni mtaji tosha kabisa. All the best.
 
Ni wewe tu na pesa yako. Kama pesa ipo waone madalali wa vyuo vya ulaya pale darajani mataa ya Chang'ombe utaingia uropaa. Vyuo vinafanguliwa mwezi wa tatu wahi usajili
 
Ok mimi naweza jibu haya maswali sababu his situation resemble with mine.

1. Faida nilizonayo ni kwamba naweza fanya chochote na kazi yoyote, im very creative ni vile situation yenye niko inanikwamisha sana thats why nahitaji kujaribu mahala pengine ambapo tapata fursa ya kuonyesha uwezo wangu.

2. Umri 26
3. Nchi Canada or USA
4. Desire yangu ya kwenda nnje ni kwa ajiri ya kupata fursa na nafasi ya kusoma zaidi na kufanya kazi zaidi kwa situation yoyote ile na kujiimarisha kimtaji niweze kusimama mwenyewe mbeleni as long as hizo nchi zinatoa nafasi kwa mtu yoyote anaeishi huko kuonesha uwezo wake, tofauti na nchi nyingi za Africa ambapo rushwa na kunyimana fursa na uchache wa fursa vimetawala.
5.So nikitemewa mate na mzungu au mtoto wake, wala sitajari, tamind in my heart ila nitajikaza kiume na kutulia as long as i have my target to bit. na nitajitahidi ku work very proffesional and ignore small shits ili kupunguza risk.
6.Nnje nataka nikafanye kazi zozote available lakini hasa viwandani, na sehemu zinazopata shida kupata watu kama nyumba za wazee, pia nitajiandikisha mitandaoni kama mtu anaefanya kazi yoyote ya muda mrefu hata mfupi (vibarua), ufundi mabomba, garden, cleaner jobs, househelp, driver, etc, na wakati huo nitakua najiendeleza mdogo mdogo kielimu nipate degree zao za huko zinazothaminika (insurance and risk management pia international business + dipromat degrees) , ili after some years niingie kwenye proffesional jobs, pia international driving licence itapatikana, japo kwa sasa nina driving licence ya Tanzania tu class C.

7.Bank sina kitu (savings) bcas ni little bit hard kwa ny situation kufanya servings, hela inaingia na kutoka , ila najua nitahitaji kupata walau Nauri ya ndege, na pesa ya kianzio ya angalau kutoshea hata 1 month, na hii haina shida itapatikana (ikiwemo kuchangiwa na ndugu) kikubwa chance ipatikane ya kwenda then vingine vitakua sorted.
8.Na hapa nitajitahidi hata nipate chuo hasa CANADA, nimeambiwa university of red deer bi little bit affordable na rahisi kupata hicho chuo na waafrika wengi wanasoma hapo, ila hapa kidogo itabidi nitafute hela zaidi and too sad cas itatake time i think, ila kama mtu akitokea kufanikisha kunishika mkono hata kwa 2 semisters tu, then imeisha hiyo na atakua amenisaidia sana.
9.Najua kupata kazi inaweza isiwe easy na sitaki kuingia kinyume cha sheria sababu ni bora niishi nnje (kukosa malazi) nikiwa kwa kushindwa kwangu ila sio nilale nnje kisa sina vibali hivyo nashindwa pata fursa za kazi ama kufight maisha kwa uhuru nikiogopa kudakwa, hapana, nataka niingie kihalali ili niweze kupambana kikweli kweli sio kiwizi wizi.
10.Kuzamia meli ni too risk na sijui ABC zake na kwangu sio good opyion sababu nataka kuingia kihalali, labda nizamie meli kwa kukosa naulu lakini nina makaratasi na vibali vya kuishi huko nakotaka kwenda.

11.Yes hela hata bongo zipo, lakini kuna vikwazo vingi sana yani hakuna hata nafasi ya kujaribu ama kujitolea, na pia kupata exposure kunapanua fikra za mtu, yes unaweza usione fursa hapa, ila ukaenda sehemu nyingine ukaziona kirahisi sana, ndio sababu kuna watu wanaondoka vijijini hawajafanikiwa ila wakienda mjini wanafanikiwa, na wengine mjini hawafanikiwa ila wakienda vijijini wanafanikiwa, mwingine Tz hafanikiwi ila akoenda Kenya anafanikiwa, mkenya vile vile akija tz anaona fursa anafanikiwa na kwao hakuziona, so ni vizuri kujaribu.

12.Nikiambiwa nikae Bongo nilipwe 4M au niende nnje nilipwe 2.5M nitaangalia situation, 2.5M kwa USA au CA ni ndogo sana, tena sana, ila kule kuna fursa ya kufanya kazi zaidi ya moja, kama ni full time basi nitabaki ya bongo ya 4M sababu kwa bongo ni kubwa na tafikia malengo, ila kama hii ya 2.5M ya US itanipa nafasi ya kufanya part time jobs then yes taenda sababu i believe hii itanipa fursa ya kuingiza zaidi ya 4M ya bongo ila nitawekeza TZ kwa hivyo vihela ya wazungu ambavyo kwa husu vina thamani sana.
13.Yes nacheza greeb card every year na pia najutahidi kutafuta, japo pia kama msaada utatokea itakua vema , na pia Green card ikiwezana basi nitashukuru kwa Mungu wa Mbinguni.
14.Niunganishe na huyo dada yes, na nimejibu maswali yako pia mkuu, ukitaka hapa ni sawa, ukihitaji PM ni sawa pia mkuu, shukrani(kwa niaba ya mleta mada)

15.My motive ya kwenda huko ni ili kujaribu kufanikisha malengo yangu, ambayo yes maybe kwa hapa sijaweza na pia hali ya kiuchumi inanikwamisha sana, pia mambo mengine ambayo ni ptivate matter kwa sasa, ila my big motive ni kuweza kupata fursa za kuonesha uwezo wangu na kupata kujiendeleza zaidi kielimu na kumake big investimates in future na sio kuoa wazee ama kutake advantage ya jambo lisilo sahihi.
16.I've handled a lot before hayo ya kusemwa vibaya na kudharauliwa yani hayanipi shida hata kidogo, i have iron heart, i can torelate many ridicurous things as long as im just doing what im supporsed to do, na as long as nina malengo ya kufikia wala hayo hayanipi shida, so yes im strong enough to handle those situations.
17.Yes, im mentally and physically healthy
18.Nimejiandaa ku fight any situations, hapa hapa bongo kuna watu ni ngumu kupata hata hiyo 1000 ya chai asubuhi, lakini im sure and i know that i can win the situation as long as i know im hard working guy basi nachotaka ni hizo fursa tu na si kingine.

Thanks kwa maswali ambayo umeyatoa kwa mtoa mada ila pia nimeyajibu kwa upande wangu sababu pia niko kwenye same situation ya mtoa mada. So pia if you have any connection ambayo unaweza kushare nami then karibu mkuu nitashukuru sana, pia mawazo yako ni muhimu pia. Thanks.
 
Back
Top Bottom